Chidi benzi karudia matumizi ya madawa ya kulevya

brigedia mafia

JF-Expert Member
Jul 21, 2016
2,264
2,275
Ama kweli sikio la kufa halisikii dawa, hatimaye Chidi benzi licha ya kuripoti hapo awali ya kuwa ameachana na madawa ya kulevya na kurudi na ngoma iitwayo chuma na kufanikiwa kupenya na hiyo nyimbo, chidi kaamua kurudia katika matumizi ya dawa za kulevya

Mwana harakati wa kupambana na matumizi ya dawa za kulevya Kalama Masudi au ukipenda muite Kalapina amehaidi kumtafuta kwa udi na uvumba chidi benzi ili amrudishe tena sober house lakini akasema pia hii ndiyo itakuwa mara yake ya mwisho kumsaidia , akirudi tena atamuacha kwa kuwa ana muona chidi ana kitafuta kifo kwa nguvu kwa kuwa madawa ya kulllevya anayo tumia chidi benzi au chidi chuma kama anavyojiita mwenyewe ni makali sana
1473503658951.png
 
Huwa najiuliza kitu kimoja kwanini wakiingia hawatokii humo na kwann inakuwa ngumu kuyaacha wakiingia sasa kuna raha ganii kutumia kitu ambacho ni cha hatar
 
Back
Top Bottom