Chitanda ajiunga na CCM

Chitanda ajiunga na CCM

Bora katoka.kwa sababu kama hajatoka ukanda wa sehem fulani ilikua ile kwake.Bado mnyika
 
Kwani chadema ni chama au Mradi wa mtu huo. Zindukeni nyie mlolala.Mnakua kama mmelishwa unga wa ndele! Suala la ukanda litawamaliza
 
Aliyekuwa mwenyekiti wa chadema mkoa wa lindi ndugu aly omary chitanda amejiunga na ccm huko nyumbani kwao nachinwea mkoani lindi,chitanda amesema ameamua kujiunga na ccm baada ya kugundua kuwa vyama vyote vya upinzani machoni vinaonekana kama taasisi kumbe kiuhalisia ni kundi la watu wanaofanya biashara ya siasa,my take chitanda umepotea njia,ccm haiwezi kurudi katika misingi yake,

Acheni upotoshaji ni kutokana na mgogoro wa kiutawala wa zzk na mbowe.....na wengi wataondoka
 
Naona this is Option B, baada ya zile zote za mwanzo kukwama - CDM sasa CCM wanawapiga za uso - ni kuwanunua makada wenu na wengine kujifisha kurudisha form dakika za majeruhi.

Hapa mnahitaji kujipata maana hii ni mbinu mamboleo,
 
Njaa zake....Nilitegemea angeenda kutumia taaluma yake kama anayo! Kumbe kujiunga CCM ndio suluhisho?
 
na bado hadi slaa atarud kundin ndo maana hajarudsha kad ya ccm
 
Kwani chadema ni chama au Mradi wa mtu huo. Zindukeni nyie mlolala.Mnakua kama mmelishwa unga wa ndele! Suala la ukanda litawamaliza

kuwa mwanachama wa ccm yapasa uwe akili ya kuku ka wewe,
 
Huo ndio mwisho wake wa kufikiri lakini pia tulikosea sana tulipoipa siasa thamani kuliko taaluma, leo mwanasiasa anaishi maisha mazuri kuliko mwanataaluma
 
Sasa makamanda wanapungua gongo tutamuuzia nani??

:dance: :dance:
 
Achna na hao vizabiazbina wa Kaskazi, rudi kwenu ambako kokote ni kwenu
 
Njaa imemrudisha kwa mafisadi.

Nadhani wewe bora ashibe Mbowe lakini wewe na walala Hoi mubaki na njaa ni sawa kabisa. Huyo Bw Chitanda kachukua uamuzi wake inabidii tumheshimu, kwani hiyo ni haki yake ya kidemokrasi
 
Back
Top Bottom