China yaongoza duniani katika teknolojia (critical technologies)

Hapo namba 4 Quantum kipengele cha Quantum computing baada ya Marekani kuona watazidiwa wameshaanza figisu

View attachment 2988799
ndio mana ni muhimu sana kwa China kumsupport Russia kule Ukraine,
US anatumia vibaya 'ukubwa' wake ambao nao 'alipewa' na wenzake!

downfall ya US itakua mbaya sana, maana on his way up ameumiza wengi sana, na sasa anachoma ngazi iliyompandisha juu ili wengine wasipande!
 
ndio mana ni muhimu sana kwa China kumsupport Russia kule Ukraine,
US anatumia vibaya 'ukubwa' wake ambao nao 'alipewa' na wenzake!

downfall ya US itakua mbaya sana, maana on his way up ameumiza wengi sana, na sasa anachoma ngazi iliyompandisha juu ili wengine wasipande!
Umesema vyema

Marekani itakumbukwa kwa jinsi iliaingusha Japan miaka ya 1980 wakati Japan inakuja kwa kasi kwenye teknolojia na industrial manufacturing kwa kutumia Plaza Accord Agreement, kupiga ban importation of Japanese industrial products na high import tariffs
 
Kuna mzee anayetetea taifa la Mungu kupigana na Hamas , tapeli anayelazimisha auziwe app ya tiktok
Anazeeka vibaya sana yule babu Biden

Ila sijajua kwa nini Marekani wanawapenda sana hawa wazee wawili Trump na Biden

Wanawarudisha nyuma sana miaka yao ya utawala hakuna cha maana walichofanya kwenye masuala ya tech, industrial output na uchumi

Xi Jinping anawanyoosha sana
 
ndio mana ni muhimu sana kwa China kumsupport Russia kule Ukraine,
US anatumia vibaya 'ukubwa' wake ambao nao 'alipewa' na wenzake!

downfall ya US itakua mbaya sana, maana on his way up ameumiza wengi sana, na sasa anachoma ngazi iliyompandisha juu ili wengine wasipande!
US anapitia kipindi kigumu sana hegemony yake inashuka kwa kasi.

China wanazichanga karata zao kwa umakini sana.

Marekani alianza kwa kutaka kuiangusha HUAWEI wakashindwa, wakaja kwenye chip war wakashindwa

Anamchokoza aanzishe vita kwa kuisupport Taiwan, Mchina katulia tu, wanamchokoza kwenye South China Sea pia katulia. Lakini anailinda mipaka yake kwa uthabiti hajakaa kizembe. Mchina anachofanya anazidi kuimarisha jeshi lake la Navy. Wiki iliyopita tu wametoka kuizindua aircraft carrier yao ya tatu Fujian

Sasa hivi Marekani kaingia kwenye high tariffs kwa bidhaa za China. Kama EVs wamepandisha tariffs mpaka kufikia 100%

Hii ni dalili ya kushindwa
 
Umesema vyema

Marekani itakumbukwa kwa jinsi iliaingusha Japan miaka ya 1980 wakati Japan inakuja kwa kasi kwenye teknolojia na industrial manufacturing kwa kutumia Plaza Accord Agreement, kupiga ban importation of Japanese industrial products na high import tariffs
.......na ndicho wanachojaribu kuifanyia uchina, sema wachina ni wanafunzi wazuri sana wa historia,.......

ninachokiona hili jambo litapelekea kila nchi ijaribu kujitegemea katika vitu vya msingi, na hivyo kuondoa kile wanaita 'utandawazi' i.e freeflow of goods and capital.........

sitegemei nchi kama urusi ije kutegemea bidhaa za magharibi tena baada ya hivi vikwazo, na hili litakua anguko la magharibi kiuchumi na kiushawishi
 
na kuna wananchi wataamini hizi propaganda za CCP

what a tragedy

huwezi pata innovation bila freedom mzee.....

critical technologies kama jet engines,AI,advanced chips,etc huwezi zipata China

CCP ipo kwenye propaganda season
ujinga ni mzigo mkubwa sana!

hitler na wanasanyansi wake walipofanya gunduzi za ajabu kulikua na uhuru?

nyie ndio mnaamini eti ushoga ni haki za binadamu, what a pit
 
.......na ndicho wanachojaribu kuifanyia uchina, sema wachina ni wanafunzi wazuri sana wa historia,.......

ninachokiona hili jambo litapelekea kila nchi ijaribu kujitegemea katika vitu vya msingi, na hivyo kuondoa kile wanaita 'utandawazi' i.e freeflow of goods and capital.........

sitegemei nchi kama urusi ije kutegemea bidhaa za magharibi tena baada ya hivi vikwazo, na hili litakua anguko la magharibi kiuchumi na kiushawishi
Umesema vyema

China imeionyesha dunia kuwa Marekani the so called baba wa free trade ni mnafiki kumbe akizidiwa anakuwaje

Hata India nao wajitathimini sana, kitendo cha kutumiwa na West kutaka kucompete na China kitakuja kuwatokea puani

Wajitahidi sana hasa kwenye kutengeneza na kuzibrand Indian based high tech companies

Na wao wawe na HUAWEI yao, BYD yao, Alibaba yao, Tecent yao, Baidu yao, C919 yao n.k

La sivyo anachofanyiwa China sasa wasishangae wakaja kufanyiwa na wao. Mjapan alisanda figisu za Marekani

Mchina kaionyesha dunia inawezekana kumkazia Marekani
 
Umesema vyema

China imeionyesha dunia kuwa Marekani the so called baba wa free trade ni mnafiki kumbe akizidiwa anakuwaje

Hata India nao wajitathimini sana, kitendo cha kutumiwa na West kutaka kucompete na China kitakuja kuwatokea puani

Wajitahidi sana hasa kwenye kutengeneza na kuzibrand Indian based high tech companies

Na wao wawe na HUAWEI yao, BYD yao, Alibaba yao, Tecent yao, Baidu yao, C919 yao n.k

La sivyo anachofanyiwa China sasa wasishangae wakaja kufanyiwa na wao. Mjapan alisanda figisu za Marekani

Mchina kaionyesha dunia inawezekana kumkazia Marekani
Wellsaid bro, uchambuzi mzuri sana

Wasiridhike na FDI za akina Apple ndani ya Delhi

Tusikie nao wawe na the likes of Shenzhen Silicon Valley of hardware yao pia pale Mumbai
 
Back
Top Bottom