Joeli
JF-Expert Member
- Apr 25, 2011
- 4,941
- 3,402
nilikuwa naona kina Mwali na wenzie wako bize wanasimuliana kuhusu playstation sijui xbox 360, sasa wakati wetu ilikuwa hakuna izo ndude, kulikuwa na vitu kama hivi
na mimi ndo nilikuwa nashikilia ubingwa maana nilimaliza level zote.....
haya na nyie leteni kumbukumbu zenu za utotoni
na mimi ndo nilikuwa nashikilia ubingwa maana nilimaliza level zote.....
haya na nyie leteni kumbukumbu zenu za utotoni
Last edited by a moderator: