Chitanda ajiunga na CCM

Chitanda ajiunga na CCM

...bado zito,nae ataenda tu...
Zitto anaishi ktk mateso makubwa sana sasa hivi. Ana mapepo 3. 1. Pepo la umaarufu wa vyombo vya habari, 2. Pepo la kuongoza CDM kwa maelekezo ya CCM na 3. Pepo la uongo, fitina na uchimvi. Mapepo haya wakati huu hayapati mahitaji yake kwa muda na kiwango yanayotaka, yanamtesa!
 
Aliyekuwa mwenyekiti wa CHADEMA mkoa wa lindi ndugu aly omary chitanda amejiunga na ccm huko nyumbani kwao nachinwea mkoani lindi,chitanda amesema ameamua kujiunga na CCM baada ya kugundua kuwa vyama vyote vya upinzani machoni vinaonekana kama taasisi kumbe kiuhalisia ni kundi la watu wanaofanya biashara ya siasa,my take chitanda umepotea njia,ccm haiwezi kurudi katika misingi yake,

Ndiyo kawaida ya watu wenye kuangalia maslahi yao binafsi hufanya kama Chitanda alivyofanya. Watu wa tabia yako ndio wanaitwa wasaliti wa demokrasia. kwa mtu mwenye akili kabisa mtu kigeugeu wa kuhama hama vyama hawezi hata kuaminiwa na watoto wake. Sembuse uma wa watanzania. Kimsingi hufai kwenye uwanja wa siasa. Shika jembe kalime
 
Back
Top Bottom