Chezea mabinti wa mjini wewe, utabaki mtupu

Chezea mabinti wa mjini wewe, utabaki mtupu

Jamani muacheni mtoto akue bwana.
Sikiliza dogo, kwani wewe lazma uende kantini? Anza kumkwepa kisiasa. Hata hao,wanajishaua hapo, ukimuambia niko news cafe masaki, ama mlimani city mtu hakawii kusingizia foleni. Ila ukisema tukutane calabash anakuja fasta. Wewe akikuambia nipo canteen muambie mie niko room nafua, ukitoka huko njoo cant wait to see you, lol

Ha ha haaaa uuraaaa so nayeye aje room afuliwe si ndiooo....eee! Mjini JF rahaaa bhaana asikudanganye ntuu.
 
Yani kisoda cha mia sita,bodaboda ya elfu mbili na chips elfu mbili ndo roho inakuuma hadi kuja kuanzisha thread?

Kilichomfanya aanzishe siredi ni kwamba hako kabinti hakana haya yaani knafanya vitu bila kuambiwa na kanasepa bila kutoa papuchi.
 
ha ha ha ha ha.....fyucha pulezidenti bhana. naona bado mtoto ukikua utajua nin maana ya kumhudumia umpendaye, soma kwanza, au tafta hela baadae hutaona taabu hata kumpa laki 5.
 
ww dogo nenda shule. Inaonekana bado mtoto unalalamika kulipia chips yai na bodaboda wakat hata elf5 inabaki? Watu wanakabidhi atm na hati za nyumba ww unaongelea kihepe?! Hebu toka huko miss chagga ukuje hapa huyu dogo bahili kama...........
aisee analalamikia 20,000 wakati mimi kuja tu unatakiwa uandae laki tano hiyo haina bajeti ni matumizi yangu ,,,,, alafu bill unalipia na usafiri unalipia.... Bado sijakueleza mahitaji yangu FUTURE prresdent acha ubahili aisee chaliii tumia pesa ikuzoeee
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom