Chidi Benz arudia madawa ya kulevya, Babu Tale aapa kutomsaidia tena!



Chid Benz amerudia tena madawa ya kulevya na yupo kwenye hali mbaya
Mwana Fa alimuomba Babu Tale wamsaidie msanii huyo hivi karibuni lakini Babu Tale akasema hatomsaidia tena kwa kuwa Chid Benz ni kama sikio la kufa, halisikii dawa
Watu kadhaa walitabiria Chid Benz kurudia kutumia madawa kutokana na msanii huyo kukosa nidhamu na utabiri wao umetimia


Hata huyo Babu Tale wenu nae namwona ni Mpumbavu tu pia kwani alipashwa kumtumia Msanii Rehema Chalamila ( Ray C ) kama reference yake ndipo ajikite katika kumsaidia Chid Benz. Hivi kama tu Ray C aliweza kusaidiwa tena na Rais Mstaafu Kikwete kwenda rehab huku akipewa first class treatment lakini bado akawa tu anabwia bwimbwi itakuwa kwa Chid Benz aliyepelekwa tu huko madongo kuporomoka Bagamoyo?

Leo huyo Babu Tale anaposema tena hadi kuuapa kuwa hatomsaidia tena Chid Benz kwani kuna Mtu aliyemtuma? Ni sifa zake mwenyewe na kiherehere cha kutaka kujionyesha yeye ni Philanthropist ndicho Kimemponza na sisi Watoto wa mjini tunajua kwanini leo Babu Tale analalamika kwani alitaka kuchuma zaidi kupitia fadhila yake kwa Chid Benz ila bahati mbaya Chizi karudia tena Utahaira wake na sasa kaingia bonge la hasara.

Eti unajitolea kumtibia Chid Benz wakati Wazazi wake, Ndugu, Jamaa na Marafiki wa pale Ilala flats wameshindwa. Shenzy Taipu kabisa na akome kujipendekeza siku nyingine. Nani aliyekuambia kuwa Chid Benz anatibika? Hivi LAANA huwa INATIBIKA? Huwa sipendi Watu wanaokurupuka na wasiopenda kutumia akili. Muulizeni vizuri huyo Chid Benz wenu Mtu gani aliyemdhalilisha mwaka huu mwezi wa Tatu ( March ) maeneo ya Kinondoni na baadae tena Kigamboni halafu yule Mtu alimtamkia maneno gani Chid Benz na ambayo leo yametimia?
 
Kumpeleka mtu sober ni sawa na kumpeleka jela so,ilipaswa kila wiki wawe wanaenda kumjulia hali na kumtia moyo awe mvumilivu ili apone kabisa.Hata alivyotoka walipaswa wawe wanamfuatilia nyendo zake na sio kumtelekeza

Kama alikubali kwenda hawakupaswa kukubali kumuachia aondoke hata miezi 2 hakufikisha
Vipi mh rais mstaafu kikwete alipomsaidia ray c naye alikuwa anatafuta kiki.....maana naye baada ya mda alirudia na ukizingatia ukubwa na heshima ya mtu aliyemsaidia
 
Hata huyo Babu Tale wenu nae namwona ni Mpumbavu tu pia kwani alipashwa kumtumia Msanii Rehema Chalamila ( Ray C ) kama reference yake ndipo ajikite katika kumsaidia Chid Benz. Hivi kama tu Ray C aliweza kusaidiwa tena na Rais Mstaafu Kikwete kwenda rehab huku akipewa first class treatment lakini bado akawa tu anabwia bwimbwi itakuwa kwa Chid Benz aliyepelekwa tu huko madongo kuporomoka Bagamoyo?

Leo huyo Babu Tale anaposema tena hadi kuuapa kuwa hatomsaidia tena Chid Benz kwani kuna Mtu aliyemtuma? Ni sifa zake mwenyewe na kiherehere cha kutaka kujionyesha yeye ni Philanthropist ndicho Kimemponza na sisi Watoto wa mjini tunajua kwanini leo Babu Tale analalamika kwani alitaka kuchuma zaidi kupitia fadhila yake kwa Chid Benz ila bahati mbaya Chizi karudia tena Utahaira wake na sasa kaingia bonge la hasara.

Eti unajitolea kumtibia Chid Benz wakati Wazazi wake, Ndugu, Jamaa na Marafiki wa pale Ilala flats wameshindwa. Shenzy Taipu kabisa na akome kujipendekeza siku nyingine. Nani aliyekuambia kuwa Chid Benz anatibika? Hivi LAANA huwa INATIBIKA? Huwa sipendi Watu wanaokurupuka na wasiopenda kutumia akili. Muulizeni vizuri huyo Chid Benz wenu Mtu gani aliyemdhalilisha mwaka huu mwezi wa Tatu ( March ) maeneo ya Kinondoni na baadae tena Kigamboni halafu yule Mtu alimtamkia maneno gani Chid Benz na ambayo leo yametimia?
Mkuu punguza kwa hasira afu sasa utuelezee huyo mtu aliemtakia maneno chid yakatimia nani.. Tupe ubuyu tumung'unye sie
 
Jamaa kiukweli kwa tunae mwona jamaa yuko kwenye hali mbaya sana tena sana yani asa kawa mteja kushinda alivyokuwa mwanzo alafu kama kadata hv maana anaongea peke hata ukizungumza nae anaonekana amedata kabisa so kiukweli jamaa anahitaji msaada tena msaada mkubwa sana ili aweze kurudi katika hali yake ya kawaida tena waharaka maana anaweza kupotea me nshawahi mwesabia siku anavyo vaa mavazi yake nguo alizo nazo asa zina siku ishirini ajabadilisha anavaa jinsi nyeusi na shati ya black na sendo mbovu kabisa anaonekana sana mitaa ya kino manyanya
uwe unapiga picha au kurekodi video, kisha unatuletea ubuyu hapa
 
Mkuu punguza kwa hasira afu sasa utuelezee huyo mtu aliemtakia maneno chid yakatimia nani.. Tupe ubuyu tumung'unye sie

Nitamwaribia Mkuu na siwezi kumtaja ila Wasanii wenzie wanalijua sana hili nililolisema hapa na hata huyo Mtu wanamjua mno. Nasisitiza tena kusema kuwa LAANA huwa haina TIBA na naomba niishie hapa tafadhali.
 
Hata huyo Babu Tale wenu nae namwona ni Mpumbavu tu pia kwani alipashwa kumtumia Msanii Rehema Chalamila ( Ray C ) kama reference yake ndipo ajikite katika kumsaidia Chid Benz. Hivi kama tu Ray C aliweza kusaidiwa tena na Rais Mstaafu Kikwete kwenda rehab huku akipewa first class treatment lakini bado akawa tu anabwia bwimbwi itakuwa kwa Chid Benz aliyepelekwa tu huko madongo kuporomoka Bagamoyo?

Leo huyo Babu Tale anaposema tena hadi kuuapa kuwa hatomsaidia tena Chid Benz kwani kuna Mtu aliyemtuma? Ni sifa zake mwenyewe na kiherehere cha kutaka kujionyesha yeye ni Philanthropist ndicho Kimemponza na sisi Watoto wa mjini tunajua kwanini leo Babu Tale analalamika kwani alitaka kuchuma zaidi kupitia fadhila yake kwa Chid Benz ila bahati mbaya Chizi karudia tena Utahaira wake na sasa kaingia bonge la hasara.

Eti unajitolea kumtibia Chid Benz wakati Wazazi wake, Ndugu, Jamaa na Marafiki wa pale Ilala flats wameshindwa. Shenzy Taipu kabisa na akome kujipendekeza siku nyingine. Nani aliyekuambia kuwa Chid Benz anatibika? Hivi LAANA huwa INATIBIKA? Huwa sipendi Watu wanaokurupuka na wasiopenda kutumia akili. Muulizeni vizuri huyo Chid Benz wenu Mtu gani aliyemdhalilisha mwaka huu mwezi wa Tatu ( March ) maeneo ya Kinondoni na baadae tena Kigamboni halafu yule Mtu alimtamkia maneno gani Chid Benz na ambayo leo yametimia?
ni mtu gani huyo mkuu? na ni maneno gani?
 
ni mtu gani huyo mkuu? na ni maneno gani?

Nakupa tu hint na mengineyo utayafuatilia mwenyewe. Ni hivi watafute Wasanii marafiki sana na Chid Benz amabo ni Watatu ( 3 ) mmoja ni wa Kike anaishi Sinza Mori huku wengine wa Kiume mmoja akiishi Ilala katikati ya Amana na Bungoni huku mwingine akiishi Kinondoni Manyanya watakupa kila kitu na bahati nzuri wanafahamika sana tu hivyo watafute watakupa mkanda mzima ila kwa Mimi naomba sasa niishie tu hapa tafadhali.
 
Back
Top Bottom