Beira Boy
JF-Expert Member
- Aug 7, 2016
- 17,895
- 25,945
Aman iwe nanyi.
Huo ndo ukweli China aache kudanganya watu na asidhan kuwa kila mtu ni nyumbu.
China hana uwezo wa kutumia siku sita kujenga hospital. Labda ajenge hospital ya mabua.
Haya machuma chuma yake yana wadanganya mapopoma tu kuwa atatumia siku hizo.
Jana ndio kaanza lakin mpaka leo hajasimamisha hata msingi wa tofali au jiwe.
Sent using Jamii Forums mobile app
Huo ndo ukweli China aache kudanganya watu na asidhan kuwa kila mtu ni nyumbu.
China hana uwezo wa kutumia siku sita kujenga hospital. Labda ajenge hospital ya mabua.
Haya machuma chuma yake yana wadanganya mapopoma tu kuwa atatumia siku hizo.
Jana ndio kaanza lakin mpaka leo hajasimamisha hata msingi wa tofali au jiwe.
Sent using Jamii Forums mobile app