Cheti cha Darasa la Saba

Cheti cha Darasa la Saba

nikweli waliomariza miaka 99 kurudi nyuma vyeti vilikua havitolewi sasa sijui itakuaje hapo,ila hawa jamaa wanataka kukwamisha watu tu kwasababu mtu atamalizaje form six bila kupitia shule ya msingi!kama inshu ya uraia chet cha kuzariwa sikitaambatanishwa!
 
Unachokisema hakina ukweli mkuu,,,kuna watu wamemaliza std 7 within hicho kipindi na vyeti wanavyo, so sio kweli.

Mimi nimemaliza 1998 na ninacho. mtoa taarifa kapotosha jamii
 
nikweli waliomariza miaka 99 kurudi nyuma vyeti vilikua havitolewi sasa sijui itakuaje hapo,ila hawa jamaa wanataka kukwamisha watu tu kwasababu mtu atamalizaje form six bila kupitia shule ya msingi!kama inshu ya uraia chet cha kuzariwa sikitaambatanishwa!

hizo habari mnazitoa wapi? mimi nimemaliza 98 cheti ninacho.
 
Achen utahira wawapunguze kuaply kwa lipi kwan kuna shida gan mkivifuata huko mlikosomea? Achane uboya na malalamiko ya k* s*nge
 
mse,..nge mkubwa ww..acha kuongea kwa kutumia m..a..t,a..ko ,mku...ndu wako

Bwana mdgo fiter chunga sana mdomo wako
Bazazi anapenda sana kula witi wa watu wajinga
Wajinga wasio na uelewa wa maisha
Kazi yao kupayuka

Jifunze kabla seal zako hazijatolewa kwa hiari au nguvu

Bazazi
 
Last edited by a moderator:
vipo vinapatikana .. kwa mfano mm niliambiwa nichangie elfu 12000 za kibongo kama mchango wa mazingira.. ucpotoa hupewi, na wanakuuliza una sh, ngp kama huna hiyo elfu 12 , naona ishakluwa buziness
 
vyeti vyenyewe jina na details zingine zinaandkwa na peni picha unatumia ya sasa hata kama ulimaliza miaka 20 iliyopita,
 
Cheti Cha La Std 7, ktk nyakati hizi hakina umuhimu wowote, labda katika kutengeneza mianya ya rushwa na unyonyaji.

Fikiria, Wale Wenye Hoja Kuwa Cheti hicho kitatumika katika kulinda taasis nyeti isivamiwe na WAHUNI 'SPY', Nadhani Hawali Angali Suala Hili Kwa Undani, Katika Dunia ya leo spying haiwez kuzuiwa kwa kuchunguza waajiriwa wamesoma wapi elimu ya msingi? huku tukijua wazi kuna lundo la raia wa kigeni wa halali na haramu, ambao wanaishi hapa, wengine wameoa/kuolewa hapa, na wana watoto wa wajukuu ndani ya mipaka ya TZ, Na Hao Watoto/wajukuu Zao Wanasoma/walisoma Ktk Shule zetu hizi hizi, na pengine wamesha tunukiwa hivyo vyeti..

SIAMINI, kama hivyo vyeti vinauwezo wa kulinda hizo mnazo ziita taasis nyeti dhidi ya ma spy.

Wengine, Wanasema Cheti Cha Darasa La 7, kinatumika kama kitu ambacho kitasaidia kufanya cross-check ya cheti cha kuzaliwa, kuamini hilo ni UMBURULA, Kwasababu Wote tunajua udhaifu wa kupatikana kwa vyeti vya kuzaliwa..

KIUKWELI, MIMI SIONI UMUHIMU WA CHETI LA DARASA LA 7...
 
Ukienda kuomba kwenye Shule ya Msingi uliyosoma unapewa. Shida ipo kwa wale wanaoruka madarasa labda toka darasa la sita halafu anaenda kuanza Sekondari.


Hata Mimi Siwezi Kuruhusu Mwanangu Afike Hadi Std 7, Akafanye Nini? Akapata Cheti Cha Darasa La 7? ili akaajiriwe tiss, pccb, au uhamiaji?

Lazima tukubali, elimu ya darasa la saba katika zama hizi, haina UMUHIMU WOWOTE.. Kuendelea Kung'ang'ania Cheti Hicho ni upuuzi kwa sababu implication yake ni nini? je, mnataka tuamini kuwa mfumo wetu wa elimu unatujengea UZALENDO Ktk Ngazi ya darasa la 7?
 
umhimu wa cheti cha STD 7 nikujua kama umemaliza darasa la saba ama lah maana kuna wale wanajifanya wako STD 5 anafanya mtihanio wa STD 7. na hivyo vyeti vipi kama kweli umemaliza hiyo level
 
wewe hata kama umemaliza mwaka 1940 utapata cheti chamsing nenda ktk shule uliyomaliza watakujazia jina lako wanakupa ila tambua kwa vyeti hivi havioneshi matokeo vipo kama living tu,
 
Yani hii serikali ni HOVYO sana yani baadhi ya idara kama PCCB, UHAMIAJI wamefkiria wakaona mbinu sahihi ya kupunguza watu kwenye usaili ni kuwaambia waweke hicho cheti.

NINI UMUHMU WAKE?

Kweli Tz ni kichwa cha TAHIRA NA SIO MWENDAWAZIMU

Wala cha kwangu sikuwahi hata kukichukua huko shuleni miaka mingi sana na kitakuwa kilishaliwa panya kabisa. Wasituletee hilo maana wengi tutaonekana hatukusoma ha ha ha!!! Labda waanzie miaka kama 10 iliyopita lakini wale wa miaka ya 70s and 80s ni majanga!!
 
Back
Top Bottom