Chimbuko la Uislam na Karen Armstrong

Acha kudhihirisha ujinga wako hpa
ivi makanisani na misikitini wapi kuna kua na ibada za mapepo?

Nijibu ilo swali kwanza hlf ndo uongee ujinga wako
Makanisani tunapambana na adui ambae anatoka apa
Koran 19.83 Kwani huoni ya kwamba tumewatuma mashet'ani kwa makafiri wawachochee kwa uchochezi?
 
Makanisani tunapambana na adui ambae anatoka apa
Koran 19.83 Kwani huoni ya kwamba tumewatuma mashet'ani kwa makafiri wawachochee kwa uchochezi?
sijakuuliza ww hlf m nishakwambia sikujibuuu
 
Acha kudhihirisha ujinga wako hpa
ivi makanisani na misikitini wapi kuna kua na ibada za mapepo?

Nijibu ilo swali kwanza hlf ndo uongee ujinga wako
Mi nazungumza kwakuwa Majini wenyewe wanakiri kuwa ni Maislamu na yanaswali Msikitini.
na Muhammadi ni moja katika mitume wao na Muhammadi mwenyewe anakiri kuyasilimisha Majini.

Hivi mlishawahi japo kusikia Mtume japo mmoja tu wa kwenye Torati, Zaburi au Injiri kwamba aliwahi kushirikiana mambo ya Ibada zake kwa Mungu pamoja na Majini kama Musa au huyo mnaye Mwita Issa ?

Majini yanadiriki kufanya undugu na Waislamu na nyinyi wala hamlijadiri hili kwa tahadhari.

Sisi tulipokuwa wadogo kule nyumbani, wazee walituusia kabisa kuwa

"Kamwe msiguse kitabu cha Qurani ni Kitabu cha Majini"

Na walikuwa sahihi kabisa Majini yanasoma Qurani tena kwa usahihi kupita binadamu.

Mi nazungumza swala hili kwa Upendo wa kutoka Moyoni kabisa kwamba.

Pateni Muda Mtafakari Kidogo basi.
Kwamba

(Hivi kweli ni sahihi sisi Waislamu tushiriki Ibada na Majini kama Mtume wetu Muhammadi alivyotuagiza, na kauli za Majini yenyewe ? )

Jambo jepesi kabisa hili halina haja ya kulifumbia macho.

Haiwezekani kushea kila kitu cha ibada yenu na Majini mabaya kabisa kama Jini Subiani halafu mbaki salama.

Mi naongea ktk nia njema kabisa jadilini hiyo Mada mtapata kitu flani kipya.
Msiwe wa ndio ndio tu wakati Mwenyezi Mungu amewapa Hekima ya kutafakari mambo.
 
Unaposema mimi muongo ,inamaanisha unathibitisha maandiko yenu ni uongo

Nianze na point ya kwanza
Koran iliandikwa na wakristo
Kuna mkristo ambae alikuwa anaitwa waraka ,alimsaidia Sana Muhammad na yeye ndie alimwambia yule Alie mkaba pangoni ni jibril, huyu jamaa alipo kufa Muhammad akawa kichaa na kutaka kujiua mara kadhaa
.....But after a few days Waraqa died and the Divine Inspiration was also paused for a while and the Prophet (ﷺ) became so sad as we have heard that he intended several times to throw himself from the tops of high mountains and every time he went up the top of a mountain in order to throw himself down,....Sahih al-Bukhari 6982

Badae akapatikana mkristo mwingine akawa anamuandikia, mkristo huyu alivyo ona anaandika vitu na Muhammad hajui alicho andika akaachana na muhammad akarudi kuwa zake mkristo safi , badae Muhammad na Allah waakamtoa uhai na ikawa kila akizikwa Muhammad na Allah wanaenda kumfukua hapo ndio ujue hasira walizo kuwa nazo juu yake kwa kutoa siri
Narrated Anas:
There was a Christian who embraced Islam and read Surat-al-Baqara and Al-`Imran, and he used to write (the revelations) for the Prophet. Later on he returned to Christianity again and he used to say: "Muhammad knows nothing but what I have written for him....
Sahih bukhari 3617

Point ya kwanza , pangua hoja
Kauli yangu iko pale pale na hapa nina maswali kadhaa kuhusu Waraqah bin Nawfal huyu alikuwa ami wa mke wa Mtume,mama yetu Khadija na husemwa ya kuwa katika watu wa Mwanzo kumkuba Mtume na kumuhami ni huyu yaani kwa maana nyingine ni mtu wa mwanzo kwa watu wazima kuukubali ujumbe wa Mtume.

Maswali yangu kuhusu Waraqah naomba unipe majibu.

1. Weka ushahidi ya kuwa Waraqah alikuwa ni Mkristo.

2. Weka ushahidi kuonyesha ya kuwa Waraqah aliandika Qur'aan.

Kuhusu huyu mkristo wa pili. Nionyeshe au nipe ushahidi unaonyesha ya Mtume alikuwa anaenda kufukua kaburi lake.

Baada ya hapo nukta hii itakuwa imekwisha.
 
Mubarridi tumeanza na point ya kwanza, nipo
Nilichokisema bado unaendelea kukuthibitisha yaani nukuu unazoziweka ni tofauti na unacho kielezea yaani ni vitu viwili tofauti.

Sasa ombi langu ni hili,hakuna kwenda nukta nyingine mpaka hii iishe na maswali yangu ninayo kuuliza lazima uyajibu ndiyo tuendelee.
 
Kauli yangu iko pale pale na hapa nina maswali kadhaa kuhusu Waraqah bin Nawfal huyu alikuwa ami wa mke wa Mtume,mama yetu Khadija na husemwa ya kuwa katika watu wa Mwanzo kumkuba Mtume na kumuhami ni huyu yaani kwa maana nyingine ni mtu wa mwanzo kwa watu wazima kuukubali ujumbe wa Mtume.

Maswali yangu kuhusu Waraqah naomba unipe majibu.

1. Weka ushahidi ya kuwa Waraqah alikuwa ni Mkristo.

2. Weka ushahidi kuonyesha ya kuwa Waraqah aliandika Qur'aan.

Kuhusu huyu mkristo wa pili. Nionyeshe au nipe ushahidi unaonyesha ya Mtume alikuwa anaenda kufukua kaburi lake.

Baada ya hapo nukta hii itakuwa imekwisha.
Tuanze na hili kwanza , unakubali Allah na Muhammad uwa wanapatana kwenye jambo lao kabla alijafanyika?
Koran 33:36. Haiwi kwa Muumini mwanamume wala Muumini mwanamke kuwa na khiari katika jambo, Allah na Muhammad wanapo kata shauri katika jambo lao.
 
Tuanze na hili kwanza , unakubali Allah na Muhammad uwa wanapatana kwenye jambo lao kabla alijafanyika?
Koran 33:36. Haiwi kwa Muumini mwanamume wala Muumini mwanamke kuwa na khiari katika jambo, Allah na Muhammad wanapo kata shauri katika jambo lao.
Usiharibu utaratibu. Jibu kwanza maswali niliyo kuuliza,kisha tuendelee.
 
Usiharibu utaratibu. Jibu kwanza maswali niliyo kuuliza,kisha tuendelee.
Ndio nataka nilete ushahidi wa kaburi kufukuliwa , je unaamini Muhammad na Allah wanapatana kwanza kabla ya jambo
Koran 33:36. Haiwi kwa Muumini mwanamume wala Muumini mwanamke kuwa na khiari katika jambo, Allah na Muhammad wanapo kata shauri katika jambo lao.
 
Ndio nataka nilete ushahidi wa kaburi kufukuliwa , je unaamini Muhammad na Allah wanapatana kwanza kabla ya jambo
Koran 33:36. Haiwi kwa Muumini mwanamume wala Muumini mwanamke kuwa na khiari katika jambo, Allah na Muhammad wanapo kata shauri katika jambo lao.
Hakuna uhusiano hapo kijana,wewe jibu maswali ya kuanzia ukristo wa Waraqah na hilo la kaburi.

Hiki unachokileta hapa muda huu hukiwezi kadhalika sababu nina maswali mazito kadhaa kuhusu hicho unachotaka kukileta. Sasa usipoteze muda.
 
Na hata hao Wayahudi wameibadilisha sana Biblia na walivyoiandika awali si inavyotafsiriwa leo, Biblia na Quran ni mkusanyiko wa vitabu vilivyoandikwa na watu wakipambana na mazingira yao, hizi habari za Mungu kuwapo ni za kimapokeo zaidi ya ukweli.

Ukisoma wasomi wa Biblia wanakueleza kwamba inavyotafsiriwa na waumini wengi ni tofauti sana na ukweli wa mambo.

Mfano mzuri ni hiki kitabu cha Profesa James L Kugel aliyekuwa anafundisha masomo ya Biblia Harvard, kachambua vizuri sana jinsi Biblia ilivyobadilishwa sana na tofauti kati ya inavyotafsiriwa na ilivyo kiukweli.


How to Read the Bible​

A Guide to Scripture, Then and Now​

READ AN EXCERPT
Scholars from different fields have joined forces to reexamine every aspect of the Hebrew Bible. Their research, carried out in universities and seminaries in Europe and America, has revolutionized our understanding of almost every chapter and verse. But have they killed the Bible in the process?

In How to Read the Bible, Harvard professor James Kugel leads the reader chapter by chapter through the “quiet revolution” of recent biblical scholarship, showing time and again how radically the interpretations of today’s researchers differ from what people have always thought. The story of Adam and Eve, it turns out, was not originally about the “Fall of Man,” but about the move from a primitive, hunter-gatherer society to a settled, agricultural one. As for the stories of Cain and Abel, Abraham and Sarah, and Jacob and Esau, these narratives were not, at their origin, about individual people at all but, rather, explanations of some feature of Israelite society as it existed centuries after these figures were said to have lived. Dinah was never raped — her story was created by an editor to solve a certain problem in Genesis. In the earliest version of the Exodus story, Moses probably did not divide the Red Sea in half; instead, the Egyptians perished in a storm at sea. Whatever the original Ten Commandments might have been, scholars are quite sure they were different from the ones we have today. What’s more, the people long supposed to have written various books of the Bible were not, in the current consensus, their real authors: David did not write the Psalms, Solomon did not write Proverbs or Ecclesiastes; indeed, there is scarcely a book in the Bible that is not the product of different, anonymous authors and editors working in different periods.

Such findings pose a serious problem for adherents of traditional, Bible-based faiths. Hiding from the discoveries of modern scholars seems dishonest, but accepting them means undermining much of the Bible’s reliability and authority as the word of God. What to do? In his search for a solution, Kugel leads the reader back to a group of ancient biblical interpreters who flourished at the end of the biblical period. Far from naïve, these interpreters consciously set out to depart from the original meaning of the Bible’s various stories, laws, and prophecies — and they, Kugel argues, hold the key to solving the dilemma of reading the Bible today.

How to Read the Bible is, quite simply, the best, most original book about the Bible in decades. It offers an unflinching, insider’s look at the work of today’s scholars, together with a sustained consideration of what the Bible was for most of its history — before the rise of modern scholarship. Readable, clear, often funny but deeply serious in its purpose, this is a book for Christians and Jews, believers and secularists alike. It offers nothing less than a whole new way of thinking about sacred Scripture.



Biography​

James Kugel was the Starr Professor of Hebrew Literature at Harvard University for twenty-one years. He retired from Harvard to become Professor of Bible at Bar Ilan University in Israel, where he also served as chairman of the Department of Bible.

A specialist in the Hebrew Bible and the Dead Sea Scrolls, Kugel is the author of more than eighty research articles and fifteen books, including The Idea of Biblical Poetry, In Potiphar’s House, On Being a Jew, and The Bible As It Was(this last the winner of the Grawemeyer Prize in Religion in 2001). His more recent books include The God of Old, The Ladder of Jacob, How to Read the Bible, awarded the National Jewish Book Award for the best book of 2007, In the Valley of the Shadow, and A Walk Through Jubilees. He is a member of the Society of Biblical Literature, and Editor-in-chief of Jewish Studies: an Internet Journal.
Bible Department
Bar Ilan University
52900 Ramat Gan, Israel
telephone: +9722 672-2197
website: www.jameskugel.com
email: jlk@jameskugel.com
1. Born: August 22, 1945, New York, N.Y. I am married and have four children.
2. Education: Yale University, B.A. (1968)
Harvard University, Junior Fellow (1972-76)
City University of New York, Ph. D. (1978)
3. Areas of interest: Hebrew Bible; history of biblical exegesis; Judaism.
4. Positions held: Andrew Mellon Faculty Fellow, City University (1978-79)
Lecturer, Harvard University (1979-80)
Assistant Professor, Religious Studies and Comparative Literature, Yale University (1980-82); Associate Professor (1982)
Starr Professor of Hebrew Literature, Harvard University (1982-2003)
Professor of Bible, Bar Ilan University (1992-2013)
Professor Emeritus, Bar Ilan University, 2014—
5. Memberships and Offices:
Poetry Editor, Harper’s Magazine (1972-4)
Co-founder and associate editor, Prooftexts: A Journal of Jewish Literary History (1981-2000)
Executive Board, Association for Jewish Studies (1983-84)
Chairman, Department of Near Eastern Languages, Harvard University (1987-91)
Director, Center for Jewish Studies, Harvard University (1996-2001)
Editorial Board, Jewish Studies Quarterly (1993-2003)
Member, American Academy for Jewish Research (1999-2003)
Founder and editor-in-chief, Jewish Studies: an Internet Journal (2002- present)
Director, Institute for the History of the Jewish Bible, Bar Ilan University (2003-10)
Chairman, Department of Bible, Bar-Ilan University (2006-09)
Editorial Board, Themes in Biblical Narrative – Jewish and Christian Traditions (series, Brill Publications, Leiden)
Editorial Board, פרשנות ובקורת (Bar Ilan)
Editorial Board, שנתון המקרא (Jerusalem)
Editorial Board, Biblische Notizen—Neue Folge (Vienna) (2010-present)
Editorial Directorate, מוסד ביאליק מו”ל
Editorial Board, Journal of Ancient Judaism (2011-present)
6. Awards and Prizes: Phi Beta Kappa (1968), Wrexham Prize (1968), Fulbright Graduate Fellowship (1968), Danforth Graduate Fellowship (1968), Woodrow Wilson Fellow (1968), Bryant Dissertation Prize (1977), A. Mellon Fellow (1977), Ingram Merrill Fellow (1978), S. F. Morse Faculty Fellow (1981-82). The Idea of Biblical Poetry was supported by awards from the F. Hilles and A. W. Griswold Funds, and received the book prize of the American Jewish Committee (1982). Research for In Potiphar’s House was sponsored by a grant from the National Endowment for the Humanities (1988-89). The Bible As It Was was supported by awards from the Alan M. Stroock Publication Fund for Jewish Studies and a grant from the Littauer Foundation. It was among five finalists for the National Book Critics Circle Award in the category of General Nonfiction. Traditions of the Bible was honored with a special session at the 1999 Society of Biblical Literature convention. The Bible As It Was and Traditions of the Bible were jointly awarded the $200,000 Grawemeyer Award for the best book in Religion, 2001. How to Read the Bible was awarded the prize for the best book in any category by the National Jewish Book Awards, 2007. It was chosen as one of the New York Times “Best Books of 2007, All Categories.” Outside the Bible, coedited with Louis Feldman and Lawrence Schiffman, was just awarded the National Jewish Book Award for Scholarship, 2014.
Sijaelewa hicho kizungu ila it's absolute 😂😊😊😊
 
Hakuna uhusiano hapo kijana,wewe jibu maswali ya kuanzia ukristo wa Waraqah na hilo la kaburi.

Hiki unachokileta hapa muda huu hukiwezi kadhalika sababu nina maswali mazito kadhaa kuhusu hicho unachotaka kukileta. Sasa usipoteze muda.
Issue ilianzia hapa baada ya Allah na Muhammad kuamua kijana afe , wananchi wakamzika , ila kila asubuhi wakiamka wanakuta mwili umefukuliwa upo nje ya kaburi, fikiria hizi hasira za Allah na Muhammad

.....Then Allah caused him to die, and the people buried him, but in the morning they saw that the earth had thrown his body out. They said, "This is the act of Muhammad and his companions.....Sahih bukhari 3617
 
Issue ilianzia hapa baada ya Allah na Muhammad kuamua kijana afe , wananchi wakamzika , ila kila asubuhi wakiamka wanakuta mwili umefukuliwa upo nje ya kaburi, fikiria hizi hasira za Allah na Muhammad

.....Then Allah caused him to die, and the people buried him, but in the morning they saw that the earth had thrown his body out. They said, "This is the act of Muhammad and his companions.....Sahih bukhari 3617
Kijana nimecheka sana,hujawahi kuwa na hoja. Hapa inaongelewa laana ya Allah kwa mja wake huyo. Sasa hoja yako iko wapi ?

Hujaona laana ya Allah kwa Firaun ? Ambapo Allah alichukua ahadi ya kuiweka maiti yake mpaka wale waliofata wakaiona ? Sasa usichanganye mambo,hii ni laana yaani kama adhabu tu.

Bado hujajibu hoja yaani sisi tunasema hivi kwamba Allah aliiamrisha ardhi imteme mtu huyo.

Hapa bado hujathibitisha kufukuliwa kwa kaburi hilo mosi.

Pili,hujathibitisha ya kuwa Waraqah alimuandikia Qur'aan Mtume na hujathibitisha ya kuwa Waraqah bin Nawfal alikuwa Mkristo.
 
Kijana nimecheka sana,hujawahi kuwa na hoja. Hapa inaongelewa laana ya Allah kwa mja wake huyo. Sasa hoja yako iko wapi ?

Hujaona laana ya Allah kwa Firaun ? Ambapo Allah alichukua ahadi ya kuiweka maiti yake mpaka wale waliofata wakaiona ? Sasa usichanganye mambo,hii ni laana yaani kama adhabu tu.

Bado hujajibu hoja yaani sisi tunasema hivi kwamba Allah aliiamrisha ardhi imteme mtu huyo.

Hapa bado hujathibitisha kufukuliwa kwa kaburi hilo mosi.

Pili,hujathibitisha ya kuwa Waraqah alimuandikia Qur'aan Mtume na hujathibitisha ya kuwa Waraqah bin Nawfal alikuwa Mkristo.
Unacheka hasira za Allah na Muhammad
Walikubaliana afukuliwe kila akizikwa , hilo nimemaliza , nakuja na waraka
 
Kijana nimecheka sana,hujawahi kuwa na hoja. Hapa inaongelewa laana ya Allah kwa mja wake huyo. Sasa hoja yako iko wapi ?

Hujaona laana ya Allah kwa Firaun ? Ambapo Allah alichukua ahadi ya kuiweka maiti yake mpaka wale waliofata wakaiona ? Sasa usichanganye mambo,hii ni laana yaani kama adhabu tu.

Bado hujajibu hoja yaani sisi tunasema hivi kwamba Allah aliiamrisha ardhi imteme mtu huyo.

Hapa bado hujathibitisha kufukuliwa kwa kaburi hilo mosi.

Pili,hujathibitisha ya kuwa Waraqah alimuandikia Qur'aan Mtume na hujathibitisha ya kuwa Waraqah bin Nawfal alikuwa Mkristo

Alafu kwa nini muhammad na Allah walimtoa uhai mkristo na alicho sema ni kweli muhammad hajui kilicho andikwa
 
Kijana nimecheka sana,hujawahi kuwa na hoja. Hapa inaongelewa laana ya Allah kwa mja wake huyo. Sasa hoja yako iko wapi ?

Hujaona laana ya Allah kwa Firaun ? Ambapo Allah alichukua ahadi ya kuiweka maiti yake mpaka wale waliofata wakaiona ? Sasa usichanganye mambo,hii ni laana yaani kama adhabu tu.

Bado hujajibu hoja yaani sisi tunasema hivi kwamba Allah aliiamrisha ardhi imteme mtu huyo.

Hapa bado hujathibitisha kufukuliwa kwa kaburi hilo mosi.

Pili,hujathibitisha ya kuwa Waraqah alimuandikia Qur'aan Mtume na hujathibitisha ya kuwa Waraqah bin Nawfal alikuwa Mkristo.
Kijana kaandika Kati ya sura kubwa sana kwenye Koran maana Kuna zingine zina Aya 3 tu , alllaha na Muhammad wanamuua kikatili kwa kusema kweli muhammad hajui kilicho andikwa , mwisho wa siku Allah na Muhammad wanakubaliana kumfukua kila akizikwa , why?
 
Unacheka hasira za Allah na Muhammad
Walikubaliana afukuliwe kila akizikwa , hilo nimemaliza , nakuja na waraka
Sasa ulichokiandika unaona kipo sawa na uhalisia ?

Yaani unaandika kingine na uhalisia unakiwa kinyume na wewe.

Ndiyo maana nilikuuliza hivi kwanini u muongo kijana ?

Hiyo ni adhabu kijana.

Hili limeisha,turudi kwa Waraqah bin Nawfal bin Abdil 'Uzza.
 
Alafu kwa nini muhammad na Allah walimtoa uhai mkristo na alicho sema ni kweli muhammad hajui kilicho andikwa
Alisema ni uongo ndiyo maana akapewa adhabu na Allah na ile ni laana kama alivyo laaniwa Shetani na waovu wengine wote.

Ndiyo maana mpaka sasa hivi hujaonyesha wapi Mtume alishiriki kufukua kaburi hilo.
 
Kijana kaandika Kati ya sura kubwa sana kwenye Koran maana Kuna zingine zina Aya 3 tu , alllaha na Muhammad wanamuua kikatili kwa kusema kweli muhammad hajui kilicho andikwa , mwisho wa siku Allah na Muhammad wanakubaliana kumfukua kila akizikwa , why?
Hili nimeshalimaliza,turudi kwa Waraqah,jibu maswali niliyo kuuliza.

Hapa hakuna kwenda nukta nyingine mpaka ujibu maswali niliyo kuuliza.
 
Back
Top Bottom