KOKUTONA
JF-Expert Member
- Jan 29, 2011
- 8,649
- 6,088
nilikuwa naona kina Mwali na wenzie wako bize wanasimuliana kuhusu playstation sijui xbox 360, sasa wakati wetu ilikuwa hakuna izo ndude, kulikuwa na vitu kama hivi
na mimi ndo nilikuwa nashikilia ubingwa maana nilimaliza level zote.....
haya na nyie leteni kumbukumbu zenu za utotoni
Nimecheka C6, Unajua kwa nini. Ni juzi tu nimetoka kumnyanganya mwanangu hii game na kuificha kabisaa maana niliona masomo hazingatii kabisa ni game tu, hata concentration hana tena.