mashikolomageni
JF-Expert Member
- Jan 5, 2010
- 1,570
- 187
Huyu Cheyo anafahamika sasakuwa ni kibaraka wa CCM na huu ni mwendelezo wa propaganda za CCM. Angalia hata wajumbe wa huo mku5 wake aidha Quorum haikutimia au wote wanatoka Dar. Kwani mikoani hakuna uongozi uliochaguliwa Mfano Mwanza walikuwa na diwani 1 pale 1995. Leo hawana hata ofis.Hawana mwakilishi yeyote nchi nzima ni yeye tu. Hicho chama kiko kwenye Briefcase yake. Kama anapokea ruzuku toka serikalini huo ni Wizi!!!!!!!!!