China na Xi Jinping vipi tena?

China na Xi Jinping vipi tena?

Nyani Ngabu

Platinum Member
Joined
May 15, 2006
Posts
97,068
Reaction score
136,455
Kiwango cha kodi za bidhaa zitokazo China kwenda Marekani sasa ni 145%.

Kiwango cha kodi za bidhaa zitokazo Marekani kwenda China ni 84%.

Naona Mchina kashindwa kwenda sambamba Mnyamwezi 🤣.

Nyie Wachina wa Kiuruwi na Tabata Sanene kujeni hapa mtoe maelezo [visingizio] yenu ni kwa nini mmeshindwa kula sahani moja na Trump.

145% dhidi ya 84% hakuna kabisa uwiano wala ukaribu wowote ule.

Mnazidi kuthibitisha kuwa ngoma nzito nzito hamziwezi. Mnachoweza ni ujanja ujanja na ulaghai tu.

Hata bidhaa zinazouzwa Temu, kwa mfano, ubora wake ni wa mashaka sana.

Nunua nguo toka Temu halafu ifue uone itavyobadilika 🤣.

Sijui kwa nini tu Wachina wako hivyo.

Ndo maana mimi siwawmini kabisa watu wanavyodai kuwa jeshi la China sasa hivi ndo jeshi la pili kwa ubora duniani.
 
Bro, Easter hiyo, then watoto wanarudi baada ya hapo, tunakaa na Familia then wanarudi shule...

Do you have any business na China/ USA ya kukuingizia Kipato au is just ample time and interests?

These are world giants, they can mind their own business, and we focus on our problems!

No disrespect, but naona tu kama hulali una deal na watu ambao hawana msaada/impact kwetu.
 
Kiwango cha kodi za bidhaa zitokazo China kwenda Marekani sasa ni 145%.

Kiwango cha kodi za bidhaa zitokazo Marekani kwenda China ni 84%.

Naona Mchina kashindwa kwenda sambamba Mnyamwezi 🤣.

Nyie Wachina wa Kiuruwi na Tabata Sanene kujeni hapa mtoe maelezo [visingizio] yenu ni kwa nini mmeshindwa kula sahani moja na Trump.

145% dhidi ya 84% hakuna kabisa uwiano wala ukaribu wowote ule.

Mnazidi kuthibitisha kuwa ngoma nzito nzito hamziwezi. Mnachoweza ni ujanja ujanja na ulaghai tu.

Hata bidhaa zinazouzwa Temu, kwa mfano, ubora wake ni wa mashaka sana.

Nunua nguo toka Temu halafu ifue uone itavyobadilika 🤣.

Sijui kwa nini tu Wachina wako hivyo.

Ndo maana mimi siwawmini kabisa watu wanavyodai kuwa jeshi la China sasa hivi ndo jeshi la pili kwa ubora duniani.
Waandikie kichina na kwenye vyombo vyao vya habari, unatuandikia sisi so what?
 
Kiwango cha kodi za bidhaa zitokazo China kwenda Marekani sasa ni 145%.

Kiwango cha kodi za bidhaa zitokazo Marekani kwenda China ni 84%.

Naona Mchina kashindwa kwenda sambamba Mnyamwezi 🤣.

Nyie Wachina wa Kiuruwi na Tabata Sanene kujeni hapa mtoe maelezo [visingizio] yenu ni kwa nini mmeshindwa kula sahani moja na Trump.

145% dhidi ya 84% hakuna kabisa uwiano wala ukaribu wowote ule.

Mnazidi kuthibitisha kuwa ngoma nzito nzito hamziwezi. Mnachoweza ni ujanja ujanja na ulaghai tu.

Hata bidhaa zinazouzwa Temu, kwa mfano, ubora wake ni wa mashaka sana.

Nunua nguo toka Temu halafu ifue uone itavyobadilika 🤣.

Sijui kwa nini tu Wachina wako hivyo.

Ndo maana mimi siwawmini kabisa watu wanavyodai kuwa jeshi la China sasa hivi ndo jeshi la pili kwa ubora duniani.
Ndio kaz mnayoiweza watanzania ushabiki wa kijinga. Nataman mngepata hata muda wa kuja china muda huu kuja kwenye maonyesho ya canton fair kuna kitu mtatoka nacho.
 
Xi Jinping njoo huku tafadhari
Baada ya Marekani kuongeza kufikia 145%

Jana msemaji wa China's Ministry of Commerce alisema kwenye press kuwa wataongeza

"If the United States is bent on waging a trade war, China will fight to the end."
– He Yongqian (Ministry of Commerce Spokeperson)

Huyu mleta mada huwa hajaelewa kinachoendelea

Mara zote China huwa inaongeza tariffs baada ya ile ya kwanza kuanza rasmi

Mara ya mwisho alitangaza kuiongezea Marekani tariffs kufikia 85% ilianza rasmi 10 April

Soon nadhani leo China itaongeza 50% kwenye 85% ya mwanzo itakuwa 135%

Hii vita haijaisha China ilishasema itaenda sambamba na Marekani mpaka mwisho

Mleta mada anaanza kushangalia ushindi wakati game is on
 
Atakayeathirika hapa ni USA pakubwa, China analo soko la bidhaa zake Afrika na Asia, wakati USA anaarithiri watu wake mwenyewe. Juzi nimesikiliza BBC raia mmoja wa USA fundi magari anasema walikiwa wanategenea spare part from China na sasa havipo japo alisema ana amini vitakuja japo kwa ongezeka la dola 70.
 
Bro, Easter hiyo, then watoto wanarudi baada ya hapo, tunakaa na Familia then wanarudi shule...

Do you have any business na China/ USA ya kukuingizia Kipato au is just ample time and interests?

These are world giants, they can mind their own business, and we focus on our problems!

No disrespect, but naona tu kama hulali una deal na watu ambao hawana msaada/impact kwetu.
Huyu jamaa muda wote ni kui promote Marekani. Ni mswahili mwenzetu lakini anajisikia Mmarekani zaidi
 
Kiwango cha kodi za bidhaa zitokazo China kwenda Marekani sasa ni 145%.

Kiwango cha kodi za bidhaa zitokazo Marekani kwenda China ni 84%.

Naona Mchina kashindwa kwenda sambamba Mnyamwezi 🤣.

Nyie Wachina wa Kiuruwi na Tabata Sanene kujeni hapa mtoe maelezo [visingizio] yenu ni kwa nini mmeshindwa kula sahani moja na Trump.

145% dhidi ya 84% hakuna kabisa uwiano wala ukaribu wowote ule.

Mnazidi kuthibitisha kuwa ngoma nzito nzito hamziwezi. Mnachoweza ni ujanja ujanja na ulaghai tu.

Hata bidhaa zinazouzwa Temu, kwa mfano, ubora wake ni wa mashaka sana.

Nunua nguo toka Temu halafu ifue uone itavyobadilika 🤣.

Sijui kwa nini tu Wachina wako hivyo.

Ndo maana mimi siwawmini kabisa watu wanavyodai kuwa jeshi la China sasa hivi ndo jeshi la pili kwa ubora duniani.
SI kila mtu abakie na bidhaa zake kwanini wasumbuane
 
Yani nyie waafrica mnaonunua mabeseni na yeboyebo kutoka china ndio mnaweza Ku replace soko la Marekani Kwa mchina.


Soko la Marekani Kwa mwaka linampa mchina Dola bilion 500 sawa na 3% ya GDP ya China..


Wakati soko Zima la Africa linampa mchina Dola bilion 160 tu.


Mpaka hapo utajua nani Yuko kwenye stress Sasa hivi
Atakayeathirika hapa ni USA pakubwa, China analo soko la bidhaa zake Afrika na Asia, wakati USA anaarithiri watu wake mwenyewe. Juzi nimesikiliza BBC raia mmoja wa USA fundi magari anasema walikiwa wanategenea spare part from China na sasa havipo japo alisema ana amini vitakuja japo kwa ongezeka la dola 70.
 
Back
Top Bottom