Chezea Waumini Wewe!

Chomsky

Member
Jul 15, 2012
31
5
Baada ya mazishi ya jamaa mmoja huko Shinyanga, mchungaji alisimama akaongea na waumini wake. Mazungumzo yao yalikuwa hivi:

Mchungaji: Waumini mnaombwa kutoa michango ili kujenga ukuta (uzio) kuzungushia eneo la makaburi. Je, kuna mtu mwenye swali?

Muumini: Je kuna marehemu yeyote aliyewahi kotoroka? Kama hakuna ukuta wa nini sasa...?

Duh!
 
Back
Top Bottom