Zero One Two
JF-Expert Member
- Sep 16, 2007
- 9,346
- 3,033
Donn naombeni mnipokeeni tena kwenye chama mie, maisha ya u double siyawezi bhana ni mateso na ninaomba unipe uanasheria wa chama chetu cha C.C.B
Mh ww mbona hueleweki mbona ka unamke! Donn anavigezo kweli huyu vya C.C.B
Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
Na kwako pia, :A S 100:Heshima yako mpwa
Hata Mimi mnipokee pia lolLeah Brown naombeni tu mnipokee maisha ya puresha siyawezi
Jiwe Linaloishi usiwe na shaka, karibu C.C.B
Mh ww mbona hueleweki mbona ka unamke! Donn anavigezo kweli huyu vya C.C.B
Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
Leah Brown naombeni tu mnipokee maisha ya puresha siyawezi
Labda Leah Brown akuombee msamaha kwe herufi kubwa ndo naweza kukufikiria... Ila hawa watu hawawezi tangaza vita hapa? Suprise na Rich woman
Vita gani?
we nikikuweka hapa kwenye permanent..... Si watanitafuna?
Lazima wakutafute tena hata kwa ncha kali aisee! Ila mie na C.C.B pia nipo na wenyewe pia wamo
huku si kunaitwa mtakuja..... Au umesahu
Donn ndugu yako anataka kunipa presha anataka kuwa permanent member anamaanisha nini kweli ntakulaumu wewe kwa kumshawishi arudi hukuwe nikikuweka hapa kwenye permanent..... Si watanitafuna?
Vita gani?
am single for lyf bt nt in CCB
am single for lyf bt nt in CCB