Chimbo jipya ni The Embassy kwa Musuguri

Chimbo jipya ni The Embassy kwa Musuguri

Sasa na wewe si ungeianzishia thread yako
Kwamba kila jambo ni la kuanzishia uzi kumbe mkuu?

Kwani hapa kuna tangaza la biashara limewekwa na mtoa mada amelipia tangazo hadi useme naingilia biashara za watu ambazo zimelipiwa matangazo?

Kwani si mtu ameamua kutoa code ya kiwanja cha starehe nami nikadokeza tu kiwanja kingine au wewe ni mfanya usafi wa hapo unaona nakupunguzia wateja utakosa uchafu wa kuzoa?
 
Back
Top Bottom