Mkuu,asante kwa formula ya Bomu la Nyuklia.Ili kunogesha safari zaidi unaandaa mayai yako ya kuchemsha yakutosha, hotpot kubwa la makande yakisindikizwa na chupa kubwa la juice ya parachichi mixer ndizi.
Hapo safari yako itakuwa murua hasa ukiwa kwenye zile bus za luxury full Ac.
PIKA CHAKO NYUMBANI WE UNAJUA UNAMATATIZO ALAFU UNATAKA ULE HOTELINI WALE KUMBUKA WATEJA WAO NI WASAFIRI TU MDA WA MAGARI UKIISHA NDO HAWAUZI TENA SASA MTU AMEWEKEZA HELA NYINGI AJE AKUUZIE KAMA KWA MAMANTILIENaona watu wengi wanamsiliba mtoa mada kwa maneno ya fedheha lakini lets be realistic. Hilo suala sio sawa. Hata kama mtu ana options za kuka sijui biakuti na soda, kuna watu kwa mfano wagonjwa wa kisukari, je na hao pia wafanyeje? Ndio tuweke utani lakini while we are at it tuliangalie hili pia maana hii ni platform kubwa. Hakuna justification ya wqo kuuza chakula 8000 na zaidi kwa kitu ambacho thamani haifiki hata 3000.
Kwaio mkuu, kwan mpaka uandike kwa herufi kubwa? Mbona makasiriko? Nkuulize, do u think its fair hyo bei wanayoweka?PIKA CHAKO NYUMBANI WE UNAJUA UNAMATATIZO ALAFU UNATAKA ULE HOTELINI WALE KUMBUKA WATEJA WAO NI WASAFIRI TU MDA WA MAGARI UKIISHA NDO HAWAUZI TENA SASA MTU AMEWEKEZA HELA NYINGI AJE AKUUZIE KAMA KWA MAMANTILIE
Picha tafwadhaliSalam,
Nilipita hapo leo nikazama nikauliza bei ya hizo chips, kuna vifuko vya kaki vilivyokatwa nusu wamewekemo chips kidogo ba nyama finyango hazifiki 7.
Nilichoona kwa bei zile wasafiri wanapigwa sana. Utanunua tu kwa kuwa hakuna option. Hii nchi hakuna wanaodhibiti bei za vitu?
Wewe ni ndina!PIKA CHAKO NYUMBANI WE UNAJUA UNAMATATIZO ALAFU UNATAKA ULE HOTELINI WALE KUMBUKA WATEJA WAO NI WASAFIRI TU MDA WA MAGARI UKIISHA NDO HAWAUZI TENA SASA MTU AMEWEKEZA HELA NYINGI AJE AKUUZIE KAMA KWA MAMANTILIE
Sio kila safari mtu anatokea nyumbani.Ukisafiri Songa Ugali Wako Weka Kwenye Hotpot Basi
Kwenye Chips Za Tshs 8000/= Unapiga Ugali
Sio kila safari mtu anatokea nyumbani.Option ipo. Ule usiku wa safari, pika misosi, jaza ma hotpot then utakula kesho yake safarini.
Sio kila safari mtu anatokea nyumbani.Nikiwa nasafiri huwa naamka najipikia nguna yangu,naipiga asubuhi hiyo hiyo then huko safarini me sinunui kingine zaidi ya maji ya kunywa.
Wameshiba tozo!!!Unawaza kula tu. Watu wanafikiria namna ya kuitekeleza Ilani kwa vitendo ifikapo 2025.
Sio kila safari mtu anatokea nyumbani.Yaani Dom to Mwanza lazima ule?
unanunua ugali na mboga kabla hujaenda kulala unahifadhi asubuh kabla ya safari unafinya alaf unapanda busSio kila safari mtu anatokea nyumbani.
Safari zingine unatokea mkoani kikazi (mfano Musoma), unarudi zako Dar es Salaam.
Unatoka Musoma saa kumi usiku, unafika Dar saa kumi usiku.
Acha umbea thibitisha, serikali ya chama cha mapinduzi itawachukulia hatua kali za kisheria.Mabasi ya Abiria yanakula njama na wenye hizi hotel za barabarani , NAWEZA KUTHIBITISHA .
HIYO NI BIASHARA HURIA KILA MTU NA BEI YAKE KAMA HUWEZI ACHA WENZIO WATANUNUAWewe ni ndina!
Sio kila safari mtu anatokea nyumbani.
Safari zingine unatokea mkoani kikazi (mfano Musoma/Rukwa), unarudi zako Dar es Salaam.
Unatoka Musoma/Rukwa saa kumi usiku, unafika Dar 11 alfajiri au kesho yake kabisa
HIYO NI BIASHARA HURIA KILA MTU NA BEI YAKE KAMA HUWEZI ACHA WENZIO WATANUNUAWewe ni ndina!
Sio kila safari mtu anatokea nyumbani.
Safari zingine unatokea mkoani kikazi (mfano Musoma/Rukwa), unarudi zako Dar es Salaam.
Unatoka Musoma/Rukwa saa kumi usiku, unafika Dar 11 alfajiri au kesho yake kabisa
Tumia akili.Kama vipi,pika asubuhiasubuhi,kula vizuri,oga,kapande BUS,ndani ya BUS ibaki ni kunywa maji tu na juice ukitaka.Vitu vingine solution yake ni ndogo tu,waache walioambiwa wale kulingana na urefu wa kamba zao WALE maeneo hayo.
Wanapiga faida nzuri tu mana usipokula utasafiri na njaa.Salam,
Nilipita hapo leo nikazama nikauliza bei ya hizo chips, kuna vifuko vya kaki vilivyokatwa nusu wamewekemo chips kidogo ba nyama finyango hazifiki 7.
Nilichoona kwa bei zile wasafiri wanapigwa sana. Utanunua tu kwa kuwa hakuna option. Hii nchi hakuna wanaodhibiti bei za vitu?