JosephElly
JF-Expert Member
- Jun 5, 2012
- 2,432
- 1,035
- Thread starter
- #361
Unaendelea njema?
dah... Kujikaza kiume tu... Day yote nimeshinda nahama vitanda tu... Ila angalau kidogo nipo poa sio kama jana bana...
Unaendelea njema?
dah... Kujikaza kiume tu... Day yote nimeshinda nahama vitanda tu... Ila angalau kidogo nipo poa sio kama jana bana...
Utakua fresh, sitokusahau katika maombi yetu.
mimi ni bachelor bt not available(bbna), naruhusiwa kujiunga?
mmh... Founder...!!! Labda tukupe Umoderato uwe kama invisible
sogea maeneo haya bibie ladyfurahia
Unatafuta matatizo na wake za watu? Vipi unaendeleaje
Haijalishi... Mi nasajili tuu.... Leo niko pouwa kabisa.... Vurugu kama kawaida... Thnx bro 4 ya prayers
Nawachukia polisi na matendo yao yote. Jichanganye kwa mke wa polisi uone kazi. Mie, hapa shavu linauma
unanitaka nini acha kuwa na domo mtindi lakini elewa kuwa mm ni mama paroko na wewe hujatoa zaka la mwezi wa december hivyo njoo parokiani utoe fungu lako kabla hatua kali hatujazichukua za kusimamisha uongozi wa uzee wewe Donn