chips na boda boda unakuja kulia huku!!! you still have a long way to go....
Yani kisoda cha mia sita,bodaboda ya elfu mbili na chips elfu mbili ndo roho inakuuma hadi kuja kuanzisha thread?
Ninagashi mmoja ananiumiza bila kujijua,kila akija ananiambia amefikia canteen moja hivi,so nimfuate,nikienda nakuta ameagiza chipsi kama sio yai au kuku na soda,mlipaji ni mimi hivyo,muda tukiongea tumemaliza anampigia simu bodaboda anaitwa side anaunganisha nilipie usafiri mbele ya boda boda,aaaa mabinti wa mjini noma
Umeona! Halafu anajiita Future President. Hovyoooo