Chimbuko la usomaji huu wa saa ni nini?

Chimbuko la usomaji huu wa saa ni nini?

Amin The Race

Member
Joined
Apr 28, 2019
Posts
8
Reaction score
5
Habar wanajamvi
Leo nmekutana na changamoto baada ya mwanang kuniuliza swali ambalo sikuwa na majib ya kuridhisha. Swali lenyew n huu utaratibu wa kusoma saa, yaan kwa mfano kwa kama n saa saba mchana, huandikwa 1 badala ya 7.
Huu utamadun ulianzia wap na kwa nn??
Ahsanten na karibun san Wajuv mnijuze
 
Habar wanajamvi
Leo nmekutana na changamoto baada ya mwanang kuniuliza swali ambalo sikuwa na majib ya kuridhisha. Swali lenyew n huu utaratibu wa kusoma saa, yaan kwa mfano kwa kama n saa saba mchana, huandikwa 1 badala ya 7.
Huu utamadun ulianzia wap na kwa nn??
Ahsanten na karibun san Wajuv mnijuze
waswahili, wahabeshi huhesabu siku kuanzia saa moja asubuhi, pale jua linapochomoza hapo wao ndio husema saaa moja na siku imeanza, wazungu siku inaanza usiku, saaa tumia akili siku inaanza jua likichomoza ama usiku wa giza tii usio na alama yeyote
 
kwa ziada, waarabu waajemi na wayahudi wanaanza kuhesabu siku saa moja usiku.
ndio maana pale mwezi unapoandama huwa jioni na watu hupiga azana kumaanisha siku ya idi imefika, yani ile jioni ya saa kumi na mbili na saa moja wao ndio tarehe mpya huanza

pia, waswahili siku ya kwanza ya wiki ni jumamosi, wakati waarabu na wayahudi siku ya kwanza ni jumapili, wakati huohuo wazungu siku ya kwanza ya wiki ni jumatatu
 
Kiswahili ndo kimeleta huu ufala, 07:00am ni seven a.m, yaani masaa 7 toka siku ianze. sasa mswahili akasema saa moja kamili asubuhi. Inshorti siku ya kiswahili inaanza asubuhi siyo saa sita usiku
Vp hao wazungu kwa nn waanze siku usiku? Kuna kigezo chochote???
 
Habar wanajamvi
Leo nmekutana na changamoto baada ya mwanang kuniuliza swali ambalo sikuwa na majib ya kuridhisha. Swali lenyew n huu utaratibu wa kusoma saa, yaan kwa mfano kwa kama n saa saba mchana, huandikwa 1 badala ya 7.
Huu utamadun ulianzia wap na kwa nn??
Ahsanten na karibun san Wajuv mnijuze
Yaani sio kwamba eti ni saa Saba Ila inasomwa 1, bali pale ndio saa moja yenyewe.
 
Kiswahili ndo kimeleta huu ufala, 07:00am ni seven a.m, yaani masaa 7 toka siku ianze. sasa mswahili akasema saa moja kamili asubuhi. Inshorti siku ya kiswahili inaanza asubuhi siyo saa sita usiku
Asii ume nifanya nijione fala
 
Kiswahili ndo kimeleta huu ufala, 07:00am ni seven a.m, yaani masaa 7 toka siku ianze. sasa mswahili akasema saa moja kamili asubuhi. Inshorti siku ya kiswahili inaanza asubuhi siyo saa sita usiku

Jibu sawa kabisa hili.
 
kwanini ufala usiwe wa wazungu kuhesabu moja usiku wa manane badala ya kuhesabu moja jua likichomoza
Malofa ni sisi kwa sababu wenzetu wanatumia standard timing na sio kuangalia kuchomoza kwa jua kama kigezo cha kuanza siku! Chukulia nchi kama Sweden kwa mfano; kuna nyakati jua huwa linachomoka usiku wa manane na kuzama kuanzia mida ya saa 4-5 usiku! Kama ni Mwislamu na huwezi kuvumilia; unaambiwa funga ya Ramadhani inakuwa ngumu kweli kweli kwa sababu unafunga kwa karibu saa 20!!

Now tell me, kwahiyo ikifika saa 9 usiku unaita siku inaanza na inaisha ikifika wakati gani? Au hata kwa huu mfumo wa Tanzania! Sawa; jua likichomoza siku ndo imeanza; na inaisha jua likizama kwa maana ya saa 12-1 jioni ; au?!
 
Malofa ni sisi kwa sababu wenzetu wanatumia standard timing na sio kuangalia kuchomoza kwa jua kama kigezo cha kuanza siku! Chukulia nchi kama Sweden kwa mfano; kuna nyakati jua huwa linachomoka usiku wa manane na kuzama kuanzia mida ya saa 4-5 usiku! Kama ni Mwislamu na huwezi kuvumilia; unaambiwa funga ya Ramadhani inakuwa ngumu kweli kweli kwa sababu unafunga kwa karibu saa 20!!

Now tell me, kwahiyo ikifika saa 9 usiku unaita siku inaanza na inaisha ikifika wakati gani? Au hata kwa huu mfumo wa Tanzania! Sawa; jua likichomoza siku ndo imeanza; na inaisha jua likizama kwa maana ya saa 12-1 jioni ; au?!
sasa kwanini tuhesabu siku kwa mtindo wenye manufaa kwa wasweden wakati sie siku zetu zimekaa kwa kueleweka kuwa saa moja jua litachoza saa kumi na mbili tutazama
 
Malofa ni sisi kwa sababu wenzetu wanatumia standard timing na sio kuangalia kuchomoza kwa jua kama kigezo cha kuanza siku! Chukulia nchi kama Sweden kwa mfano; kuna nyakati jua huwa linachomoka usiku wa manane na kuzama kuanzia mida ya saa 4-5 usiku! Kama ni Mwislamu na huwezi kuvumilia; unaambiwa funga ya Ramadhani inakuwa ngumu kweli kweli kwa sababu unafunga kwa karibu saa 20!!

Now tell me, kwahiyo ikifika saa 9 usiku unaita siku inaanza na inaisha ikifika wakati gani? Au hata kwa huu mfumo wa Tanzania! Sawa; jua likichomoza siku ndo imeanza; na inaisha jua likizama kwa maana ya saa 12-1 jioni ; au?!
ukimpiga mswahili kibao saa nane usiku asubuhi atasema 'JANA usiku umenipiga kbao' maana kwetu hadi usiku wa manane ni jana, leo inaanza asubuhi kukikucha

ila mzungu hiyo saa nane hawezi ita yesterday kisa siku inaanza saa sita hivyo kwae kibao cha saa nane usiku ni umempiga leo badala ya jana

ndio mambo yalivyo mimi nayapenda kama yalivyo tutayaenzi
 
sasa kwanini tuhesabu siku kwa mtindo wenye manufaa kwa wasweden wakati sie siku zetu zimekaa kwa kueleweka kuwa saa moja jua litachoza saa kumi na mbili tutazama
You don't get the point!! Issue ni kwamba, wenzetu wanatumia standard timing inayokidhi mazingira yote! Ndo maana nimekuuliza; kama siku inaanza jua linapochomoza; siku husika inaishia wakati gani?! Inaishia jua linapozama; au? JIBU HILO SWALI!
 
ukimpiga mswahili kibao saa nane usiku asubuhi atasema 'JANA usiku umenipiga kbao' maana kwetu hadi usiku wa manane ni jana, leo inaanza asubuhi kukikucha

ila mzungu hiyo saa nane hawezi ita yesterday kisa siku inaanza saa sita hivyo kwae kibao cha saa nane usiku ni umempiga leo badala ya jana

ndio mambo yalivyo mimi nayapenda kama yalivyo tutayaenzi
Man, jibu swali kama siku inaanza jua linapochomoza; inaishia mida ipi? Mbona swali lipo straight?! Au unakwepa kujibu kwa sababu unajua jibu lake linathibitisha ulofa wetu?!
 
You don't get the point!! Issue ni kwamba, wenzetu wanatumia standard timing inayokidhi mazingira yote! Ndo maana nimekuuliza; kama siku inaanza jua linapochomoza; siku husika inaishia wakati gani?! Inaishia jua linapozama; au? JIBU HILO SWALI!
standard timing hiyo ni convention tu watu walikaa chini wakaamua, na wameweza kwaababu ya ushawishi wao hata sie tungekuwa wasomi tungefanya dunia nzima ihesabu siku toka asubuhi nao wangeadapt, mbona sie tumeaadapt kusetu moja kama saba kwenye saa na tunabaki kuita moja bila shida
hata wao tungekuwa na ushawishi tungewafanya waseti saa kimtindo wetu wakaseti 1 kwenye 7 am na wangeita hiyo moja 7 o clock kwa kuadapt
 
Man, jibu swali kama siku inaanza jua linapochomoza; inaishia mida ipi? Mbona swali lipo straight?! Au unakwepa kujibu kwa sababu unajua jibu lake linathibitisha ulofa wetu?!
siku si ina masaa 24 siku inaisha alfajiri, na nyingine inaanza kukipambazuka kipi kigumu kuelewa
 
Habar wanajamvi
Leo nmekutana na changamoto baada ya mwanang kuniuliza swali ambalo sikuwa na majib ya kuridhisha. Swali lenyew n huu utaratibu wa kusoma saa, yaan kwa mfano kwa kama n saa saba mchana, huandikwa 1 badala ya 7.
Huu utamadun ulianzia wap na kwa nn??
Ahsanten na karibun san Wajuv mnijuze
Freemason
 
Back
Top Bottom