Yamakagashi
JF-Expert Member
- Sep 19, 2016
- 8,615
- 17,607
Dah gari lishawaka lile
Stupid idiotMadawa ya kulevya sio mabaya inategemea mtumiaje anatumia gredi ipi.... Na anayo pesa ya kutosha.
Tofauti na hapo utakuwa teja ambaye achoka kwa sababu unatumia madawa ya kulevya gredi ya chini wanaita " unga mchafu "
Na huwezi kubadili damu kila baada ya miezi 6.
Ukali wa pil pil fungu sh 100Hivi pamoja na ukali wa hii awamu,hayo madawa bado yanapatikana?
Rais wa ufilipo anavyowaua mapusher na madrug lords watu wanalalamika,wakati wao ndio sababu vijana wanaangamiaNdio maana yule Rais wa Phillipines anaua yeyote anaye jihusisha na ngada, kule wenzetu sober house ni mochwari, madawa ya kulevya yana maliza sana vijana kwa kweli nina hasira sana hapa nilipo
katafute wapuuzi wenzako uwaambie upuuzi wakp,,km sio mabaya mbona wewe hutumii?Madawa ya kulevya sio mabaya inategemea mtumiaje anatumia gredi ipi.... Na anayo pesa ya kutosha.
Tofauti na hapo utakuwa teja ambaye achoka kwa sababu unatumia madawa ya kulevya gredi ya chini wanaita " unga mchafu "
Na huwezi kubadili damu kila baada ya miezi 6.
Tatizo umeshakariri kuwa mtumiaji wa madawa ya kulevya lazima awe na hali mbaya then mchafu mchafu, ndio maana nikasema wanatumia unga mchafu.katafute wapuuzi wenzako uwaambie upuuzi wakp,,km sio mabaya mbona wewe hutumii?
dah Abraham maslowZile zile za Maslow?
waache PODAAman kwa kaka voda...waambie wadogo zako waache unga wale mmea..by jay mo
Idrissa ya karibu na bar iliyopo mkabala na mzimuni "makao makuu ya druglords na mapusher" au idrissa ya kule chipolopoloKitambo sana karejea yupo apa magomeni mapipa mtaa was Idrissa junki lakutupwa