Super Don
JF-Expert Member
- Dec 10, 2016
- 1,978
- 1,784
Inalipwa kupitia bajeti ya serikali kuu mfano bajeti ya serikali 2020/2021 ni trilion 30 trilion 3 zinaenda direct kulipa deniNunaomba kufahamu hii mikopo Huwa inalipwa vipi.. je huwa tuailipa kupitia bajeti zetu za kifedha au kwa njia gani wakuu?
Sio vibaya kukopa pale unapo kwama.. binafsi nadhani ingekuwa ni vizuri pia kama kuna namna ambavyo sisi huwa tunawasaidia tuwe tunatangaza pia kwenye media kama hivi itapendeza sana.
Au huwa hawafaidiki na sisi??..