China yaongoza duniani katika teknolojia (critical technologies)

China yaongoza duniani katika teknolojia (critical technologies)

Wakati Marekani kwa miaka kadhaa ikitumia mabilioni ya pesa kwenye vita, China imekuwa ikiwekeza mabilioni kwenye R&D (Research & Development)

Matokeo yameanza kuonekana sasa, utawala wa Marekani na nchi za Magharibi umezidiwa na China kwenye technology breakthrough (methods, systems, and devices which are the result of scientific knowledge being used for practical purposes)

China inaongoza katika critical technology (technology useful in many applications) 37 kati ya 44 zilizoangaziwa. Na hizi teknolojia 44 zimegawanywa kwenye makundi 7:

1. Advanced materials and manufacturing
View attachment 2988772

View attachment 2988773

2. Artificial intelligence and communications

View attachment 2988774

View attachment 2988775


3. Energy and environment
View attachment 2988776


4. Quantum
View attachment 2988777


5. Biotechnology, gene technology and vaccines
View attachment 2988778

6. Sensing, timing and navigation
View attachment 2988779

7. Defence, space, robotics and transportation;

View attachment 2988780
Nimejaribu kuangalia mara 2 mbili sijaona bendera ya taifa teule
 
Back
Top Bottom