Ukienda kuomba kwenye Shule ya Msingi uliyosoma unapewa. Shida ipo kwa wale wanaoruka madarasa labda toka darasa la sita halafu anaenda kuanza Sekondari.
Yani hii serikali ni HOVYO sana yani baadhi ya idara kama PCCB, UHAMIAJI wamefkiria wakaona mbinu sahihi ya kupunguza watu kwenye usaili ni kuwaambia waweke hicho cheti.
NINI UMUHMU WAKE?
Kweli Tz ni kichwa cha TAHIRA NA SIO MWENDAWAZIMU
waliosoma primary za private hapa ndo zogo linapoanzia.
Yani hii serikali ni HOVYO sana yani baadhi ya idara kama PCCB, UHAMIAJI wamefkiria wakaona mbinu sahihi ya kupunguza watu kwenye usaili ni kuwaambia waweke hicho cheti.
NINI UMUHMU WAKE?
Kweli Tz ni kichwa cha TAHIRA NA SIO MWENDAWAZIMU
Yani hii serikali ni HOVYO sana yani baadhi ya idara kama PCCB, UHAMIAJI wamefkiria wakaona mbinu sahihi ya kupunguza watu kwenye usaili ni kuwaambia waweke hicho cheti.
NINI UMUHMU WAKE?
Kweli Tz ni kichwa cha TAHIRA NA SIO MWENDAWAZIMU
Bora wafanye hivo tena waongezee leaving certificate ya form four maana akina Kagame wameshatuvamia kwa hiyo cheti cha darasa la saba kitasaidia kuwapambanua hata kama si kwa kiwango kikubwa lakini walau itasaidia kidogo.Kama wewe ni mtanzania halisi hata kama upo Dar kwenu ni huku kwetu Nyakanazi kama upo serious na kazi rudi huku chukua cheti aply kazi ama ukisingizia kuwa eti wewe wakati unamaliza shule kwamba vilikuwa havitolewi rudi uiposomea mwalimu mkuu wa shule yako atakuandikia barua ya utambulisho kuwa ulimaliza mwaka 1994 ambapo vyeti vilikuwa havitolewi.Wengi walioaply PCCB vyeti hivo vimewasaidia.Na kama hutaki basi acha kulalalama maana hatuko salama sana inabidi tuanze kuwapambanua hasa kwa kazi hizi nyetiYani hii serikali ni HOVYO sana yani baadhi ya idara kama PCCB, UHAMIAJI wamefkiria wakaona mbinu sahihi ya kupunguza watu kwenye usaili ni kuwaambia waweke hicho cheti.
NINI UMUHMU WAKE?
Kweli Tz ni kichwa cha TAHIRA NA SIO MWENDAWAZIMU
waliosoma primary za private hapa ndo zogo linapoanzia.
Yani hii serikali ni HOVYO sana yani baadhi ya idara kama PCCB, UHAMIAJI wamefkiria wakaona mbinu sahihi ya kupunguza watu kwenye usaili ni kuwaambia waweke hicho cheti.
NINI UMUHMU WAKE?
Kweli Tz ni kichwa cha TAHIRA NA SIO MWENDAWAZIMU
Kinatumika ku-confirm cheti chako cha kuzaliwa.HAMJAELEWA TOPIC YANGU?...anayejua umuhmu wa hcho cheti aniambie