kibogo
JF-Expert Member
- Apr 1, 2012
- 9,739
- 4,732
Kwa hiki kinachofanyika China inakuwa nchi ambayo inavuruga kabisa Demokrasia yetu kwani inawezekana kutokana na mikataba ya siri waliyosainishana na Kikwete hawa wachina watafanya kila hira na fitina kuhakikisha wanavuruga uchaguzi wetu 2015 kwa kuisaidia CCM kwa nguvu zote ili waendelee kuvuna rasilimali zetu na kuijenga nchi yao.