johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,972
- 141,984
Ngoma inogile,
Mbunge wa Iringa mjini Jesca Msambatavangu amesema ni kweli kabisa Mkataba wa Bandari hauna Muda ni wa Milele na hilo ni jambo zuri kwa sababu unaweza kuvunjwa Wakati wowote si hauna Muda.
Jesca alikuwa akihutubia kwenye mkutano wa wana CCM wa Iringa mjini.
Je, unakubaliana na hoja za huyu mwanasaikolojia Jesca Msambatavangu?
Navalonge swela 😄😄🔥🔥
Mbunge wa Iringa mjini Jesca Msambatavangu amesema ni kweli kabisa Mkataba wa Bandari hauna Muda ni wa Milele na hilo ni jambo zuri kwa sababu unaweza kuvunjwa Wakati wowote si hauna Muda.
Jesca alikuwa akihutubia kwenye mkutano wa wana CCM wa Iringa mjini.
Je, unakubaliana na hoja za huyu mwanasaikolojia Jesca Msambatavangu?
Navalonge swela 😄😄🔥🔥