Fidel80
JF-Expert Member
- May 3, 2008
- 21,945
- 4,499
nimekumbuka Mkuu pia DEPO NI LAZIMA KWA NAFASI YOYOTE UHAMIAJI,MWAKA 1 MBEYA.Zamani ilikuwa miezi 6 sasaivi ni mwaka 1.
Huko depo wanalipwa?
nimekumbuka Mkuu pia DEPO NI LAZIMA KWA NAFASI YOYOTE UHAMIAJI,MWAKA 1 MBEYA.Zamani ilikuwa miezi 6 sasaivi ni mwaka 1.
hapo wewe ndio mwendawazimu sasa.... ET NINI UMIHIMU WAKE ...? kama huji umihimu wa std 7 chet bhasi wewe ndio chizi/mwndwazimu + mburula ...hey nimepita tuu
Yani hii serikali ni HOVYO sana yani baadhi ya idara kama PCCB, UHAMIAJI wamefkiria wakaona mbinu sahihi ya kupunguza watu kwenye usaili ni kuwaambia waweke hicho cheti.
NINI UMUHMU WAKE?
Kweli Tz ni kichwa cha TAHIRA NA SIO MWENDAWAZIMU
Yani hii serikali ni HOVYO sana yani baadhi ya idara kama PCCB, UHAMIAJI wamefkiria wakaona mbinu sahihi ya kupunguza watu kwenye usaili ni kuwaambia waweke hicho cheti.
NINI UMUHMU WAKE?
Kweli Tz ni kichwa cha TAHIRA NA SIO MWENDAWAZIMU
sasa shida hapo ni nini mkuu, kwani si vinatolewa na hakuna anayekatazwa kuchukua au shule uliyosoma imeungua? Utaahira ni kuvitoa hivyo vyeti or kutakiwa kuambatanishwa kwenye application? Hivi we hujawahi kuona mtu katoka zake kenya kasoma sekondari bongo na akaenda chuo? Uhamiaji, usalama wa taifa, jwtz, pccb n.k. Ni taasisi nyeti mno kijana na ukifanya uzembe unaweza kumuingiza spy, we hujasikia majuzi mkenya kakamatwa analitumikia jeshi la ulinzi la uganda?
yes wanalipwa some allowance fulani sina uhakika sasaivi ni sh ngapi bt wanalipwa mkuu.bt sio mshahara kamili.Huko depo wanalipwa?
Taarifa kama umemaliza shule ya msingi kati ya mwaka 1993 mpaka 1999 vyeti vili stop kutolewa na vilianza kutoka mwaka 2000 so be care ..... Unapoenda shule kama umemaliza miaka hiyo utapewa barua tu ya utambulisho
Yani hii serikali ni HOVYO sana yani baadhi ya idara kama PCCB, UHAMIAJI wamefkiria wakaona mbinu sahihi ya kupunguza watu kwenye usaili ni kuwaambia waweke hicho cheti.
NINI UMUHMU WAKE?
Kweli Tz ni kichwa cha TAHIRA NA SIO MWENDAWAZIMU[/QUOTE
Datz true, hawana jipya wamekalia urasmu tu.
when was a last time you did a medical check? it seems your neuro-status is in disorder.
Kwani cheti cha kuzaliwa kina kazi gani?
Umuhimu wake ni nini?
Nanio hajui kuwa wewe ulizaliwa?
Iwapo cheti cha kuzaliwa kina umuhimu
Basi hata cha std 7 kina umuhimu
Hoja uliyotoa ni ya kipambafu
Inayodhihirisha utaahira ulionao
Pambaf zako.
Bazazi
Kwani cheti cha kuzaliwa kina kazi gani?
Umuhimu wake ni nini?
Nanio hajui kuwa wewe ulizaliwa?
Iwapo cheti cha kuzaliwa kina umuhimu
Basi hata cha std 7 kina umuhimu
Hoja uliyotoa ni ya kipambafu
Inayodhihirisha utaahira ulionao
Pambaf zako.
Bazazi
Kinatumika ku-confirm cheti chako cha kuzaliwa.
nimekumbuka Mkuu pia DEPO NI LAZIMA KWA NAFASI YOYOTE UHAMIAJI,MWAKA 1 MBEYA.Zamani ilikuwa miezi 6 sasaivi ni mwaka 1.
Ukienda kuomba kwenye Shule ya Msingi uliyosoma unapewa. Shida ipo kwa wale wanaoruka madarasa labda toka darasa la sita halafu anaenda kuanza Sekondari.
sasa hv huna uhakika ni sh ngapi,je zamani walikua wanalipwa sh ngapi?yes wanalipwa some allowance fulani sina uhakika sasaivi ni sh ngapi bt wanalipwa mkuu.bt sio mshahara kamili.
HAMJAELEWA TOPIC YANGU?...anayejua umuhmu wa hcho cheti aniambie
sio bure una matatizo ya akili na uelewa wako umeishia hapo by the way siku hizi kichaa kinapona, ndugu zako wakupeleke hospitali.ahsante mkuu ni bora ungetumia kiswahili na kingereza chako cha ugoko ...... sio bure ila utapona tuu nakushari acha mjani+viroba huenda utapata nafuu (note kwenye red unahusika sana)
hahaaaa maruuni mkubwa wewe!!!sio bure una matatizo ya akili na uelewa wako umeishia hapo by the way siku hizi kichaa kinapona, ndugu zako wakupeleke hospitali.
Taarifa kama umemaliza shule ya msingi kati ya mwaka 1993 mpaka 1999 vyeti vili stop kutolewa na vilianza kutoka mwaka 2000 so be care ..... Unapoenda shule kama umemaliza miaka hiyo utapewa barua tu ya utambulisho