Amin The Race
Member
- Apr 28, 2019
- 8
- 5
Habar wanajamvi
Leo nmekutana na changamoto baada ya mwanang kuniuliza swali ambalo sikuwa na majib ya kuridhisha. Swali lenyew n huu utaratibu wa kusoma saa, yaan kwa mfano kwa kama n saa saba mchana, huandikwa 1 badala ya 7.
Huu utamadun ulianzia wap na kwa nn??
Ahsanten na karibun san Wajuv mnijuze
Leo nmekutana na changamoto baada ya mwanang kuniuliza swali ambalo sikuwa na majib ya kuridhisha. Swali lenyew n huu utaratibu wa kusoma saa, yaan kwa mfano kwa kama n saa saba mchana, huandikwa 1 badala ya 7.
Huu utamadun ulianzia wap na kwa nn??
Ahsanten na karibun san Wajuv mnijuze
kwa nn saba isomwe 1???