CHIT-CHAT BACHELORS (C.C.B) Jiandikishe mapema

CHIT-CHAT BACHELORS (C.C.B) Jiandikishe mapema

Nimewahi nimewahi ( nashangilia) jamani humu ndimo pana ni faa kwakua sina dem nawala siujui utam wake. Kuusu cheo nipeni ufagiaji, nitakua nafagia ofice zetu kilasiku, bila kusahau na usafi mwengine kama kufuta viti na meza siku za vikao vye2. Weweeeeee! Nimewahi nimewahi ( nashangilia )
 
Wewe acha uongo, haiwezekani mwana mke kua na wanaume wawili hiyo ndoa ni ya kizinzi na Mungu ni nae muamini mimi haitambui !.. nenda kwa ulie mchagua sijui nani vile kakudanya danganya hadi ume danganyika. Unamlilia Donn ili iweje? Na kwetu pia hawakutaki ume isha onesha ka uchaluko
Maneno ya watu yameleta migogoro katika uhusiano wetu basi sina namna hapa nmekuwa mpole tu roho inauma Donn acha tu
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom