Chombezo: Tipwatipwa tetema, Oooh tetema

Chombezo: Tipwatipwa tetema, Oooh tetema

SEHEMU YA 11


ILIPOISHIA:
“Mbona mama yenu hayupo? Kwani ameenda wapi?”
“Yupo, mbona alikuwa ndani?”
“Hayupo! Mjomba wenu amesharudi kuuza samaki?” nilimsikia baba mdogo akiulizia huku akisogelea kwenye mlango wa chumba changu.
SASA ENDELEA...
“Hapana, bado hajarudi!” nilimsikia mtoto mmoja akimjibu. Wakati nikirudi, pale nje nilimkuta mama mdogo tu na kwa sababu nilipoingia nilienda kuoga na kuingia ndani kabla ya mama mdogo kuja kisha tukajifungia, hawakujua kama nimerudi.
“Mbona kapu lake la kuuzia samaki lipo hapa? Au leo hakwenda nalo?” aliuliza baba mdogo, nadhani ilikuwa ni baada ya kuliona lile kapu la kuuzia samaki ambalo nililibwaga pale nje. Alijaribu kuniita lakini nilijikausha, akashika kitasa na kutingisha mlango, alipoona umefungwa akaamini kweli bado sijarudi.
Mapigo ya moyo yalikuwa yakinienda mbio kuliko kawaida, sikujua nini kitatokea endapo atagundua kwamba nilikuwa chumbani na mkewe, tukilitafunilia mbali tunda la mti uliokatazwa.
Mama mdogo alikuwa akipaparika, akitafuta sehemu ya kujificha, nikamuonesha ishara kwamba anatakiwa kutulia.
“Vaa nguo zako kimyakimya,” nilimwambia kwa sauti ya kunong’ona, kweli harakaharaka akaanza kutafuta nguo zake ambazo hata sikumbuki zilikuwa zimevuliwa muda gani.
Alianza na ‘bra’, akaivaa harakaharaka, akavaa na blauzi yake kisha akajifunga upande wa khanga, akawa ananitazama huku akionesha kuwa na hofu kubwa ndani ya moyo wake, basi nikawa namuonesha kwa ishara kwamba anatakiwa kutulia.
“Natoka kidogo naenda hapo barabarani, nakuja sasa hivi!” nilimsikia baba mdogo akisema, basi wale watoto wakamuitikia, wote wawili tukashusha pumzi ndefu kwa sababu ama kwa hakika maji yalikuwa yameshafika kooni.
Hakukuwa na muda wa kupoteza, harakaharaka nilisogea pale mlangoni na kufungua kimyakimya, wale watoto walikuwa wakicheza jirani kabisa na mlango wangu kwa hiyo nikawa natafuta njia ya kuwatoa pale ili mama mdogo atoke.
Nilifungua mlango na kujifanya kama najinyoosha kwa uchovu.
“Shikamoo mjomba!” walinisalimia.
“Marahaba hamjambo?”
“Hatujambo, baba alikuwa anakuulizia!”
“Ameenda wapi?”
“Amesema ameenda barabarani.”
“Nilikuwa nimelala, nimechoka sana leo, nimetembeza samaki umbali mrefu sana,” nilisema, basi nikatoka na kuliweka kapu langu vizuri, nikawa natafuta ‘taiming’ ya kuwaondoa pale uani.
“Nani nimtume dukani?” niliwauliza, kila mmoja akajibu ‘nitume mimi’. Walikuwa wananijua kwamba nikimtuma mtoto dukani, basi lazima chenji na yeye apate pipi au chochote anachokitaka.
“Sasa kwa sababu mnagombania, nataka muende wote ila msichelewe kurudi, chenji itakayobaki mtanunua mnachokitaka,” nilisema huku nikitoa shilingi elfu moja na kuwapa chupa tupu na kuwataka wakaninunulie soda ya baridi dukani.
Waliondoka wakiwa wanakimbizana, basi huo ndiyo ukawa mwanya wa mimi kumtoa mama mdogo. Harakaharaka alitoka, akaelekea kwanza bafuni ambako alijimwagia maji kisha akaelekea ndani kwake. Nadhani alikuwa anatengeneza mazingira hata mumewe akimuuliza, asingizie kwamba alikuwa kuoga.
Alipotoka, nilishusha pumzi ndefu, nikafungua mlango na kuuacha wazi ili nionekane nipo, nikawasha redio na kuanza kuburudika, kawaida yangu nilikuwa napenda sana nyimbo za Bongo Fleva, tena za wasanii wanaotamba kama Diamond na Wasafi, Ali Kiba na wengine ambao wapo kwenye chati, si unajua tena ujana.
Wakati nikiweka mazingira vizuri mle ndani, ndipo nilipogundua kwamba mama mdogo alikuwa ameacha ‘kufuli’ lake, nadhani ule mchecheto ulimfanya achanganyikiwe kabisa.
Harakaharaka nililiokota na kuanza kulitazama vizuri, sijui akili gani ilinituma nilipeleka kwenye pua, nikajikuta nikitabasamu mwenyewe. Nililihifadhi chini ya godoro, nikaendelea kupangapanga vitu vyangu vizuri kisha nikatoka na kwenda tena bafuni kuoga.
Wakati narudi tayari watoto walikuwa wamesharudi, basi nikawapokea nilichokuwa nimewaagiza, wakaendelea kucheza huku wakichekelea zawadi niliyowapa maana chenji iliyobaki walikuwa wamenunua pipi na kugawana.
Niliigida ile soda kwa kasi kisha nikajilaza kitandani, nikawa nacheua tu huku hisia tamu zikiendelea kupita ndani ya mishipa yangu ya fahamu.
Ni kweli nilikuwa nimefanya dhambi kubwa kwa kutembea na mama mdogo lakini katika mazingira kama yale, mwanaume yeyote aliyekamilika, asingeweza kumlazia damu mama mdogo, hasa kutokana na jinsi alivyokuwa amejaaliwa.
Basi nikiwa nimejilaza, nilimsikia baba mdogo akija na breki ya kwanza ilikuwa mlangoni kwangu, akaniita kwa kilugha, nikatoka na kwenda kumsalimu kwa adabu. Aliniuliza kuhusu biashara, nikamjibu kwamba inaendelea vizuri kabisa.
Nilikuwa najua kwamba lazima ataniuliza nimerudi saa ngapi na wakati ananiulizia nilikuwa nimeenda wapi lakini cha ajabu wala hakuniuliza, nikamkabidhi fedha za mauzo, akafurahi na kuelekea zake ndani.
Bado moyoni nilikuwa na wasiwasi mkubwa, nikawa sijui nini kitatokea atakapoingia ndani na kuzungumza na mkewe. Hata hivyo, haukupita muda mrefu nikawa nawasikia wakipiga stori na kucheka.
Ujue wanawake wakati mwingine ni viumbe hatari sana, yaani nilipofikiria jinsi nilivyokuwa mle ndani na mama mdogo dakika chache tu zilizopita, tukifanya dhambi mbaya ya usaliti na sasa eti alikuwa akipiga stori na mumewe na kucheka!
“Nitachelewa sana kuoa,” nilijiambia mwenyewe wakati nikiendelea kutafakari mambo mbalimbali yaliyotokea siku hiyo. Kwa upande mwingine nilijipongeza kwa sababu kiukweli, ‘ubavu’ niliokuwa nao haukuwa wa kawaida, kuwagalagaza watu wawili ndani ya siku moja, na kuhakikisha kila mmoja amepata kile alichokuwa anakistahili, haikuwa kazi nyepesi.
Kwa upande mwingine, nilimshukuru sana mzee Mbaruku, Mpemba mmoja aliyekuwa akiuza supu ya pweza kule Feri. Ni yeye ndiye aliyenifundisha kuhusu mambo ya mchuzi wa pweza na kuniambia kwamba kila ninapoenda kuchukua mzigo, lazima nipitie kwenye meza yake na kupiga bakuli la supu.
Hata zile siku ambazo sikuwa na fedha, alikuwa akinipa bure huku akinitania kwamba ananilipia, tukawa tunacheka kwa sababu alikuwa ni mtu anayependa sana masihara. Ukweli ni kwamba nilikuwa nayaona matokeo ya kunywa supu hiyo kila siku.
Wakati mwingine huwa kunakuwa na maneno mengi mitaani kuhusu haya masuala ya upungufu wa nguvu kwa sababu ukweli ni kwamba wanaume wengi sana wanasumbuliwa na tatizo hilo lakini ukweli ambao hata mimi naweza kuwa shuhuda ni kwamba ukiamua kupambana na tatizo hilo, basi we jenga utaratibu wa kuwa unakunywa supu ya pweza kila siku.
Nakumbuka mzee Mbaruku alikuwa akiniambia kwamba wanaume wa bara wengi ni wavivu sana wawapo kwenye uwanja wa fundi seremala na ndiyo maana wengi huishia kuwa na mke mmoja na kuzaa watoto wachache, tofauti na kwao Pemba ambao mwanaume kuwa na wake wawili, watatu au wanne na watoto kibao ni jambo la kawaida sana.
Akawa ananiambia kwamba kama mtu mmoja anaweza kuwa na wake watatu kwa mfano, na wote akawa anawatimizia haja zao kikamilifu, kwa nini wengine unakuta ana mke mmoja tu ambaye naye anashindwa kumfurahisha wawapo faragha?
Akawa ananiambia kwamba kuna siri kubwa imejificha kwenye suala zima la vyakula na kwa kuanzia, akaniambia sitakiwi kukosa kunywa supu ya pweza kila siku.
Maneno aliyokuwa ameniambia yalikuwa ni ya kweli kabisa kwa sababu hata ukiangalia ishu iliyokuwa imetokea jioni hiyo kati yangu na mama mdogo, sababu kubwa ilikuwa ni ileile ya matatizo ya nguvu.
Kama baba mdogo angekuwa ‘ngangari’, wala mkewe asingekuwa anamzungumzia vibaya kama alivyofanya kwangu na wala asingeweza kumdhalilisha na kutoka na mimi hata kidogo.
Basi niliendelea kutafakari mambo mengi, hatimaye muda wa chakula cha usiku uliwadia.
Tofauti na siku zote ambapo huwa naitwa kwenda kula chakula na watoto sebuleni au jikoni, siku hiyo nilishangaa mtoto mkubwa wa baba mdogo akiniletea chakula chumbani kwangu na kuniambia eti mama yake amemtuma.
Ulikuwa msosi wa maana kwelikweli, ule ambao nimezoea kumuona baba mdogo akila, leo nilikuwa nimetengewa mimi.
Je, nini kitafuatia?
 
SEHEMU YA 12




ILIPOISHIA:
Tofauti na siku zote ambapo huwa naitwa kwenda kula chakula na watoto sebuleni au jikoni, siku hiyo nilishangaa mtoto mkubwa wa baba mdogo akiniletea chakula chumbani kwangu na kuniambia eti mama yake amemtuma.
Ulikuwa msosi wa maana kwelikweli, ule ambao nimezoea kumuona baba mdogo akila, leo nilikuwa nimetengewa mimi.
SASA ENDELEA...
Sikulaza damu, nilianza kuufakamia kwa kasi kubwa kwa sababu shughuli za siku hiyo zilinifanya niwe na njaa sana. Ndani ya muda mfupi tu, tayari nilikuwa nimefuta kila kitu, sahani zikabaki tupu, nikashushia na maji mengi, tumbo likawa ‘full’.
Hapa napenda kuwamegea siri wanaume wenzangu hasa vijana, haya mambo ya kula chipsi mayai, sijui juisi na kalimati halafu ndiyo inakuwa imetoka, ndiyo yanayosababisha vijana wengi wanakuwa na matatizo ya ukosefu wa nguvu za kiume wawapo faragha.
Mtoto wa kiume inatakiwa ‘unafukia’ kisawasawa, chipsi na vyakula lainilaini waachie wanawake, ukichanganya na vyakula vingine kama mchuzi wa pweza, karanga mbichi, mbegu za maboga, mihogo na asali, unakuwa na nguvu kama simba dume, bila kusahau kupiga ‘tizi’ kila siku, mambo yanakuwa safi.
Basi baada ya kumaliza kula, sikuweza hata kutoa vyombo, nilivisogeza pembeni tu, nikajilaza pembeni ili shibe ipungue, hata sikumbuki nilipitiwa na usingizi saa ngapi. Nilikuja kushtuka usiku mnene baada ya kuhisi kuna mtu ananitingisha pale kitandani.
Nilikurupuka kwa hofu kwa sababu siku zote nilikuwa nalala peke yangu, iweje mtu aingie usiku huo? Ni nani na anataka nini?”
“Shiiiii!” nilisikia sauti ya mwanamke ikinituliza, nikagundua kwamba kumbe alikuwa ni mama mdogo, nilishtuka sana kwa sababu usiku huo alitakiwa kuwa ndani na mumewe, iweje awe ndani ya chumba changu? Baba mdogo akitoka ghafla na kugundua kwamba alikuwa magetoni kwangu itakuwaje?
“Yaani umelala bila hata kufunga mlango? Umechoka sana eeh!” alisema mama mdogo huku akiinuka na kwenda kuzima taa, wakati akitembea nilimtazama upande wa nyuma, nikajikuta natabasamu mwenyewe kwa sababu alikuwa amejifunga upande wa khanga tu na kama ujuavyo tena, ubonge wake ulisababisha eneo la nyuma liwe linatetema kwelikweli.
“Ma’mdogo hapana bwana, tutafumwa bure!”
“Tutafumwa na nani? Nimeshindwa kulala, yaani kila nilipokuwa nikiikumbuka shughuli ya muda ule mwili ulikuwa ukinisisimka, one for the road please.”
“Kwani baba mdogo si yupo ndani?”
“Anakoroma kama jenereta bovu, hebu achana naye bwana, mwanaume wa Dar es Salaam huyo,” alisema mama mdogo huku akiuachia upande wa khanga aliokuwa amejifunga, ndani hakuwa na chochote na kwa sababu na mimi nilikuwa nimelala kizembe kama kawaida yangu, hakukuwa na muda wa kupoteza.
Kitendo cha mama mdogo ambaye mwili wake ulikuwa na joto fulani hivi ‘amaizing’ kunikumbatia, kilisababisha mwili wote usisimke mithili ya mtu aliyepigwa na shoti ya umeme, mkuu wa kaya akaanza ‘kufyumu’ na ndani ya muda mfupi tu, alikuwa amekasirika kwelikweli.
Kwa kuwa sasa mazingira yalikuwa hatarishi, hakukuwa na muda wa kuremba, mama mdogo alimkamata mkuu wa kaya na kumpapasa kwa upole, naye akazidi kuwa ngangari, taratibu akamuelekeza sehemu ya kwenda! Ama kwa hakika ilikuwa burudani nyingine ya aina yake.
Mama mdogo alijisevia harakaharaka kama anayeogopa kufumwa na kutokana na papara alizokuwa nazo, hakuchukua raundi, akawa ameshakwea juu kabisa ya mnazi na kuangua dafu kisha kulipasua kwa nguvu.
“Ahsante mume wangu, ahsante baba,” alisema huku akinikumbatia kwa nguvu, akanimwagia mvua ya mabusu, akawa ni kama anataka pambano hilo lisilo na refa wala jezi liishie hapo lakini sikukubaliana naye kwa sababu alikuwa ameyaamsha mashetani na sasa ilikuwa ni lazima atii kiu yangu.
Tulibadilishana nafasi, yeye akawa upande wa chini na mimi upande wa juu, nikamuelekeza mkuu wa kaya kuelekea kwenye chungu cha asali na haukupita muda mrefu, tukawa tunaelea kwenye bahari ya kina kirefu ya huba, huku kimo cha mkuu wa kaya kikionekana kutaka kumzidia ma’mdogo.
“Taratibu baba,” alisema kwa sauti ya kulalamika, akawa ni kama ananiambia ongeza kasi, nikawa nampeleka ‘mputamputa’ na kwa mara nyingine, aliangua dafu, kubwa kuliko lile la mwanzo. Akiwa ni kama amechanganyikiwa, alipiga yowe na kama nisingewahi kumziba mdomo, huenda tungesababisha maafa makubwa.
Na mimi nikaongeza kasi na hatimaye nikafanikiwa kuzifumania nyavu kwa shuti kali lililotinga moja kwa moja golini.
“Utaniua wewe baba,” alisema mama mdogo huku akijizoazoa na kuinuka, akanibusu kisha harakaharaka akafungua mlango na kuchungulia kwa nje, alipohakikisha hakuna mtu, alitoka na breki ya kwanza ilikuwa bafuni, nikamsikia akifungulia maji ya bomba la mvua kwa wingi.
Niliinuka harakaharaka na kwenda kuufunga mlango kwa ndani, sikutaka kuwasha taa, nikarudi kitandani na kujibwaga kama mzigo. Muda huohuo, nilisikia geti la ndani kwenye chumba alichokuwa akiishi baba mdogo na mama mdogo likifunguliwa, mapigo ya moyo wangu yakawa yananienda mbio kuliko kawaida, nikajua sasa ukweli wote unaenda kujulikana.
Kuna akili zilikuwa zinanituma kuamini kwamba huenda baba mdogo alikuwa akituchungulia na baada ya kupata uhakika sasa alikuwa ametoka kuja kumaliza kazi.
“Mke wangu!” nilimsikia baba mdogo akimuita mkewe huku akisogea kule bafuni ambako maji mengi yalikuwa yanaendelea kumwagika.
“Abee mume wangu!”
“Umenishtua! Umeanza lini tabia ya kutoka nje usiku peke yako?”
“Joto mume wangu, nimeshindwa kabisa kulala kwa sababu ya joto, nikaogopa kukusumbua baba, ingia na wewe uoge, au husikii joto mwenzangu,” alisema mama mdogo kwa sauti yenye ushawishi mno.
Asivyo na akili, baba mdogo naye alishindwa kugundua kwamba alikuwa akiibiwa, akaingia bafuni na kuanza kuoga na mkewe, nikawa nawasikia wakiwa wanacheka, ama kwa hakika mama mdogo alikuwa amefuzu kwa utapeli.
Hiyo ilikuwa ahueni kubwa kwangu, nikajua hawezi kugundua chochote kuhusu mimi, nikawa najikoromesha kwa sauti ili baba mdogo ajue kwamba nilikuwa kwenye usingizi mzito.
Walitoka na kuelekea ndani, nikawa nawasikia wakiendelea na stori za hapa na pale huku mama mdogo akijichekesha sana, ama kwa hakika kuna wanawake ni wasanii sijapata kuona.
Waliingia ndani na kufunga milango, nikashusha pumzi ndefu na angalau moyo wangu ukarudi sehemu yake. Haukupita muda mrefu nikapitiwa na usingizi mzito na nilipokuja kuzinduka, tayari kulikuwa kumepambazuka.
Mwili wangu ulikuwa na uchovu usioelezeka, harakaharaka nikaamka na kukimbilia bafuni kwa sababu ilikuwa ni lazima niwahi kutoka ili nikapate samaki wazuri. Baada ya kumaliza kuoga, nilitoka na kuingia chumbani kwangu, mara nikasikia baba mdogo akigonga mlango, nadhani alikuwa anajua kwamba bado sijaamka.
“Vipi umeamkaje?”
“Salama, shikamoo baba,” nilimsalimia kwa adabu huku nikikwepesha macho yangu maana nilijua kama tukitazama na anaweza kugundua ‘uhalifu’ niliokuwa namfanyia.
“Mama’ako mdogo anakusifia sana kwamba siku hizi umebadilika kitabia. Safi sana, hayo ndiyo mambo ninayoyataka, nimekuleta mjini kutafuta pesa, siyo kuhangaika na wanawake wa mabarabarani,” alisema baba mdogo, basi nikawa natingisha kichwa kuonesha kwamba namuelewa sana.
Yaani wanawake bwana! Kama upo kwenye ndoa au uhusiano wa kudumu lakini ghafla ukaanza kuona mwenzi wako anamsifia sana mwanaume mwingine, bila kujali anayesifiwa ni nani, unatakiwa kuwa makini sana.
Anaweza kuwa anasifiwa ‘house boy’ ukapuuzia kumbe anasifiwa kwa sababu mkeo kampenda! Yaani eti mama mdogo leo ndiyo alikuwa mtu wa kunizungumzia mimi vizuri kwamba eti nimebadilika? Baba mdogo alitakiwa kujiongeza sana lakini ndiyo hivyo alishindwa.
Nilimalizia kujiandaa, baba mdogo akatoa fedha za kuchukulia mzigo na kunipa, nikamshukuru na bila kupoteza muda, nilitoka mbiombio na safari ya kuelekea feri ikaanza.
Je, nini kitafuatia?
 
SEHEMU YA 13



ILIPOISHIA:
Anaweza kuwa anasifiwa ‘house boy’ ukapuuzia kumbe anasifiwa kwa sababu mkeo kampenda! Yaani eti mama mdogo leo ndiyo alikuwa mtu wa kunizungumzia mimi vizuri kwamba eti nimebadilika? Baba mdogo alitakiwa kujiongeza sana lakini ndiyo hivyo alishindwa.
Nilimalizia kujiandaa, baba mdogo akatoa fedha za kuchukulia mzigo na kunipa, nikamshukuru na bila kupoteza muda, nilitoka mbiombio na safari ya kuelekea feri ikaanza.
SASA ENDELEA...
Njia nzima nilikuwa nikimfikiria mama mdogo, kuna wakati nilikuwa natetemeka sana kwa hofu kwa sababu spidi aliyokuja nayo ilionesha kwamba ndani ya muda mfupi tu mumewe atashtukia mchezo na huo ndiyo utakuwa mwanzo wa kufungishiwa virago na kurudishwa ‘bushi’, au pengine hata kunidhuru kwa sababu nasikia mke anauma sana.
Hata hivyo, wakati nikiwaza hivyo, akili nyingine ilikuwa inawaza purukushani za mama mdogo, nikawa nakumbuka jinsi alivyokuwa ananipeleka puta! Japokuwa jana yake nilikuwa namuwaza sana Mimah kwa shughuli pevu aliyonipa lakini nikiri mambo ya mama mdogo yalikuwa ni ‘hatari faya’.
Basi muda mfupi baadaye tayari nilikuwa nimeshafika kituoni, nikakuta gari pale likiitia abiria, nikajichoma ndani mzimamzima na kapu langu, nikapita mpaka kwenye siti ya nyuma kabisa, nikaweka kapu langu chini na kukaa kivivu, bado nilikuwa na usingizi sana kwa sababu sikulala vizuri usiku, ukichanganya na uchovu ndiyo kabisa.
Haukupita muda mrefu nikapitiwa na usingizi pale kwenye siti wakati safari ikiendelea. Nilipokuja kuzinduka, tayari gari lilikuwa limeshafika Posta, nikashtuka na kutazama huku na kule, nikaona mbona sura za abiria siyo wale niliowakuta wakati naingia?
Kumbe gari lilishateremsha abiria wote na sasa lilikuwa linapakia abiria wanaotoka Posta kwenda maeneo mbalimbali ya jiji kwa kupitia kituo cha Makumbusho!
“Makumbushooo!” Konda alikuwa akiitia abiria, nikakurupuka na kuchukua kapu langu, nikawapita abiria wengine waliokuwa wamesimama kama mshale, nikateremka na kukutana na konda ambaye alibaki kunishangaa.
“Wewe ulikuwa bado hujashuka?”
“Unaacha kunishtua kwamba tumefika saa hizi unaniuliza nini,” nilisema huku nikitoa nauli na kutaka kumpa.
“Nauli ushalipiwa weweee, unalala kiboyaboya kwenye gari unakoroma mpaka unalipiwa nauli hauna habari, siku nyingine utafagia gari,” alisema kondakta kwa namna ya kunifedhehesha, abiria wakacheka sana. Nilishindwa cha kumjibu kwa sababu hawa makonda wengi wanakuwa na kauli za kuudhi sana, ukimkuta mstaarabu basi ni mmoja kati ya kumi.
“Nimelipiwa na nani?” ilibidi niwe mbogo kidogo kukabiliana naye kwa sababu niliona kama anazidi kunidhalilisha.
“Kuna sista bongebonge hivi kakulipia, alikuwa anakuamsha wewe unakoroma tu kama boya, hata hao samaki unaoenda kuuza si utakuwa unadhulumiwa kila siku, mtoto wa kiume umelegea kama bamia,” konda alizidi kunikandia, abiria wakawa wanazidi kuangua vicheko.
Niliamua kuachana naye maana hata wale ambao hawakuwa wanajua kilichotokea sasa walianza kukusanyika kushuhudia zogo hilo. Nikawa nakatiza mitaa kwa kasi kuelekea Feri huku nikizipuuzia shombo zote za konda na kubaki na swali kuhusu huyo mtu aliyenilipia nauli.
Kiukweli sikuwa nimemuona mtu yeyote ninayemfahamu wakati nilipoingia kwenye daladala na kwa sababu nilipitiwa na usingizi muda mfupi baadaye, sikuwa hata na dondoo kuhusu mtu huyo, nilichokishika kichwani ni kwamba alikuwa ni sista bongebonge kama konda alivyoniambia.
Muda mfupi baadaye, tayari nilikuwa nimeshafika Feri, nikajichanganya kama kawaida yangu na dakika chache baadaye, nilikuwa nimefika samaki walipokuwa wakiuzwa kwa mnada, kama unavyojua tena mambo ya Feri, wavuvi wakirudi kutoka baharini alfajiri huwa tunakusanyika, mmoja kati yao anapanda kwenye meza au kitu kama jukwaa hivi akiwa na rundo la samaki kisha anaanza kumtoa mmojammoja, mnashindana kutaja bei.
Basi kazi iliendelea, baada ya muda nikawa nimeshapata mzigo wa kutosha, kama kawaida yangu nikapita pale kwa Mpemba kupata kifungua kinywa, akanipimia bakuli la supu, nikaweka mzigo wangu pembeni na kulifakamia huku Mpemba akiendelea kunitania kama kawaida yake.
Baada ya kumaliza, nilimlipa na kubeba kapu langu, safari ya kurudi Posta kutafuta usafiri ikaanza. Tayari kijua kilikuwa kimeshachomoza na kuanza kuwa kikali, basi nilirudi moja kwa moja mpaka nyumbani kwenda kujiandaa kwa ajili ya kuingia mtaani kama kawaida yangu.
Kwa kawaida muda huo wa asubuhi ninapotoka kuchukua mzigo, huwa nakuta tayari baba mdogo ameshaondoka kwenda kwenye mihangaiko yake, pia kwa siku za wiki ukitoa Jumamosi na Jumapili, watoto huwa wanakwenda shuleni kwa hiyo pale nyumbani huwa anabaki mama mdogo peke yake.
Sikuwahi kulitilia hilo maanani kwa sababu siku zote nilikuwa na pilikapilika zangu lakini siku hiyo niliporudi ndipo nilipogundua kwamba kumbe huwa mama mdogo anabaki peke yake mpaka muda wa watoto kuanza kutoka shuleni.
Nilifika nikiwa natweta, kijasho chembamba kikiwa kinanitoka. Nikatua mzigo wangu kwa ajili ya kutenganisha samaki, wale wengine mama mdogo awakaange na kuwaweka pale kwenye kigenge chake na wengine nikawatembeze kama kawaida.
“Ooh! Pole baba,” alisema mama mdogo baada ya kuniona huku tabasamu pana likiwa limechanua kwenye uso wake.
“Shikamoo!”
“Aah! Mambo gani hayo bwana, wewe mkubwa mwenzangu ujue! Kama uliweza kunitoa chozi la utamu shikamoo ya nini tena,” alisema huku akijichekesha, nikatabasamu kwa aibu.
Haikuwa kawaida yake kunipokea kwa upole na bashasha kama hivyo, kila siku alikuwa amezoea kunipokea kwa maneno ya hapa na pale ambayo kiukweli yalikuwa yananiudhi sana.
“Hapo unatakiwa ukaoge kisha upate chai nzito, uchovu wote utakuisha,” alisema huku tabasamu pana likiwa limechanua kwenye uso wake, akachukua kapu na kuanza kutenganisha samaki, mimi nikautumia muda huo kwenda kujimwagia maji kwa sababu asikwambie biashara ya samaki ina changamoto sana kwenye suala zima la shombo.
Niliingia ‘magetoni’ na kuvua nguo zile zilizokuwa na shombo, nikazitupia kwenye kamba pale nje, nikajifunga taulo na kutoka, nikakutana na mama mdogo ambaye ni kama alikuwa anataka kuja kule chumbani kwangu.
“Nakwambiaje! Nimekuwekea maji ya moto na sabuni ya maji, naamini ukitoka bafuni mwenyewe utajishangaa, hakuna cha shombo wala nini,” alisema kwa sauti ya chini lakini iliyokuwa na ladha fulani ya aina yake, nikatabasamu kwa sababu ama kwa hakika sasa nilikuwa nanyenyekewa kwelikweli.
Kweli nilipofika bafuni, nilikuta maji ya moto, yaani yale ambayo huwa anaoga baba mdogo leo kidume nilikuwa nimeandaliwa mimi, pia alikuwa ameniwekea sabuni zile za maji za kuogea, wenyewe wanaziita ‘shower gel’.
Kiukweli sikuwa nimezoea kabisa mambo hayo, basi nikaanza kujipiga sopusopu pale huku nikimfikiria sana mama mdogo. Ama kwa hakika alikuwa ananionesha mapenzi mazito sana, nadhani alikuwa amekolea kwa ile shughuli ya usiku.
Baada ya kumaliza kuoga, nilitoka na kama alivyokuwa ameniambia, kweli nilikuwa nanukia marashi, hali iliyonifanya nijisikie vizuri sana.
Niliingia chumbani na kuanza kujifuta maji, nikiwa sina hili wala lile nikashtukia mama mdogo akiingia kimyakimya huku akiwa na sinia ambalo ndani yake lilikuwa na kifungua kinywa. Pia alikuwa amekuja na mafuta fulani hivi mazuri yanayonukia vizuri ambayo huwa anayapaka baba mdogo.
“Hebu ngoja nikusaidie,” alisema aliponiona nababaika kujifunga taulo baada ya kuwa ameingia ghafla, nikawa naona aibu kwa sababu sikuwa nimemzoea mama mdogo. Basi bila woga akaja na kunifungua taulo, nikabaki na suti ya kulalia, akaanza kunifuta maji kwa upendo huku akinichombeza na maneno ya hapa na pale ya kunisifia.
Baada ya kumaliza kunifuta, alianza kunipaka mafuta utafikiri mtoto mdogo, basi mwili ukawa unasisimka kwelikweli, ukichanganya na ile supu ya pweza niliyopiga kule Feri, ‘hasira’ zangu hazikuwa mbali.
Aliendelea kunipaka mafuta huku stori za hapa na pale zikiendelea na mwisho akaishia kwa mkuu wa kaya, alimshika kwa mikono yote miwili na kumpaka mafuta kwa staili fulani ya uchokozi uliovuka mipaka. Ilishaonesha kwamba alikuwa na ‘nia ovu’ ndani ya moyo wake.
Mkuu wa kaya alifura kwa hasira kali, akawa anazidi kumchokoza kwa makusudi na nikiwa sina hili wala lile, nilishtukia akinisukumia kwenye uwanja wa fundi seremala, ‘nikaanguka’ chali huku mkuu wa kaya akiwa amefura kama nyoka koboko. Akaja mbiombio kwa juu huku tabasamu pana likiwa limechanua kwenye uso wake, kumbe kweli alikuwa na nia ovu kwa sababu ndani hakuwa hata na ‘kufuli’.
Je, nini kitafuatia?
 
SEHEMU YA 14


ILIPOISHIA:
Mkuu wa kaya alifura kwa hasira kali, akawa anazidi kumchokoza kwa makusudi na nikiwa sina hili wala lile, nilishtukia akinisukumia kwenye uwanja wa fundi seremala, ‘nikaanguka’ chali huku mkuu wa kaya akiwa amefura kama nyoka koboko. Akaja mbiombio kwa juu huku tabasamu pana likiwa limechanua kwenye uso wake, kumbe kweli alikuwa na nia ovu kwa sababu ndani hakuwa hata na ‘kufuli’.
SASA ENDELEA...
Akamuelekeza mkuu wa kaya njia ya kupita na kujikadiria kiwango alichokuwa anakihitaji, nikamuona akifumba macho kisha akayafumbua nusu, akawa ananitazama huku akiendelea ‘kupiga peda’ kwa ufundi wa hali ya juu, nikajikuta tu miguno ikinitoka mithili ya beberu mbele ya mbuzi jike.
Mama mdogo alikuwa mtoto wa mjini kwelikweli, yaani utundu aliokuwa akiufanya pale ulinifanya nizidi kuchanganyikiwa kabisa, ni kweli nilikuwa nafanya makosa makubwa sana, lakini katika mazingira kama yale nani ambaye angeweza kuuona ubaya wa dhambi ile? Akili zilihama kabisa, nikawa najiona kama mimi ndiyo baba mwenye nyumba.
Ilifika mahali nikaona kama ma’mdogo licha ya kujitahidi kwa kadiri ya uwezo wake, ni kama alikuwa akitegea, nikajipindua kama mwanasarakasi, tukabadilishana nafasi, yeye akawa pale nilipokuwa mimi na mimi nikapanda pale alipokuwa yeye.
Nikamuona akifumbua macho yote na kunitazama kama anayetaka kusema jambo, nikasogeza kichwa changu kwenye shavu lake laini, nikambusu kisha nikamnong’oneza kitu sikioni, akatabasamu kisha na yeye akaninong’oneza.
“Naomba basi usicheze kwa nguvu sana, utaniua mwenzio,” aliniambia kwa sauti iliyopenya kwenye masikio yangu na kuzidi kuniongeza wendawazimu, ni kama aliniambia ‘haya cheza kwa kadiri ya uwezo wako sasa’.
Mashetani yangu yaliamka, nikawa napiga mashuti ya nguvu na kumfanya awe anatoa miguno kwa nguvu mithili ya mtu anayekamuliwa ‘kijipu uchungu’.
Haukupita muda mrefu, alikuwa ameshakwea juu kabisa ya mnazi, akaangua dafu kubwa na kulipasua kwa nguvu, ilibidi nimzibe mdomo kwa sababu alipiga yowe kwa sauti ya juu sana, akawa anapaparika kama kuku aliyekatwa kichwa, mwili ukawa unatetemeka kama jenereta na haukupita muda akatulia tuli, kama maji mtungini.
Nilimuacha avute pumzi kidogo, nikawa naendelea kumbembeleza mkuu wa kaya kwa mkono wangu kwa sababu alikuwa amekasirika mno kiasi cha kunifanya niwe nasikia maumivu. Alipotulia kidogo, nilimuweka ‘mkao wa kula’ na kwa kuwa sasa alikuwa hajitambui, ilibidi niwe najisevia mwenyewe.
Kwa kadiri nilivyokuwa naendelea kujisevia, niliona akianza kurudi kwenye hali yake, akaanza kunipa ushirikiano, ikafika mahali akawa amerudi kamili mchezoni, niliendelea kulisakata kabumbu kwa nguvu na kasi, dakika chache baadaye akawa ameshakwea mpaka juu ya mnazi kwa mara nyingine, akaangua dafu jingine na kulipasua kwa nguvu, halikama ile ya mwanzo ikamtokea tena.
“Inatosha! Inatosha,” alisema huku akimtoa mkuu wa kaya kwenye chungu cha asali, mwili wake wote ukiwa umelegea mithili ya ile mboga ya bamia inapoliwa na ugali.
“Ngoja basi nimalizie.”
“Hapana! Najisikia vibaya, naomba maji ya kunywa!”
“Maji? Sasa si mpaka kule ndani?”
“Kanichukulie, nahisi kufakufa!” alisema na kunipa mtihani mgumu. Hata hivyo, kwa hali aliyokuwa nayo, niliona kuna ulazima wa kwenda kumchukulia. Nilinyanyuka na hapo ndipo nilipogundua kwamba kumbe hata mimi nilikuwa nimelowa chapachapa, nikachukua taulo nakujifuta kisha nikajifunga kiunoni, nikafungua mlango taratibu kwa kunyata.
Nilipohakikisha hakuna mtu, nilitoka na kwenda mpaka nyumba kubwa, nikafungua friji na kutoa chupa iliyokuwa na maji ya baridi, basi nikarudi harakaharaka na kumpa. Hakutaka hata kutumia glasi, alianza kuyagida maji yale kwa fujo, nikawa namshangaa kwa sababu yalikuwa ya baridi sana.
Alipoishusha chupa, ilikuwa imefika nusu, nikamuona amepata nguvu, akajizoazoa na kukaa, akawa ananitazama huku aibu za kikekike zikiwa zimemjaa usoni.
“Unatumia madawa ya kuongeza nguvu wewe, si ndiyo?” aliniambia, nikaishia kucheka tu kwa sababu alichokuwa anakisema hakikuwa na ukweli wowote.
“We hutaki maji,” aliniuliza, akawa ni kama amenikumbusha, nikasimama na kufuata glasi kwenye kimeza kidogo, wakati narudi macho yake yakatua kwenye himaya ya mkuu wa kaya ambaye bado alikuwa ananisumbua kwelikweli.
“Khaaa! Mbona uko hivyo?”
“Si nimekuomba tumalizie umekataa? Mwenzio nina hali mbaya ujue,” nilimwambia huku nikikaa pembeni yake na kumimina glasi ya maji, nikaipiga kwa kasi na nilipoishusha, ilikuwa tupu.
“Maskini pole, tatizo lako we mroho sana!”
“Mimi na wewe nani mroho?”
“Mh! We umezidi, nikikuchekea unaweza kuniua mtoto wa watu bure? Huyo mke utakayemuoa mpaka namuonea huruma.”
“Kha! Sasa kwani nyie huwa mnataka nini hasa mbona unanichanganya? Mwanzo ulisema kwamba baba mdogo hafiki pale unapopata, sasa hivi tena unaniambia mimi mroho.”
“Wewe tatizo lako unazidisha sana bwana, kama unaua nyoka vile,” alisema mamamdogo, tukaishia kucheka kwa furaha, akanivutia kifuani kwake, tukagusanisha ndimi zetu huku moto wa hisia ukianza kuwaka upya.
“Ahsante sana baba, sasa hivi nakula mpaka nasaza mwenyewe! Nilikuwa siijui raha ya mapenzi mwenzio, wewe ndiyo umenionesha huu ulimwengu,” alisema ma’mdogo kwa hisia za ndani kabisa, safari hii masihara aliyaweka pembeni, akaendelea kunisifia kwamba eti mimi ni mwanaume ambaye mwanamke yeyote anaweza kujivunia kuwa naye.
Yalikuwa ni maneno matamu mno yaliyonifanya ‘bichwa’ livimbe, basi tukawa tunaendelea kumagiana mvua ya mabusu na haukupita muda mrefu alinivutia mwenyewe ‘msambweni’ lakini anakisisitiza tena kuacha kula kwa papara huku akiniambia kwa mafumbo eti kula nanasi kunahitaji nafasi.
Nilijitahidi kufuatisha kile alichokuwa ananiambia, zile ‘kukuru kakara’ za mwanzo zikapungua na sasa nikawa nacheza kwa kufuatisha mdundo wa ngoma, hali iliyompa na yeye nafasi ya kuonesha vizuri ‘maringo’ yake uwanjani. Baada ya mdundo wa ngoma kukolea, alianza kuonesha dalili za kutaka kuangua dafu jingine kwa nguvu, ikabidi na mimi nijitahidi twende naye sawa kwa sababu alionesha kuchoka sana, basi ikawa ni piga nikupige mpaka tukafanikiwa kufika mwisho wa safari kwa pamoja! Kishindo chake kilikuwa kikubwa kwelikweli, ma’mdogo akawa anaropokwa maneno yasiyoeleweka.
Haukupita muda, akapitiwa na usingizi mzito kiasi cha kuanza kukoroma. Nikawa nimejilaza pembeni huku na mimi nikivuta pumzi kwa sababu kazi iliyofanyika haikuwa ya kitoto. Sijui nini kilitokea bwana, na mimi nikajikuta nimepitiwa na usingizi mzito palepale.
Kilichokuja kunizindua ilikuwa ni kelele za watoto wa mamdogo waliokuwa wanarudi kutoka shule, nikajua tayari ishu imebumburuka, angetokaje mle ndani kwa hali aliyokuwa nayo bila kushtukiwa? Ikabidi nitumie ujanja uleule niliotumia jana yake wa kutakakuwatuma waende dukani lakini nilipomwambia mamdogo, alisema hawawezi kukubali kwa sbaabu ndiyo wanarejea kutoka shule na bado hawajala.
“Kibaya hata chakula sijawapikia! Fanya hivi, wape hii hela waambie mama yenu ametoka amesema mkija mkanunue chipsi,” alisema, wazo ambalo niliona linafaa kwa wakati huo. Basi nilitoka nje, wakanisalimia kwa uchangamfu huku wakiniuliza mahali alipokuwa ameenda mama yao.
“Ametoka kidogo anasema anajisikia vibaya ameenda hospitali, hajapika ila amesema hii mtaenda kununua chipsi,” niliwaambia, waliposikia chipsi, harakaharaka waliweka mabegi yao na bila hata kubadilisha nguo, wakachomoka mbiombio.
Kosa ambalo tulikuwa tumelifanya, kumbe kuna mpangaji mle ndani siku hiyo hakuwa ametoka kwenda kazini kama kawaida yake, kwa hiyo muda wote alikuwa amelala kimya ndani kwake, sasa sijui kama alisikia zile mbilingembilinge au la lakini wakati ma’mdogo anatoka, waligongana naye uso kwa uso, naye akiwa ndiyo kwanza anafungua mlango wake ili atoke na kwenda uani.
Je, nini kitafuatia?
 
SEHEMU YA 15




ILIPOISHIA:
Kosa ambalo tulikuwa tumelifanya, kumbe kuna mpangaji mle ndani siku hiyo hakuwa ametoka kwenda kazini kama kawaida yake, kwa hiyo muda wote alikuwa amelala kimya ndani kwake, sasa sijui kama alisikia zile ‘mbilingembilinge’ au la lakini wakati ma’mdogo anatoka, waligongana naye uso kwa uso, naye akiwa ndiyo kwanza anafungua mlango wake ili atoke na kwenda uani.
SASA ENDELEA...
Nilishuhudia picha nzima nikabaki nimetulia nikisubiri kitakachofuatia. Nilimuona yule mpangaji akimtazama kwa dharau ma’mdogo kisha akabenua midomo yake, nikajua kazi imeanza.
Ujue wanawake wana tabia moja, wakiona mwenzao anafanya makosa, huwa wanajiuliza yaani huyu amemuacha mumewe mpaka anakwenda kutembea na yule, ina maana yule amemzidi nini mume wake? Na hapo ndipo tatizo jingine linapoanzia kwa sababu kila mtu atataka kuhakikisha mwenyewe.
Baada ya kumaliza kuoga, mama mdogo alitoka na kumkuta yule mpangaji bado amesimama pale mlangoni, basi sijui walisemeshana nini, wanajuana wenyewe lakini mama mdogo alielekea zake ndani huku nyuma huyu mpangaji akianza kumuimbia taarabu kwa mafumbo.
Nilipatwa na wasiwasi mkubwa ndani ya moyo wangu kwa sababu nilihisi huyu mpangaji anaweza kuja kutoboa siri kwa baba mdogo halafu akaharibu kila kitu, ikabidi nianze kufikiria mbinu za namna ya kumtuliza. Sikuwa nimezoeana naye kabisa na wakati mwingine hata salamu tulikuwa tukipishana bila kupeana.
Ilibidi na mimi nitumie muda uleule, nikatoka na ndoo ya maji na kwenda bafuni, japokuwa bafu jingine lilikuwa wazi, nilitaka kuingia lilelile alilokuwa ameingia yule dada, kwa hiyo ikabidi nimsubirie pale nje.
Na nilifanya kusudi ili ajue kwamba namsubiri, nikawa naimbaimba Bongo Fleva kwa sababu kama nilivyosema mimi ni mpenzi sana wa Bongo Fleva.
“Chii....chi...chi...chibongeeee! Chichichi... chibongee,” nilikuwa nikiimba kwa sauti fulani hivi, basi nikamuona ameacha kujimwagia maji akiwa ni kama ananisikilizia. Kwa wakati huo, mkuu wa kaya bado hakuwa amerudi kwenye hali yake ya kawaida, kwa hiyo alisababisha eneo la mbele la taulo kuchora ramani fulani hivi, nadhani utakuwa umeshanielewa.
“Wewe nae, kuimba hujui una kazi ya kutupigia kelele tu hapa, hebu nipishege huko mgoni mkubwa wewe,” alisema yule mpangaji kwa sauti ya chini huku akitoka bafuni. Sikuwa nimezoeana naye nikawa najiuliza amepata wapi ujasiri wa kuniambia maneno kama hayo?
“Unaona wivu kwa sababu wewe siyo chibonge eeh!”
“Huna hata haya! Hujui kama watu kama sisi hatuchezewi? Chezea namba nyingine lakini hapa utalala na viatu, wembamba wa reli juu linapita treni,” alisema huku akijishebedua kwa nyodo za kikekike. Wakati akijishebedua mimi nilikuwa nimemkazia macho usoni kwa sababu kiukweli hata sikuwa namfahamu kihivyo.
“Kumbe una mwanya!” nilimwambia kitu ambacho hakuwa amekitegemea, akajichekesha pale huku aibu za kikekike zikiwa zimemjaa, akatembea kwa maringo akia ndani ya khanga moja tu, huku mkononi akiwa amebeba kopo la sabuni na kuelekea ndani kwake.
Ile naingia mle bafuni, niliona kitu ambacho kilizidi kunihakikishia nafasi ya kumshinda mpangaji huyu ambaye mpaka sasa hata sikuwa namjua jina lake. Hakuwa na mtoto ambaye pengine angenifanya nimuite mama fulani kama wanawake wengi pale mtaani walivyokuwa
Kwangu mimi hiyo ilikuwa dalili nzuri, basi nikakisogela kile nilichokuwa nimekiona. Lilikuwa ni kufuli la yule dada, alilokuwa amelisahau nadhani kwa sababu ya ile presha ya kuimbaimba pale nje niliyokuwa nampa.
Nililikwapua haraka na kuanza kulitazama vizuri, nadhani lengo lake lilikuwa ni kulifua lakini kwa sababu ya haraka, alisahau hata kulifua kwa hiyo lilikuwa na kale ka ‘udambwiudambwi’ fulani hivi ka kawaida ambako kila mwanamke msafi huwa anakuwa nako.
Basi nikalisogeza puani, sijui nilikuwa nimeroga na nani kwa sababu sasa haka kamchezo kalishaanza kuninogea. Kitendo hicho kilisababisha mkuu wa kaya afurukute kwa jazba, nikiwa bado kwenye hali ile nilisikia yule dada akiwa ametoka na kuja pale mlangoni.
“Shemu! Shemu!” aliita kwa adabu, sijui alikuwa ananiita shemu kwa sababu gani. Basikwa makusudi kabisa nilifungua mlango wa bafu huku nikiwa nimelifumbata lile kufuli lake kwenye kiganja cha mkono wangu.
“Nimesahau naniliu yangu naomba utoke mara moja niichuku...” alisema lakini alishindwa kauli yake baada ya kuona nilichokuwa nimekishika mkononi. Kumuonesha kwamba mimi siyo wa mchezomchezo nililipeleka puani huku nikimtazama usoni, kitendo ambacho kilimshtua na kumfanya ajisikie aibu sana.
Mwanamke hata ajifanye ‘kauzu’ kiasi gani, hakuna kitu kinachoweza kumfanya ajisikie aibu kubwa ndani ya moyo wake kama kitendo hicho cha kulipeleka kufuli lake puani, tena katika muda ambao mwenyewe hakuwa ametegemea.
“Wewe ukoje,” alisema huku akiwa ametawaliwa na aibu za kikekike, akalikwapua kwa nguvu lakini wakati akifanya kitendo hicho, alimgusa mkuu wa kaya kwa bahati mbaya. Japokuwa mwenyewe aliona kama amenikosea sana na kumfanya awe ni kama amepoteza mwelekeo, ukweli ni kwamba nilikuwa nimepanga itokee vile.
Hakunitazama tena usoni, akatoka mbiombio mpaka ndani kwake, akabamiza mlango kwa nguvu na kujifungia, nikawa nacheka mwenyewe.
Basi nilianza kujimwagia maji huku nikiendelea kuimba, baada ya kumaliza nilitoka na kukuta tayari watoto niliokuwa nimewapa hela wakanunue chipsi wamesharudi, wakawa wanakula kwa furaha kwa sababu kama unavyojua tena watoto wanapenda sana vitu vitamu-vitamu.
“Mama yenu amesharudi yupo ndani, nendeni mkamsalimie,” niliwaambia, wakaenda moja kwa moja mpaka ndani kila mtu akiwa na mfuko wake wa chipsi. Nilijiandaa harakaharaka kwa sababu sikuwa nimeuza samaki hata mmoja mpaka muda huo na kama baba mdogo angerudi, kungeweza kutokea matatizo makubwa sana.
Baada ya kumaliza kujipiga ‘sopusopu’, nilimfuata ma’mdogo kwani yeye ndiye aliyekuwa amewaweka samaki wote kwenye ‘deep freezer’ kule ndani kwake.
“Vipi tena?” aliniuliza kwa sauti ya kichovu, akionesha ametoka kulala.
“Nataka nikachakarike mtaani, japo nimechelewa lakini siwezi kurudi mikono mitupu.
“Hapana! Usiende!”
“Sasa nitamwambia nini baba mdogo?”
“Hilo niachie mimi! Akikuuliza mwambie ulikuwa unajisikia vibaya baada ya kurudi kutoka Feri, nitakutetea. Hawa waache mpaka kesho, mimi mwenyewe leo sifanyi kazi yoyote,” alisema, nikashusha pumzi ndefu na kumtazama usoni.
“Kapumzike mume wangu!” aliniambia kwa sauti ya chini huku akiwa makini kuhakikisha hakuna yeyote anayesikia, nikatabasamu, akanifinyia kijicho kisha akanibusu kwa mbali, basi nikageuka huku tabasamu pana likiwa limechanua kwenye uso wangu, nikarudi mpaka ndani kwangu.
Kwa kuwa tayari nilikuwa nimeshaulamba tayari kwa kuingia mtaani, ilibidi nianze kuvua viatu pale mpangoni kwa sababu nisingeweza kuingia navyo ‘magetoni’. Basi wakati nimeinama, sijui nini kilinituma niangalie kule kwenye mlango wa yule mpangaji, si nikambamba ‘redi hendedi’ akiwa amenikodolea macho!
Alipoona nimemtazama, alijifanya kuzuga eti kama alikuwa haniangalii, basi na mimi nikazidi kumkazia macho. Alikuwa amekaa pembezoni mwa mlango wake upande wa ndani na kufunua pazia, mahali ambapo isingekuwa rahisi kwa mtu wa nje kumuona ingawa yeye alikuwa anaona kila kitu kilichokuwa kinaendelea.
Kwa kuwa nilishajua alichokuwa anakitaka, basi nilimuonesha ishara kama ya kuubusu mkono wangu, kisha nikafanya ni kama nalirusha busu kwake kisha nikawa namsikilizia atafanyaje, nikamuona akilipokea kisha na yeye akanibusu!
Nilifurahi sana, nikajua tayari mambo yamenyooka! Sikuwa na lengo la kumfanya chochote kwa sababu kwanza hakuwa zile taipu zangu, hakuwa tipwatipwa kama wenzake lakini kwa lengo la kuficha siri kubwa kati yangu na mama mdogo, ilikuwa ni lazima nimalizane naye.
Basi nilivua viatu vyangu na kuvikung’uta, nikaingia ndani na kwenda kubadilisha nguo, nikavua zile za mtoko na kuvaa nguo za kawaida ambazo huwa navaa ninapokuwa nyumbani. Haukupita muda mrefu baba mdogo akarudi nyumbani, haikuwa kawaida yake kurudi muda ule ila sijui siku hiyo alishtukia nini na alipokuja, moja kwa moja alikuja ‘magetoni’ kwangu, nikashtuka kumuona akiingia.
Je, nini kitafuatia?
 
SEHEMU YA 16



ILIPOISHIA:
Basi nilivua viatu vyangu na kuvikung’uta, nikaingia ndani na kwenda kubadilisha nguo, nikavua zile za mtoko na kuvaa nguo za kawaida ambazo huwa navaa ninapokuwa nyumbani. Haukupita muda mrefu baba mdogo akarudi nyumbani, haikuwa kawaida yake kurudi muda ule ila sijui siku hiyo alishtukia nini na alipokuja, moja kwa moja alikuja ‘magetoni’ kwangu, nikashtuka kumuona akiingia.
SASA ENDELEA...
“Wewe kwa nini upo hapa muda huu?”
“Ni...ni..ni...lichelewa...” nilijiumauma kwa sababu kiukweli sikuwa na majibu kwa nini mpaka muda huo sikuwa nimekwenda kuuza biashara.
“Mama’ako naye kwa nini mpaka sasa hivi hata moto hajawasha? Mbona kama mnataka kunihujumu? Ulienda kuchukua samaki?”
‘Ndiyo baba!”
“Wako wapi?”
“Wapo ndani.”
“Sasa kwa nini hujaenda kuuza mpaka sasa hivi?” alirudia tena kuuliza swali lake, kwa bahati nzuri mama mdogo alikuwa ameshatoka, akadakia.
“Tumepata oda kubwa leo, mimi ndiyo nimemwambia asiende kuuza. Kuna shoga’angu an sherehe sasa amenunua samaki wengi kwa jumla, hivi namsubiria alete fedha nimpe mzigo wake, kwa hiyo tuliza moyo wako mume wangu kipenzi,” alisema mama mdogo huku akitoka na kumfuata mumewe kule ‘magetoni’ kwangu.
“Hivi hata usafi huwa unafanya humu ndani kweli? Sijaingia siku nyingi, mh, mbona unanguo chafu nyingi hivyo? Si utaumwa mafua? Basi kwa kuwa leo huendi kuuza samaki ufue sasa, yaani mpaka hewa imekuwa nzito,” alisema mama mdogo eti akijifanya hajaingia chumbani kwangu kwa muda mrefu.
Ni kweli kulikuwa na nguo chafu nyingi kwa sababu sikuwa napata muda wa kufua, ilikuwa Jumapili ndiyo siku yangu ya kufua lakini Jumapili hii ilipita bila kufua na kusababisha hali iwe tete.
“Kweli kabisa, chumba kinanuka utafikiri analala beberu, hata hao mademu zako unaowaingiza humu sijui huwa wanakuvumiliaje, au siku hizi umeacha maana sijasikia stori zako siku mbili tatu hizi,” alisema baba mdogo na kusababisha wote tucheke.
Moyoni nikawa najisemea kwamba ‘angejua!’, basi mtu na mke wake waliondoka pamoja na kuelekea ndani huku ma’mdogo akijifanya kumuonesha mapenzi mazito mumewe. Hawa wanawake hawa!
Basi ilibidi nitoe nguo nje, nikachota maji kwa sababu omba lilikuwa mlemle ndani, nikaanza kufua huku nikiendelea kujiimbia Bongo Fleva kama kawaida yangu, moyoni nikawa najiuliza kuhusu kile alichokisema kwamba eti amepata oda ya samaki. Nilikuwa najua ni uongo, nikawa najiuliza uongo huo utaishaje? Sikuw ana majibu.
Basi wakati nikiendelea kufua, nilishtukia kama kuna mtu ananiangalia sana, kugeuka nikagongana macho na yule mpangaji aliyekuwa amezubaa kabisa ananiangalia, akashtuka kuona nimemshtukia, akajifanya kuvunga eti, nikatabasamu.
Alikuwa amekaa kwenye zulia ndani kwake lakini alifungua pazia kidogo ili apate upenyo wa kuwa ananichungulia, moyoni nikawa najisemea kwamba ‘una hatari wewe’. Katika kile ambacho sikukitegemea, nilishtukia eti akinionesha ishara ya kuniita.
Japokuwa ndiyo kwanza nilikuwa naanza kufua, sikutaka kuilazia damu bahati kama ile. Harakaraka nilijisuuza mikono, nikatazama kushoto na kulia, nilipoona hakuna anayenitazama, harakaharaka nilijichoma ndani.
“Wewe! Kwa nini unatembea na mamaako mdogo?”
“Mh! Mimi? Aah, acha kunisingizia bwana!”
“Nimewaona kwa macho yangu, mtoto una laana wewe!” alisema yule mpangaji huku tabasamu pana likiwa limechanua kwenye uso wake.
“Unanisingizia dadaangu! Kwanza mimi bado mdogo!” nilisema, kauli iliyomfanya acheke sana, akaniuliza swali jingine.
“Kwa nini ulikuwa unanusa kufuli langu?”
“Ujue siku nyingi huwaga natamani japo kukugusa mkono lakini mtu mwenyewe unajifanya keki, muda wote upo bize,” nilimuungia, basi akacheka sana. Nilichokuwa namwambia hakikuwa na ukweli wowote kwa sababu kwanza hata hatukuwa tukifahamiana vizuri lakini kwa kuwa alikuwa ameshuhudia ile dhambi, ilikuwa ni lazima nimzibe mdomo kwa staili hiyo.
“Kwani we unaitwa mama nani?”
“Akuu! Mi sina mtoto mbona.”
“Mh! Kweli? Na yule jamaa ninayemuonaga anaingia humu ndiyo mume wako?”
“Jamaa gani? Tangu nihamie hapa hakuna mwanaume aliyewahi kuingia humu ndani kwangu, wewe ndiyo wa kwanza na nimekuita ili nikusute, tabia gani ya kutembea na mama’ako mdogo?”
“Unanisingizia bwana, mi nakutaka wewe,” nilimwambia, akacheka sana na safari hii, niliamua kujitoa fahamu, nikamshika maeneo yake ya kwenye mbavu kwa utundu fulani hivi, basi akaruka huyooo!
“Mambo gani bwana hayo,” alisema huku akinitazamakwa macho yaliyokuwa yamebeba hisia, nikamsogelea na kumkumbatia, nikapitisha mikono na kukishika kiuno chake kilichogawanyik
a vizuri, basi akawa anajinyonganyonga huku akijisogeza zaidi kwenye mwili wangu.
Kwa kuwa alikuwa amevaa kigauni fulani chepesi na kujifunga upande wa khanga tu, nilihisi kajoto ka mwili wake kakifukuta na kunipa raha fulani ya aina yake.
“Unataka kunifanya nini?” aliniuliza swali la kijinga sana, nikatingisha kichwa kuoneshakwamba hakuna chochote, kwa msisitizo nikamuuliza kama nimemwambia nataka kumfanya kitu chochote, akacheka kwa kudeka na kunibusu, kitendo kilichosababisha ‘mkuu wa kaya’ achaji kwa kasi ya treni ya umeme.
“Ila wewe! Ndiyo maana mama’ako mdogo kapagawa mpaka anataka kumsahau mume wake!” alisema kwa sauti iliyokuwa inaonesha kama anasitasita, basi nikamuonesha ishara ya kumtaka anyamaze, akatabasamu, eti na yeye akanioneshea ishara kama hiyohiyo.
Nilimsukuma kinyumenyume, basi akaangukia juu ya uwanja mpana wa fundi seremala, nikamfuatia kwa juu huku nikiishusha kaptula niliyokuwa nimevaa ambayo sasa ilishaanza kuzidiwa na mbwembwe za mkuu wa kaya, basi akamtazama kwa kuibia kisha akawa ni kama ameshtuka sana.
“Hapana! Hapana, mimi bado mdogo,” alisema na kusababisha wote wawili tucheke sana. Kumbe alipotoka kuoga, alijipaka mafuta tu na kuvaa kile kigauni kisha akajifunga upande wa khanga kwa juu bila kuzihifadhi mali zake kwa kufuli, nilipoligundua hilo nilichelekelea kama fisi aliyeona bonge la fupa.
“Taratibu sasa maana wewe unaoneka...” alisema lakini kabla hata hajamalizia kauli yake, tayari nilikuwa nimeshamuelekeza mkuu wa kaya sehemu ya kuelekea, akampokea kwa kushtukakidogo kisha akawa ananitazama usoni wakati mkuu wa kaya akichanja mbuga kuelekea kwenye mapango ya Mfalme Suleiman.
“Weweee!” aliniita kwa sauti iliyokuwa inatokea kwenye tundu za pua yake, nikawa nagugumia tu bila kujibu chochote. Katika kile kilichoonesha kwamba alikuwa amekaukia kwelikweli, alianza ’varangati’ eti akitaka kumkomesha mkuu wa kaya, moyoni nikawa nasema ‘utaisoma namba!’
Je, nini kitafuatia?
 
SEHEMU YA 17



ILIPOISHIA:
“Weweee!” aliniita kwa sauti iliyokuwa inatokea kwenye matundu ya pua yake, nikawa nagugumia tu bila kujibu chochote. Katika kile kilichoonesha kwamba alikuwa amekaukiwa kwelikweli, alianza ’varangati’ eti akitaka kumkomesha mkuu wa kaya, moyoni nikawa nasema ‘utaisoma namba!’
SASA ENDELEA...
Basi ‘kukurukakara’ ya nguvu ilitokea lakini ndani ya muda mfupi tu, tayari mwenzangu alishafloti, akapanda juu kabisa ya mnazi na kuangua dafu kisha akalipasua pwaaa! Akapiga mayowe kama mtu aliyekurupushwa na mnyama mkali, nikawahi kumziba na mto ili sauti isipae na kusikika mpaka nje.
Alinikamata utafikiri tuna ugomvi huku akihema kwa nguvu, muda mfupi baadaye mwili wake ulilegea, akaangukia pembeni. Nilichomsifu ni kwamba alikuwa na stamina sana kwa sababu muda mfupi baadaye, alisimama akiwa anataka kwenda maliwatoni.
“Miguu haina nguvu kabisa.”
“Sasa si upumzike?”
“Hapana, najisikia vibaya sana, nataka nikajimwagie maji,” alisema, basi akajizoazoa na kutoka, nikawa namsubiri kwa shauku kwa sababu bado ‘mkuu wakaya’ hakuwa ameikata kiu yake.
Muda mfupi baadaye, alirejea akionesha angalau kuchangamka, akaja kukaa karibu yangu huku aibu za kikekike zikiwa zimemjaa.
“Nikuombe kitu!”
“Nambie kidume cha mbegu.”
“Naomba usije ukamwambia mtu yeyote kama ulimuona mamdogo akitoka ndani kwangu.”
“Usijali sitamwambia lakini nataka na wewe uniahidi kwamba nitakuwa nakupata kila ninapokuhitaji! Nishanogewa na asali na sasa nataka kuchonga mzinga,” alisema huku akinitazama kwa aibu za kikekike, kwa muda wote huo hakuwa anajua hali aliyonayo mkuu wa kaya, ghafla si akamgusa kwa bahati mbaya wakati akinisogelea kwa lengo la kunibusu?
“Khaaa!”
“Unashangaa nini?”
“Kumbe bado?” alisema huku akilitoa shuka nililokuwa nimetumia kumficha mkuu wa kaya, akafungua upande wa khanga aliokuwa amejifunga na kuutupa chini, akamsogelea mkuu wa kaya na kumshika kwa adabu, nikiwa sina hili wala lile si akaanza kuimba bwana!
Alikuwa na ufundi ambao sikuutegemea kwa sababu alikuwa akighani kwa sauti tamu sana, nikawa naendelea kusikiliza tungo tamu alizokuwa akizitoa na haukupita muda mrefu, alijiweka vizuri mwenyewe na kumruhusu mkuu wa kaya aelekee sehemu anayotakiwa kuwepo na safari hii, alikuwa anafanya kile kitu wazungu wanaita self service, yaani unajihudumia mwenyewe kulingana na mahitaji yako.
Miongoni mwa kasoro zangu nilizokuwa nazo, nilikuwa naona kama mtu akijihudumia mwenyewe, anakuwa anategea kwa kiasi fulani, kwa hiyo nikaanza tena purukushani kutaka kubadilisha utaratibu lakini alikuwa mjanja sana, ikabidi nitulie.
Aliendelea kunionyesha machejo ya hali ya juu na ilifika mahali, aliongeza kasi akawa angalau amekaribia ile ninayoitaka, jambo lililonipa burudani ya hali ya juu.
“Kwani wewe kabila gani?”
“Mngo...ni,” alisema kwa kukatakata maneno, sasa nikawa nimeelewa kwa nini alikuwa na ujuzi wa hali ya juu kiasi kile.
Ujue haya makabila yanayotoka ukanda wa kusini, kuanzia Wamakonde, Wandengereko, Wangoni na wengineo bila kuwasahau ndugu zangu Wazaramo, huwa bado yanaendeleza zile mila za unyago kwa watoto wao wa kike na hii ni miongoni mwa siri kubwa inayowafanya wawe moto kwelikweli uwanjani.
“Kwani jina lako unaitwa nani?”
“So..phi..a,” alisema huku akiendelea kulicheza ‘segere’ kwa ufundi wa hali ya juu, kidume nikawa nagugumia tu mithili ya mtu anayetafuna bisi ngumu. Hakuchukua muda akawa tayari ameshafika juu ya mnazi kabisa, alipotaka kuangua dafu la pili nilimzuia na kumwambia asubiri kidogo ili tuangue wote, akanitazama kwa macho ambayo yalikuwa kama yana usingizi mzito, akapunguza kidogo kasi na mimi nikawa nazivuta hisia kwa karibu na ili twende sawa, ilibidi nikikamate kiuno chake kilichokuwa mithili ya dondora.
Tukawa tunashindana mbio na hatukuchukua muda mrefu, tukawa tumekwea juu kabisa ya mnazi, alianza yeye kuangua dafu na kulipasua kwa nguvu, na mimi nikamalizia na kusababisha uwanja wote ulowe chapachapa.
Ni hapo ndipo nilipokumbuka kwamba kumbe nilikuwa na kazi ya kufua kule nje, harakaharaka nikakurupuka na kutinga magwanda yangu, nikamuacha akiwa ameuchapa usingizi mzito akiwa katika hali ileile.
Nilisogea mlangoni, nikachungulia huku na kule na nilipohakikisha hakuna mtu pale nje, nilitoka kwa kasi ya mshale, nikaenda mpaka kwenye mabeseni niliyokuwa nafulia, nikawa naendelea na kazi yangu lakini safari hii ilibidi nikae kwenye stuli ndiyo niendelee na kazi kwa sababu kiuno kiligoma kabisa kutoa ushirikiano.
“Ulikuwa wapi?”
“Nilienda kununua sabuni dukani.”
“Anhaa, ikashtuka huyu mtu ameenda wapi tena? Na mimi nataka nifue maana nina nguo nyingi chafu, hapa namsubiri babaako mdogo aondoke tu,” aliniambia mama mdogo huku akinitazama machoni, nikawa nayakwepesha macho yangu kwa sababu sikutaka tutazamane nikidhani anaweza kunigundua kwamba nimetoka dhambini kwa mara nyingine. Isingekuwa picha nzuri.
“Sikia, we nenda kapumzike acha hizo nguo nitakufulia,” aliniambia kwa sauti ya chini, nikatabasamu na kumshukuru sana. Basi ilibidi niingie bafuni kwanza kujimwagia maji kisha nikaingia chumbani kwangu na kwa jinsi nilivyokuwa nimechoka, nilijitupa kitandani na haukupita muda mrefu nikapitiwa na usingizi mzito.
“Ma’mdogo ndiye aliyekuja kunizindua usingizini, nikakurupuka na kufungua mlango.”
“Khaa, kumbe ulilala? Nashangaa naita huitiki, napiga simu inaita tu,” alisema ma’mdogo.
‘Kwani namba yangu ya simu unaijua?”
“Naachaaje kuijua namba ya mume wangu jamani, angalia kama hakuna missed call yangu,” aliniambia huku akishika kiuno kwa madaha, tukaishia kucheka tu.
Nilimuuliza swali hilo kwa makusudi kwa sababu kiukweli kabla ya siku mbili hizo, mahusiano yangu na mamdogo wala hayakuwa mazuri kabisa, hatukuwa na ule ukaribu na muda wote nilikuwa namuona kama ‘nuksi’ kwangu lakini sasa kila kitu kilikuwa kimebadilika.
“Ujue we ma’mdogo mzuri sana,” nilimchombeza, akacheeeka na kuja kugonga na mimi.
“Umefikiria nini kuniambia hivyo? Ulikuwa unanichukulia poa si ndiyo?” alisema huku akinisukuma pale mlangoni, tukaingia magetoni kwangu.
“Ameondoka?”
“Kitambo tu, eti alikuwa anataka mambo, nikamtolea visababu mpaka mwenyewe akachoka, alikuwa anataka kunipakaza shombo tu kama kawaida yake, hajui kwamba mwenzake umeshafanya kazi kikamilifu,” alisema mamdogo, nikacheka sana.
“Nimeshamaliza kufua, nguo zako zilikuwa chafu sana looh! Kuanzia leo sitaki urudie nguo mara mbili, n’takuwa nakufulia na kukunyooshea, sawa mume wangu,” aliniambia na kunibusu, nikajisikia raha sana ndani ya moyo wangu.
“Haya niambie, unataka kula nini?”
“Chochote tu ma’mdogo,” nilimwambia huku moyoni nikiomba asije akatamani tena kuingia ‘msambweni’ kwani nitaadhirika.
“Basi usijali, nakupikia chakula kizuuuri, ukishakula kuna kazi inakusubiri,” alinibusu kisha akainuka, akawa anatoka huku akijitingisha, nikabaki nikimsindikiza kwa macho huku moyoni nikijiambia ‘za mwizi arobaini’.
Je, nini kitafuatia?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom