Chepuko lenye "Nguvu za kiume"

Chepuko lenye "Nguvu za kiume"

Hallow wana JF

Labda nianze kwa ufupi,
Ikiwa ni mwaka wa saba tangu nimuoe mke wangu sijawahi hata siku moja kumfahamu mwanamke mwingine, hii ilikuA tangu kuzaliwa kwangu siku mjua mwanamke zaidi yake.

Tumebahatik akua na watoto wanne sasa mke wangu ni mfanyabiashara anamaduka yake ya nguo.
Sifa za mke wangu.
Ni mwanamke mzuri, mweupee anashepu ambayo haifichiki yaani hata wakati huu amezaa bado yuko fiti hatari.

Mahaba.
Mke wangu alikua anayajua mahaba balaa jamani alinifanya nione hii dunia inazungukia mkononi mwangu yaani mpaka na nena kwa lugha kwa utamu.
Sasa uubize wa watoto na kazi hayo yoote naishia kuyasimulia tuu kama zaman ulikua hivi mara vile

Ilipelekea kujihisi kua na tatizo la nguvu za kiume maana nilikua nabembelezea tendo usiku kucha hata mwezi au zaid na nikipewa labda ntoe chozi anihurumie na hapo na pewa moja huku amenuna

Chepuko,
Katika harakati za kukutana na washkaji mbali mbali nakumbuka ilikua tour moja ya kazini kwenda SA nilikutana na dada mmoja mwembamba mweusi aliyetelekezwa na jamaa yake alipokwenda kumtembelea mara ya kwanza huko nchini SA port Elizabeth.

Ilinilazimu kutoa kiasi cha pesa yangu ya safari imsaidie kurudi bongo ingawa mm siku enjoy saana ile tour by the way niliguswa tuu na ile hali yake nliyemkuta nayo.

Baad Ya kurudi bongo alinitafuta tukaonana lakini nia yake ilikua anishukuru nilifurahi kumuona.

Alinieleza angependa anipe nafasi ya jamaa aliye mtenda nichukue mm kwakua na staili mi nilimjibu kua haiwezikani mi ni mme wa mtu,
Japo haikua rahisi kunielewa nilimwambia kama yuko tayari tukapime HIV alafu nimfikirie hilo kwake halikua na shaka tulienda na wote tulikua salama

*Naogopa ngoma vibaya mno hasa nikiangalia watoto angu

Nikajiuliza kama yuko vizuri kwann nisijaribu kuonja wanawake weusi na wasio na chura nione wana raha gani??

Basi siku sita nikachukua Hotel siku ile ile tukaanza kufanya lile tendo jamaaaaani ilibidi wahudumu wa hoteli na mlinzi waje wagonge hodi kwa kelele nilizokua napiga maana nilipewa uwezo wa kwenda round nane 8 siku hio na mitindo isiyoelezeka huku nikimbeba vile nataka jamanii
Uwiiih...

Sasa nimehamA nyumbani kwangu huku kazini nimeomba likizo muke wangu anajuA nimesafiri kikazi kumbe nipo na chocolate baibie dAmu yA moto aliyeniponya upungufuu wa nguvu za kiume.
Mhhh hii michepuko noma jamaa umezungushiwa kiuno kidogo umechukua na likizo
 
wewe unaweza ngapi? hivi round nane unatafuta nini? mimi mbili tu tusijuane .huko ni kukomoana
Sasa miss..huyo mtu ukimzoesha mbilimbili mwili wake ukizoea si utakuwa umemmaliza??..vipi akienda kwa aliezoea tano na kuendelea??
 
nimecheka sana hapa...
"Sasa nimehamA nyumbani kwangu huku kazini nimeomba likizo muke wangu anajuA nimesafiri kikazi kumbe nipo na chocolate baibie dAmu yA moto aliyeniponya upungufuu wa nguvu za kiume."
 
Kila hatua ktk maisha pana hasara na faida. Ulipojitunza ilikuwa vizuri lakini ubaya wake Ukipata chepuko unaahirisha kazi na Huku home unadanganya umesafiri. Lakini km ungekuwa ulishaijua tamu na chungu ya mapenzi tangu zamani usingeingia garama kubwa hivyo. Wazoefu huwa wanagonga mara moja afu wanaendelea na shughuli zao. Huyo mchepuko akijua we ni mgeni Lazima atangaze ndoa na wewe mchana kweupe
 
Unajua papuchi nayo inachosha kaka kila siku ule ile ile tu wkt kunazo nyingine bado n tamu yanini kuzeekea kwenye papuchi moko? Bora umechepuka tu uondoe ugwadu
 
U
Unajua papuchi nayo inachosha kaka kila siku ule ile ile tu wkt kunazo nyingine bado n tamu yanini kuzeekea kwenye papuchi moko? Bora umechepuka tu uondoe ugwadu
unajua dyudyu moja inachosha wkt kunazo nyingine bado Ni tamu yanini kuzeekea kwenye dyudyu moko bora uchepuke Tu uondoe ugwadi

maneno ya mkeo /mpenzio hayo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom