China yaja na technolojia mpya ya kuunganisha mtandao

China yaja na technolojia mpya ya kuunganisha mtandao

Faana

JF-Expert Member
Joined
Dec 12, 2011
Posts
42,436
Reaction score
50,163
Kampuni ya Chang Guang Satellite imeweka kiwango kipya cha 100 Gbps kwa kutumia kiunganishi cha laser kutoka angani hadi Duniani, ikiiacha Starlink nyuma na kutanguliwa na satelaiti za Jilin-1, hii sio tu kuhusu intaneti ya kasi zaidi—ni hatua kubwa kuelekea uvumbuzi wa hali ya juu wa kuelekea mitandao ya 6G.

China inapanga nini kijacho katika technolojia ya satelaiti? Hebu tuzungumze juu yake!

SmartSelect_20250321_203021_Samsung Internet.jpg
 
China inapiga hatua kubwa katika teknolojia ya anga.

Kampuni ya Chang Guang Satellite imeweka kiwango kipya cha 100 Gbps kwa kutumia kiunganishi cha laser kutoka angani hadi Duniani, ikiiacha Starlink nyuma na kutanguliwa na satelaiti za Jilin-1, hii sio tu kuhusu intaneti ya kasi zaidi—ni hatua kubwa kuelekea uvumbuzi wa hali ya juu wa kuelekea mitandao ya 6G.

China inapanga nini kijacho katika technolojia ya satelaiti? Hebu tuzungumze juu yake!

View attachment 3278988
Hivi china alishwahi kubuni Tech yake mwenyewe zaidi copy na paste za watu wenye akili?
 
China inapiga hatua kubwa katika teknolojia ya anga.

Kampuni ya Chang Guang Satellite imeweka kiwango kipya cha 100 Gbps kwa kutumia kiunganishi cha laser kutoka angani hadi Duniani, ikiiacha Starlink nyuma na kutanguliwa na satelaiti za Jilin-1, hii sio tu kuhusu intaneti ya kasi zaidi—ni hatua kubwa kuelekea uvumbuzi wa hali ya juu wa kuelekea mitandao ya 6G.

China inapanga nini kijacho katika technolojia ya satelaiti? Hebu tuzungumze juu yake!

View attachment 3278988

Napata internet ya ttcl kwa 55,000 kwa Mwezi ina speed ya kunitosha; Mambo ya kujadili ma giant yananichelewesha mimi Kuwa giant, kumradhi kwenye huu mjadala Mimi sitakuwepo
 
Hiyo itawafaa wenyewe tu. Si walishaamua kujitenga na ulimwengu katika mtandao wa internet? Ni sawa na mtoto ana facilities zote za kisasa uani, ila amekatazwa na wazazi wake kutoka nje ya geti kucheza na wenzake
 
Hivi china alishwahi kubuni Tech yake mwenyewe zaidi copy na paste za watu wenye akili?
Na sisi Watanzania tujipongeze kwani tunaweza kubuni Nahau, Misemo, Methali, Mashairi, Ngonjera, uchawa na Mipasho..... Lakini tumbukushane wenzetu wanazidi kusonga mbele kwa kasi kubwa huku wakirahisisha maisha kwa teknolojia mpya. Huo msemo wa kwamba wanakopi teknolojia ndio unatufanya tubweteke na kubaki tunatunga phrase nyepesi kama hizi..... Mtu anamaliza kidato cha sita hawezi hata kulima tuta la mboga ni aibu kubwa sana. Wenzetu wapo busy kujenga Space Station yao huko angani....
 
Napata internet ya ttcl kwa 55,000 kwa Mwezi ina speed ya kunitosha; Mambo ya kujadili ma giant yananichelewesha mimi Kuwa giant, kumradhi kwenye huu mjadala Mimi sitakuwepo
Kila la heri
 
Na sisi Watanzania tujipongeze kwani tunaweza kubuni Nahau, Misemo, Methali, Mashairi, Ngonjera, uchawa na Mipasho.....
🤣
Ongezea vijembe na kejeli mkuu
 
Back
Top Bottom