Kipi ni bora na busara zaidi kati ya kuasili mtoto na kulea mtoto wa ndugu?

Bora kuasili! Mtoto wa ndugu atabaki kua wa ndugu tu!!! Na anaweza kukuacha mda wowote akaenda kwa ndugu mwingine!
 
Bora muadopt ili awe wenu 100% Ila muadopt mtoto mchanga kabisa au ambae hajafika mwaka mmoja. Kwanza mtakua mtaelewa maana halisi ya kulea na mtakua na attachment kubwa sana na huyo mtoto kuliko kuadopt mtoto mkubwa na pili mtakua mnasaidia mtoto asie na familia kupata familia. (mnawezaenda msimbazi center kuna kituo cha kulelea watoto wachanga hari miaka miwili mkauliza taratibu, changamoto etc)
 
ku adopt kuna paper work kuhusu hao watoto .sidhani kama watoto wa ndugu kuna maandishi yoyote mtakayo weka wakati wa kuchua hao watoto.mara nyingi sisi waafrika /Tanzania matatizo ya familia yanatokana na kuto document vitu vinavyopaswa kuwa documented.
kuwa huru na hayo maisha nakushauri ku adopt
 
Kulea mtoto wa ndugu ni jambo jema, lakini kulea mtoto wa ndugu kuna lawama nyingi sana, sipendi kabisa kulea mtoto wa ndugu.
Namsaidia akiwa kwao.

Binafsi nashauri ku-adopt mtoto maana utakua na uhuru nae, malezi utampa kadri unavyoona inafaa, utakua umepata mtoto kwa ujumla maana hana sehemu nyingine atakayosema ni kwao zaidi ya hapo kwako.

Adoption is the best option
 
Asili mtoto na baadae saidia kulea mtoto wa ndugu. Mara nyingi ukianza kulea mtoto wa ndugu unawafanya ndugu washindwe kujituma unless mtoto awe Yatima
 
Mtoto wa ndugu atabaki tu kua mtoto wa ndugu ata ikitokeazazi wake anamuhitaji atakuacha na kurudi kwao. Kwangu naona kama lengo ni kua na mtoto basi ni bora kuasili... Anakua mwanako na una mamlaka nae.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ka
Ni jambo jema kufikiria hivyo na kuwa na plan B, na ni lipi bora hasa mtoto wa ndugu au adoption, option zote inategemea matokeo unayoyatarajia kutokana na maamuzi yako
1.Ukiwa unataka tu kulea na kusaidia ndugu wanaweza kuwa option nzuri, ingawa option hii inachangamoto ya kuingiliwa na familia husika ya ndugu, na ukiwa na ndugu wa lawama inaeeza kukuweka ktk mazingira magumu( Nimeongea kwa kuzingazia evidence nilizoziona), hii option huwa naiona ni nzuri ukiwa na mtoto mmoja au wawili then ukawa na ndugu wa kusaidia, ila tegemea mtoto anaweza kuondolewa ktk familia yako muda wowote.

2.Option ya kuadopt binafsi naiona nzuri zaidi, kwanza unampa fursa mtoto ambaye angeweza kukulia ktk vituo vya watoto yatima ambavyo sio mazingira rafiki sana ya makuzi, pili unapata fursa ya kumlea kulingana na mnavyoona inafaa, kwa namna yenu na imani yenu, na huyu mtoto mtakuwa naye maisha yenu yote tofauti na ndugu.
Changamoto za kuingiliwa ktk malezi hazipo, na mtoto anakuwa akitambua kuwa nyie ndio wazazi wake.
Kwangu hii ni better option
Katika dini ya kiislam,ukiasili mtoto,pindi afikapo umri wa kujitambua sharti umwambie ukweli si kumficha nakujidai umemzaa wewe.
 
Good evening all members.

Huwa nina kawaida ya kwenda out na mchumba wangu (mama watoto mtarajiwa) huwa ninamuita mama D na yeye ananiita baba D (Denis ama Diana) tukiamini kuwa baada ya ndoa yetu Mungu atatubariki na kupata mtoto aidha wa kike ama wa kiume.

Juzi jumatano jioni tulikutana pia, but this time I raised a challenge kwake kwamba katika maisha ya ndoa lolote laweza kutokea kwa maana kupata mtoto ni majaaliwa ya mwenyezi Mungu muumba wa yote.

"Should we adopt a child ama tuchukue mtoto (watoto) wa ndugu kutoka upande wowote tukae nao?"

Nimeweka hii option just in case mambo yasipoenda straight katika ndoa yetu.

Guys which option ipo much better and wiser than the other?

Follow my other threads
============
Let's share: Uliwahi kusaidiwa na mtu usiyemfahamu kabla (msamaria mwema)? Kipi kilitokea
CCM na JPM oooyeeeeee
 
Good evening all members.

Huwa nina kawaida ya kwenda out na mchumba wangu (mama watoto mtarajiwa) huwa ninamuita mama D na yeye ananiita baba D (Denis ama Diana) tukiamini kuwa baada ya ndoa yetu Mungu atatubariki na kupata mtoto aidha wa kike ama wa kiume.

Juzi jumatano jioni tulikutana pia, but this time I raised a challenge kwake kwamba katika maisha ya ndoa lolote laweza kutokea kwa maana kupata mtoto ni majaaliwa ya mwenyezi Mungu muumba wa yote.

"Should we adopt a child ama tuchukue mtoto (watoto) wa ndugu kutoka upande wowote tukae nao?"

Nimeweka hii option just in case mambo yasipoenda straight katika ndoa yetu.

Guys which option ipo much better and wiser than the other?

Follow my other threads
============
Let's share: Uliwahi kusaidiwa na mtu usiyemfahamu kabla (msamaria mwema)? Kipi kilitokea
CCM oooyeeeee
 
Back
Top Bottom