Chomsky
Member
- Jul 15, 2012
- 31
- 5
Baada ya mazishi ya jamaa mmoja huko Shinyanga, mchungaji alisimama akaongea na waumini wake. Mazungumzo yao yalikuwa hivi:
Mchungaji: Waumini mnaombwa kutoa michango ili kujenga ukuta (uzio) kuzungushia eneo la makaburi. Je, kuna mtu mwenye swali?
Muumini: Je kuna marehemu yeyote aliyewahi kotoroka? Kama hakuna ukuta wa nini sasa...?
Duh!
Mchungaji: Waumini mnaombwa kutoa michango ili kujenga ukuta (uzio) kuzungushia eneo la makaburi. Je, kuna mtu mwenye swali?
Muumini: Je kuna marehemu yeyote aliyewahi kotoroka? Kama hakuna ukuta wa nini sasa...?
Duh!