kiatu kipya
JF-Expert Member
- Dec 4, 2016
- 3,269
- 1,976
Ilalaaaaaaaaaaaaaaaa LA familia majina mengine yanasadifu huko mbele
Chid Benz amerudia tena madawa ya kulevya na yupo kwenye hali mbaya
Mwana Fa alimuomba Babu Tale wamsaidie msanii huyo hivi karibuni lakini Babu Tale akasema hatomsaidia tena kwa kuwa Chid Benz ni kama sikio la kufa, halisikii dawa
Watu kadhaa walitabiria Chid Benz kurudia kutumia madawa kutokana na msanii huyo kukosa nidhamu na utabiri wao umetimia
Halafu uzuri mimi huwa sipigi watoto wa kike ngumi
Nawapiga ki namna
Vipi mh rais mstaafu kikwete alipomsaidia ray c naye alikuwa anatafuta kiki.....maana naye baada ya mda alirudia na ukizingatia ukubwa na heshima ya mtu aliyemsaidiaKumpeleka mtu sober ni sawa na kumpeleka jela so,ilipaswa kila wiki wawe wanaenda kumjulia hali na kumtia moyo awe mvumilivu ili apone kabisa.Hata alivyotoka walipaswa wawe wanamfuatilia nyendo zake na sio kumtelekeza
Kama alikubali kwenda hawakupaswa kukubali kumuachia aondoke hata miezi 2 hakufikisha
Kuna kingine zaidi ya maji binamu??Mpenzi binamu kweli wewe ni wa kuni offer maji tuu
Sasa binamu ndio kusema hujui kingine kilocho bora ni kipi kweli!!?Kuna kingine zaidi ya maji binamu??
Mkuu punguza kwa hasira afu sasa utuelezee huyo mtu aliemtakia maneno chid yakatimia nani.. Tupe ubuyu tumung'unye sieHata huyo Babu Tale wenu nae namwona ni Mpumbavu tu pia kwani alipashwa kumtumia Msanii Rehema Chalamila ( Ray C ) kama reference yake ndipo ajikite katika kumsaidia Chid Benz. Hivi kama tu Ray C aliweza kusaidiwa tena na Rais Mstaafu Kikwete kwenda rehab huku akipewa first class treatment lakini bado akawa tu anabwia bwimbwi itakuwa kwa Chid Benz aliyepelekwa tu huko madongo kuporomoka Bagamoyo?
Leo huyo Babu Tale anaposema tena hadi kuuapa kuwa hatomsaidia tena Chid Benz kwani kuna Mtu aliyemtuma? Ni sifa zake mwenyewe na kiherehere cha kutaka kujionyesha yeye ni Philanthropist ndicho Kimemponza na sisi Watoto wa mjini tunajua kwanini leo Babu Tale analalamika kwani alitaka kuchuma zaidi kupitia fadhila yake kwa Chid Benz ila bahati mbaya Chizi karudia tena Utahaira wake na sasa kaingia bonge la hasara.
Eti unajitolea kumtibia Chid Benz wakati Wazazi wake, Ndugu, Jamaa na Marafiki wa pale Ilala flats wameshindwa. Shenzy Taipu kabisa na akome kujipendekeza siku nyingine. Nani aliyekuambia kuwa Chid Benz anatibika? Hivi LAANA huwa INATIBIKA? Huwa sipendi Watu wanaokurupuka na wasiopenda kutumia akili. Muulizeni vizuri huyo Chid Benz wenu Mtu gani aliyemdhalilisha mwaka huu mwezi wa Tatu ( March ) maeneo ya Kinondoni na baadae tena Kigamboni halafu yule Mtu alimtamkia maneno gani Chid Benz na ambayo leo yametimia?
Hahahaa karibu sikukuu
Hebu offer kitu kzuri bas cousin
Halafu binam wewe bhana itabid tuzungumze ki private zaidHahahaa karibu sikukuu
Yah Abraham Maslow na ww walikupandisha gar nnZile zile za Maslow?
uwe unapiga picha au kurekodi video, kisha unatuletea ubuyu hapaJamaa kiukweli kwa tunae mwona jamaa yuko kwenye hali mbaya sana tena sana yani asa kawa mteja kushinda alivyokuwa mwanzo alafu kama kadata hv maana anaongea peke hata ukizungumza nae anaonekana amedata kabisa so kiukweli jamaa anahitaji msaada tena msaada mkubwa sana ili aweze kurudi katika hali yake ya kawaida tena waharaka maana anaweza kupotea me nshawahi mwesabia siku anavyo vaa mavazi yake nguo alizo nazo asa zina siku ishirini ajabadilisha anavaa jinsi nyeusi na shati ya black na sendo mbovu kabisa anaonekana sana mitaa ya kino manyanya
Mkuu punguza kwa hasira afu sasa utuelezee huyo mtu aliemtakia maneno chid yakatimia nani.. Tupe ubuyu tumung'unye sie
mkuu wewe ni legend hapa,Kama mzazi/wazazi wake walimshindwa mwanzo basi ni ngumu kwa mtu baki kuweza kumkanya na akaacha...
Kilichobaki ni kuuacha ulimwengu uumvunze maana ndio mwalimu nambari moja...
Yah Abraham Maslow na ww walikupandisha gar nn
ni mtu gani huyo mkuu? na ni maneno gani?Hata huyo Babu Tale wenu nae namwona ni Mpumbavu tu pia kwani alipashwa kumtumia Msanii Rehema Chalamila ( Ray C ) kama reference yake ndipo ajikite katika kumsaidia Chid Benz. Hivi kama tu Ray C aliweza kusaidiwa tena na Rais Mstaafu Kikwete kwenda rehab huku akipewa first class treatment lakini bado akawa tu anabwia bwimbwi itakuwa kwa Chid Benz aliyepelekwa tu huko madongo kuporomoka Bagamoyo?
Leo huyo Babu Tale anaposema tena hadi kuuapa kuwa hatomsaidia tena Chid Benz kwani kuna Mtu aliyemtuma? Ni sifa zake mwenyewe na kiherehere cha kutaka kujionyesha yeye ni Philanthropist ndicho Kimemponza na sisi Watoto wa mjini tunajua kwanini leo Babu Tale analalamika kwani alitaka kuchuma zaidi kupitia fadhila yake kwa Chid Benz ila bahati mbaya Chizi karudia tena Utahaira wake na sasa kaingia bonge la hasara.
Eti unajitolea kumtibia Chid Benz wakati Wazazi wake, Ndugu, Jamaa na Marafiki wa pale Ilala flats wameshindwa. Shenzy Taipu kabisa na akome kujipendekeza siku nyingine. Nani aliyekuambia kuwa Chid Benz anatibika? Hivi LAANA huwa INATIBIKA? Huwa sipendi Watu wanaokurupuka na wasiopenda kutumia akili. Muulizeni vizuri huyo Chid Benz wenu Mtu gani aliyemdhalilisha mwaka huu mwezi wa Tatu ( March ) maeneo ya Kinondoni na baadae tena Kigamboni halafu yule Mtu alimtamkia maneno gani Chid Benz na ambayo leo yametimia?
ni mtu gani huyo mkuu? na ni maneno gani?
Zile zile.Zile zile za Maslow?