Angel Msoffe
JF-Expert Member
- Jun 21, 2011
- 6,781
- 1,639
Mbunge mtarajiwa teh teh tehwe unashangaa hilo hebu cheki huyu nae... View attachment 52829
Mbunge mtarajiwa teh teh tehwe unashangaa hilo hebu cheki huyu nae... View attachment 52829
Wekeni na picha ya 2PAC.. Inamaana nae alikua Punga?
sio kila anayetoga pua au sikio ni shoga huko ni kufikiri kimasaburi
Wekeni na picha ya 2PAC.. Inamaana nae alikua Punga?
jamaa kama sijakosea kumsikia nimemsikia akisema amefanya hivyo kwasababu MAMA yake ametoboa,tena kasisitiza kwa tabasamu,TAFAKARI,CHUKUA HATUA!!
Siyo siri chid benz alikuwa mwana hip hop wa ukweli sana na hata sauti yake ilikuwa ya ukweli
ila amekuja kuchange gafla tu pale alipo anzakuwa beneti au kushilikiana na MZEE YUSUPHU ndipo hapo alipo anza kulegeza hata sauti,kutoga pua na kuanza kuvaa kipuri puani,
sijui kwenda saloon kujilemba kama jike kuchonga nyusi n.k
ukitaka kuamin hebu cheki kipindi cha CHID SHOW kwenye chanel 5.
Hasa kipindi kile anaanda wimbo alioshirikiana na mzee yusuphu.
Mzee Yusuf anapigwa na kupigwa kwa hiyo inawezekana wanashirikiana kwa hilo na Chid
Bangi mbaya,angalia alivyoshika hiyo kitu yake.
Yailah tobah!!!!
Atakuwa anapeperusha bendera ya People's Power tu....kwa maana ndo zao.Usishangae unaweza kuja kumkuta yuko bungeni na kawa mbunge
aisifuye mvua imemnyea...kashawahi kukupiga nini mkuu??? alikuwasha vingapi, maana huwa anatumia sana mchuzi wa pweza huyo mfalme.
na ww itakuwa kashawah kukupiga umejuaje kama anatumia mchuzi wa pweza. Tuambie na ww alikupiga vingapi?
labda alienda pemba