sheria ya adoption ipo sikumbuki cap gani ,mahakama kuu wanafanya sana,masharti ninayojua kwa tanzania anaetaka kuasili awe ni mtanzania, awe ktk ndoa, ridhaa ya mzazi au walezi wa mtoto, awe chini ya miaka kumi na nane yaani mtoto, na pia mzazi wa mtoto au mlezi akiri hajanufaika kwa kuruhusu mwanae kuasiliwa, mwombaji ataandika petition ikiambana na viapo vya mzazi mlezi na pia anaeasili na aonyeshe sababu za kumchukua huyo mtoto na pia lazima aonyeshe uwezo wa kumlea mtoto nk.kw aufupi ndio hivo,.