Nilikuwa nataka kununua PC nilikuwa sijui nianzie wapi kwa hela yangu na ubora wa PC
CHIEF MKWAWA alinielekeza hadi nikaelewa na nikafanikiwa! Na machine inapiga kaz hadi sasa! Ubarikiwe kaka mungu awe nawe katika kazi za mikono yako na mengine kwa ujumla! Nashuhudia