Kipi ni bora na busara zaidi kati ya kuasili mtoto na kulea mtoto wa ndugu?

wakuu naomba nijuilishwa kwa hapa tanzania sehemu gani unaweza kuadopt mtoto..niliwahi kwenda sehemu ya kulelewa watoto .nikawaomba nimchukue mmoja na niliwaahidi kama nitaapa huduma zote..muhimu..lakushangaza wamekataa..wanasema sisi tunao uwezo wa kumtunza..wanasema huwa misaada inapelekwa sasa sidhani hivi vituo vyengine kama wanakubali kuwa toa watoto..ila nahisi wanafanya kimaslahi yao zaid..kama kipo kituo kinachokubali kutoa mtoto naomba munijuilishe asante

Sent using Jamii Forums mobile app
Good idea aisee
 
Contingency Plan B ni muhimu katika nyanja zoote za maisha
Acha kufikiri kushindwa kabla ya kushindwa. After all hakuna haja kama unatoa sperm na mama ovaries zake zipo sawa kutokuwa na biological child wako katika wakati huu. Wahenga ndiyo walikuwa na option zako. Think outside the box. Siku hizi kuna watoto wengi wa test tube. Sky Eclat atasaidia kukudadavulia IVF etc
 
wakuu naomba nijuilishwa kwa hapa tanzania sehemu gani unaweza kuadopt mtoto..niliwahi kwenda sehemu ya kulelewa watoto .nikawaomba nimchukue mmoja na niliwaahidi kama nitaapa huduma zote..muhimu..lakushangaza wamekataa..wanasema sisi tunao uwezo wa kumtunza..wanasema huwa misaada inapelekwa sasa sidhani hivi vituo vyengine kama wanakubali kuwa toa watoto..ila nahisi wanafanya kimaslahi yao zaid..kama kipo kituo kinachokubali kutoa mtoto naomba munijuilishe asante

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa nini usiwe na wako?
 
Ni jambo jema kufikiria hivyo na kuwa na plan B, na ni lipi bora hasa mtoto wa ndugu au adoption, option zote inategemea matokeo unayoyatarajia kutokana na maamuzi yako
1.Ukiwa unataka tu kulea na kusaidia ndugu wanaweza kuwa option nzuri, ingawa option hii inachangamoto ya kuingiliwa na familia husika ya ndugu, na ukiwa na ndugu wa lawama inaeeza kukuweka ktk mazingira magumu( Nimeongea kwa kuzingazia evidence nilizoziona), hii option huwa naiona ni nzuri ukiwa na mtoto mmoja au wawili then ukawa na ndugu wa kusaidia, ila tegemea mtoto anaweza kuondolewa ktk familia yako muda wowote.

2.Option ya kuadopt binafsi naiona nzuri zaidi, kwanza unampa fursa mtoto ambaye angeweza kukulia ktk vituo vya watoto yatima ambavyo sio mazingira rafiki sana ya makuzi, pili unapata fursa ya kumlea kulingana na mnavyoona inafaa, kwa namna yenu na imani yenu, na huyu mtoto mtakuwa naye maisha yenu yote tofauti na ndugu.
Changamoto za kuingiliwa ktk malezi hazipo, na mtoto anakuwa akitambua kuwa nyie ndio wazazi wake.
Kwangu hii ni better option

Nakuunga mkono Mkuu, mimi ni shuhuda wa hili, Jana tuu nimemsafirisha mtoto wa Dada yangu kurudi kwa mama yake baada ya kutokea sintofahamu, nimejikuta nimepoteza fedha nyingi ambazo tayari nilikuwa nimeshamlipia ada.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Zote sawa ila nilisaidia watoto wa ndugu nikawa ninawalipia ada na kuhudumia elimu. Nilisafiri na mawasiliano yakawa mabovu, Christmas ikafika sijatuma pesa ya shopping. Wasianze kulalamika mtu mwenyewe hana mtoto sijui pesa anapeleka wapi. Nilisononeka lakini nilijikaza wakamaliza shule na kuagana nao
Honey mbona hii hukuniambia nifanye maamuzi magumu?
 
Duh kuna ukakasi hapo Kwa nini ufikilie hovyo namna hiyo hayo sio mawazo mazuri kama mna wasiwasi nendeni hospital kuna baadhi ya wanawake zaifu Sana angalia Hilo lisije likawa tusi lake kwako angalia unachozungumza mara zote kama halitakuletea shida japo Kwa siku za baadae
 
Binafsi hii ya kuadopt ndiyo chaguo langu sababu anakuwa ni wangu moja kwa moja, sina lawama na ndugu na mambo kadha wa kadha.
 
Back
Top Bottom