Zero One Two
JF-Expert Member
- Sep 16, 2007
- 9,346
- 3,033
Nimeo nani? Wakati hata pingamizi bado, kamati ya screening bado pia hata baraka hatujazipata. Basi sema wewe ivyo
nimeoa
nimeoa
Nimeo nani? Wakati hata pingamizi bado, kamati ya screening bado pia hata baraka hatujazipata. Basi sema wewe ivyo
Umejiona eenh, basi sema umeoa RICH WOMAN uone kama kuna atakayepinga, usiwe huku na huku na usirudi CCB, huo ni uselfish
Donn, mpumzishe kwanza ajitafakari
huyu ametimuliwa kabisa uanachama... Hatakiwi ... Labda mpaka uchaguzi mkuu 2015
Mambo Mama Paroko!
ni Shenazi jombaa
Nakuona tu unavyo angaika!
mimi kuhangaikaaa.....!!!?? Teh teh teh... Nikirudi dar ntakupa mwaliko tukutane nikiwa na mke wangu
Kumbe una mke mi nilizani unawake wa four kama mimi
Four tuu....!!! Mi ni mume wa 6... Ila kitu official ni kimoja tu
kama we bachelor kimbilia jukwaa la wageni fasta. kuna kotena limeingia muda si mrefu.
Hongera kijana !
Hongeraaa....!! Kwa hizi liabilities? Hapa tayari ninachanga la 15000/= limeingia....
dah... Ngoja niwahi Husninyo
Ukipenda ua penda na boga lake / izo mambo nilisha zisahau zamani piga piga kibubu icho kiteme vocha iyo