Xi Jinping
JF-Expert Member
- Jun 14, 2023
- 802
- 2,743
- Thread starter
- #61
Kungekuwa na categories za ufisadi, rushwa, uzembe naamini tungetoka vinaraTanzania yetu mbona imesahaulika kwenye list mkuu.Maana kuna category na sisi tupo
Kungekuwa na categories za ufisadi, rushwa, uzembe naamini tungetoka vinaraTanzania yetu mbona imesahaulika kwenye list mkuu.Maana kuna category na sisi tupo
Israel wako overrated sana ila hawana lolote kwenye innovation. Kuna vipengele hata Iran ameonekana wao hawaonekaniSojaona wa taifa teule kuwa wanaakili sana na innovation
Haya mambo 3 ndiyo yameifikisha hapo ChinaWanafanya sana kazi. Wanawekeza sana kwenye tafiti na gunduzi mpya.
Sio kwa kizazi hiki Mkuu.... Maendeleo ni hatua ambapo kwa bahati mbaya Sana hua naona sisi tumeruka hatua kadhaa.... Nchi nyingi zinazoendelea kwa Sasa hasa za kiafrika basi ni either walivutana mpaka kumwaga damu au Waliamua kukubaliana na kuacha uongozi Wa kiimla. Nchi yetu bado aina ya uongozi ni mkondo ule ule kama sio baba, basi mama, ndugu au rafiki. Katika hili usitarajie Mabadiliko yatakayopinga vibaya matumizi mabaya ya madaraka, wizi na ufisadi. Na hakuna namna ndio maana nikasema labda sio kwa kizazi hiki.Mkuu sisi watu weusi sijui ni lini tutafika huko, nataman nchi yetu ingeluwa na viwanda vya uzalishaji bidhaa na kuuza nje kwa waafrica wenzetu, tupunguze ukosefu wa ajira, nchi iendelee, mimi naona njia za kutufanikisha zipo, ila tatizo sijui viongozi wamelala daa😭, naumoa sana kuona still tupo kwenye umasikini wakati njia za kujikomboa zipo.
Yupo wa kumdondoshea lawama. Watasema sababu ni Russia.Wasipojinasua kutoka kwa Marekani watazidi kuwa na hali mbaya
Yenye nyekundu kwa chiniHapo Kuna benders 2 zinafanana, muajemi ni yupi
Jeti injin na democracy wwpi kwa wapi au democracy ni basic component ya jet injinna kuna wananchi wataamini hizi propaganda za CCP
what a tragedy
huwezi pata innovation bila freedom mzee.....
critical technologies kama jet engines,AI,advanced chips,etc huwezi zipata China
CCP ipo kwenye propaganda season
Tunaaminishwa eti ni magreat thinker ndo wameibeba wababe wa tech dunianiWale jamaa wako overrated sana ila hawana lolote kwenye innovation. Kuna vipengele hata Iran ameonekana wao hawaonekani
Bidhaa orijino ya mchina,wewe huna uwezo wa kuimiliki. Tatizo si yeye. China,kuna bidhaa zinakuja Afrika tuuu,na haziuzwi kwingineko. Sababu ni ubora na bei. Mtu anachukulia Shikingi chini ya mia(100),akifika huku anauuzia elfu kumi(10,000). Binadamu sisi ndo tunawatia umasikini wenzetu.Mimi mchina kwa kweli amenipa umaskini. Bidha zao feki mno. Mimi mchina hapana. Bado Sana wachina
Utafiti huu umefanywa na nani?mbona hata hujafanya paraphrase? Acknowledgment?ni wa lini,tarehe nk.Wakati Marekani kwa miaka kadhaa ikitumia mabilioni ya pesa kwenye vita, China imekuwa ikiwekeza mabilioni kwenye R&D (Research & Development)
Matokeo yameanza kuonekana sasa, utawala wa Marekani na nchi za Magharibi umezidiwa na China kwenye technology breakthrough (methods, systems, and devices which are the result of scientific knowledge being used for practical purposes)
China inaongoza katika critical technology (technology useful in many applications) 37 kati ya 44 zilizoangaziwa. Na hizi teknolojia 44 zimegawanywa kwenye makundi 7:
1. Advanced materials and manufacturing
View attachment 2988772
View attachment 2988773
2. Artificial intelligence and communications
View attachment 2988774
View attachment 2988775
3. Energy and environment
View attachment 2988776
4. Quantum
View attachment 2988777
5. Biotechnology, gene technology and vaccines
View attachment 2988778
6. Sensing, timing and navigation
View attachment 2988779
7. Defence, space, robotics and transportation;
View attachment 2988780
Utafiti huu umefanywa na nani?mbona hata hujafanya paraphrase? Acknowledgment?ni wa lini,tarehe nk.
Hili ni chapisho la watu lazima uwe na Adabu.
M china anapigwa gape kila kukichaNadhani kufikia mwaka 2030 China itakuwa Superpower duniani!
Wee jamaa utakua taahiraJeti injin na democracy wwpi kwa wapi au democracy ni basic component ya jet injin
Us ni mataifa zaidi ya 50 yenye mchanganyiko wa watu mbalimbali duniani , kuanguka kwake sio rahisi kama unavyofikiri.ndio mana ni muhimu sana kwa China kumsupport Russia kule Ukraine,
US anatumia vibaya 'ukubwa' wake ambao nao 'alipewa' na wenzake!
downfall ya US itakua mbaya sana, maana on his way up ameumiza wengi sana, na sasa anachoma ngazi iliyompandisha juu ili wengine wasipande!
Ujanja wa China ndio unaomuweka mjini. Anasubiri mmoja avumbue yeye aanze kufyatua kivyake bila kuangalia standard. Cha kushangaza wachina wenye hela hawatumii bidhaa zao za china. Ujanja unawaweka mjini.Wakati Marekani kwa miaka kadhaa ikitumia mabilioni ya pesa kwenye vita, China imekuwa ikiwekeza mabilioni kwenye R&D (Research & Development)
Matokeo yameanza kuonekana sasa, utawala wa Marekani na nchi za Magharibi umezidiwa na China kwenye technology breakthrough (methods, systems, and devices which are the result of scientific knowledge being used for practical purposes)
China inaongoza katika critical technology (technology useful in many applications) 37 kati ya 44 zilizoangaziwa. Na hizi teknolojia 44 zimegawanywa kwenye makundi 7:
1. Advanced materials and manufacturing
View attachment 2988772
View attachment 2988773
2. Artificial intelligence and communications
View attachment 2988774
View attachment 2988775
3. Energy and environment
View attachment 2988776
4. Quantum
View attachment 2988777
5. Biotechnology, gene technology and vaccines
View attachment 2988778
6. Sensing, timing and navigation
View attachment 2988779
7. Defence, space, robotics and transportation;
View attachment 2988780
Wakati Marekani kwa miaka kadhaa ikitumia mabilioni ya pesa kwenye vita, China imekuwa ikiwekeza mabilioni kwenye R&D (Research & Development)
Matokeo yameanza kuonekana sasa, utawala wa Marekani na nchi za Magharibi umezidiwa na China kwenye technology breakthrough (methods, systems, and devices which are the result of scientific knowledge being used for practical purposes)
China inaongoza katika critical technology (technology useful in many applications) 37 kati ya 44 zilizoangaziwa. Na hizi teknolojia 44 zimegawanywa kwenye makundi 7:
1. Advanced materials and manufacturing
View attachment 2988772
View attachment 2988773
2. Artificial intelligence and communications
View attachment 2988774
View attachment 2988775
3. Energy and environment
View attachment 2988776
4. Quantum
View attachment 2988777
5. Biotechnology, gene technology and vaccines
View attachment 2988778
6. Sensing, timing and navigation
View attachment 2988779
7. Defence, space, robotics and transportation;
View attachment 2988780
siku ukiielewa Urusi na China basi utarudi kuosapot USA , ni swala la muda tundio mana ni muhimu sana kwa China kumsupport Russia kule Ukraine,
US anatumia vibaya 'ukubwa' wake ambao nao 'alipewa' na wenzake!
downfall ya US itakua mbaya sana, maana on his way up ameumiza wengi sana, na sasa anachoma ngazi iliyompandisha juu ili wengine wasipande!
kama hujuI historia utaona hivyo , ila kasome historia uielewa ulaya kwanza , bila USA basi Ulaya ingekuwa inarudi kwenye civil wars mara kwa mara , USA ndo kaifanya Ulaya iwe moja na kutizamana kama nduguKafanikiwa sana kuwaangusha Europe wasipande juu.
Sasa hivi mataifa ya Ulaya wamekuwa kama wake za Marekani hawawezi kabisa kujifanyia maamuzi yao wanamsikiliza bwana wao kwanza anasemaje
Stagnant economy in Eurozone, gharama za nishati zimepanda, high rate of unemployment, inflation, low industrial output
Yote kwa sababu ya kumsikiliza Marekani