Leah Brown
Senior Member
- Jan 9, 2013
- 198
- 105
Morning! what about you baby!
Am gud gud..!
Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
Morning! what about you baby!
Am gud gud..!
Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
Umetaja Singo nimemkumbuka mwalimu wangu huyu ni mkuda, anakuludisha mwa hata kwa kupungukiwa nusu maksi. Mie, nitakufa triple sitaki single wala double
Hiki ni chama kipya kabisa kinachopokea mabachela wote JF... Tukiwa na mitazamo tofauti na kile cha Baba V ... Huku ni burudani... Yaani stress free.... Watu kama charminglady , stevoh na C6 munakaribishwa. Na wale mabachela wa longtym kama noahism na figganigga munakaribishwa kujinyakulia kujitwaalia nafasi za uongozi wa chama cha raha a.k.a CHIT CHAT BACHELORS... Uandikishaji umeanza... Wahi sasa
ivi mwenyekiti na katibu wa umu ni nani kweli?
Duh... Mafaili ni mengi aisee... Ngoja nikufungulie jipya tu ®C.C.B/8854 Tunza hii thawa!
mwenyekiti alikuwa noahism ila kwa kuwa hana msimamo tumempachika figganigga
Mie ndio mwenyekiti harali.
Thawa... ngoja niitundhe kwenye safe!!!!!
Weeh... Na wale wake wengi wanaenda wapi?
Wale wote ni me waacha!
Umewaacha / wamekuacha? Kuwa muwazi aisee
Namaanisha nime wapiga chini wote, kama wapenda makombo nenda ukale.