China yaongoza duniani katika utengenezaji na uuzaji wa mabasi ya abiria

Operating cost Ulaya ni kubwa kuliko China so obvious kimahesabu Mchina anapiga profit kubwa

Kuuza bidhaa bei kubwa haimaanishi mtu anaingiza profit kubwa kama cost of production iko juu

Tungepata data za profit mfano yutong vs scania buses waliingia faida kias fani ingemaliza utata
 
Sasa kama kumbe ni suala la Bus body building quality, je, kampuni ulizo taja zina uwezo gani in peculiar wa ku equal or surpass Chinese Companies - hii kasumba ya kuponda ponda kampuni za kichina sijui zina stem kutoka wapi na ukisoma kwa umakini wapondaji wengi hawana elimu yoyote kuhusu: Internal combustion engines(Petrol,Diesel) Gas turbines engines, Stirling engines nk

Zungumzieni hata masuala ya metallurgy, forge and foundry, metal fabrication leteni ushahidi wa kuonyesha kwamba wachina wako nyuma sana katika masuala ya ufundi etc - maneno neno mengi ya kuwapanda China - wengie wao wala hawajawai hata kuitebelea Tazara kuangalia walao reli na madaraja na mahandaki yalivyo jengwa zaidi ya miaka 50 iliyopita na yakoje mpaka sasa.
Kwenye chassis design nahisi mzungu bado yuko mbali sana,kuna siku nilipanda zhongtong toka nakonde mpaka Lusaka. Napenda kusoma nikiwa safarini ila kwenye Ile basi nilishindwa kusoma kitabu changu kwa sababu ya basi kukosa utulivu. Toka Lusaka to Johannesburg nikapanda irizar aise ,ilikua na utulivu wa ajabu na nikaweza kuendelea kusoma mpaka mwisho wa safari.
 
Saiv ally's ana kizazi cha vichaa DXS kuna DXS 557 Winchester, kuna DXS 360 unstoppable alafu kuna DXS 554 Mo hizi chuma zimechafukwa zimebakia kupaa tu
Mkuu zinatembea sana? Sasa hivi mwanza nani ni mbabe? Na mbeya je?
 
Kwa nini unasema hivyo?
Angalia chuma kama hizi

Shabiby hii ni Yutong (2×1 seats) na choo
20230521_162724.jpg


20230521_162731.jpg


Achimwene hii ni ZhongTong chooni
20240117_124558.jpg


Mallesa's chuma ni Yutong
20240117_124050.jpg


Ally's basi ni Golden Dragon
20240117_125425.jpg


20240117_125417.jpg
 

Attachments

  • 20240117_124414.jpg
    20240117_124414.jpg
    10 KB · Views: 2
Cjeap lazima iuzwe sana, Ni kama mitumba Ilala.

Angalia Sokonlake kubwa ni wapi kama siyo Africa.

Mwisho ukija kuangalia Peaa ya Mauzo ya utakuta Benz kaingiza Pesa nyingi kuliko Yutong, Hata Marcopolo S..A. utakuta ameipita hiyo michina kwenye pesa ilioingia
 
Cjeap lazima iuzwe sana, Ni kama mitumba Ilala.

Angalia Sokonlake kubwa ni wapi kama siyo Africa.

Mwisho ukija kuangalia Peaa ya Mauzo ya utakuta Benz kaingiza Pesa nyingi kuliko Yutong, Hata Marcopolo S..A. utakuta ameipita hiyo michina kwenye pesa ilioingia
Mojawapo ya benefits zinazopata viwanda vilivyowekeza China ni low cost of production ukilinganisha na vilivyo Ulaya na America

Kwa hiyo kadiri wanavyouza units nyingi za mabasi ni faida zaidi kwao

Scania, Benz, Man wanaweza kuwa wanauza kwa bei kubwa lakini wakija kutoa direct na indirect costs faida ikawa ya kawaida sana
 
Marcopolo ni Body Builder wa Body za Mabasi. Ana plant Brazil, India,Ureno,South Africa na China wamefungua plant baada ya wachina kununua hisa mfano wa Body za China ni basi za Super Feo zilitengenezwa kwa ajili ya soko la Africa na wakawa wanajaribu na kufanya utafiti.


Marcopolo yeye anatengeneza body kisha kampuni za magari kama Scania,Volvo,Man Diesel na Benz wanaweka engine zao. Hizo Neobus za Mercedes Benz body Builder ni Marcopolo. Iveco bus body zipo chini ya Marcopolo.

Wale makaburu waliounda Body za MCV Bus, mfano wa zile basi za Ottawa,Nganga,Allys zilizokuwa zinatoka South Africa ile kampuni nayo ipo Chini ya Marcopolo baada ya kuuzwa.
 
Back
Top Bottom