mgangawaukoo
JF-Expert Member
- May 8, 2016
- 2,183
- 2,394
kwahyo watoto Ndio umewatelekeza..??
Yupo honeymoon atarudi!
kwahyo watoto Ndio umewatelekeza..??
Kweli nyie ndo mwisho wa reli yaaniMakofi kwa vipotabo tafadhali![]()
Hata mimi nimeajiriwa na mhindi tena nafasi yenye majukumu pasua kichwa na nikirudi pia nasaidia kukaa na watoto japo tuna ma house madSasa wewe mke tangu umemuoa ni miaka 7, watoto wanne ukipiga mahesabu mda mliooana na watoto mlionano inamaana mda mwingi analea hapo hapo ana maduka ya nguo yote anafatilia yeye. Sasa hapo we unategemea nini. Acha ubanafsi kaka.
sawaSafari moja huanzisha nyingine
hahaha hatariiiYupo honeymoon atarudi!
Mkuu ukiachana na ufuska wa huu jamaa. Ni kwambaa mkuu kuna wanawake hawana mzuka aseeh hadi unajuta kuomba mchezo.Kumbe wapo watu round nane kwao ni kitu cha Ajabu Sana.??
Wanawake mnao olewa na hawa wavulana kazi mnayo..
Makofi kwa vipotabo tafadhali[/QUO
Kwa kweli huwa wanajitumaMakofi kwa vipotabo tafadhali![]()
we sasa ndio umenivunja mbavu zaidiSio siri sometime michepuko inatusaidia sana sis wananume! Yan mwanamke ukishamuoa tuu anajisahu kabisaaaaaaaaaa..... na kuzeeka ghafla! Yan kwa bed anaguna tuu, hata kugeuza kiuno tabu! Gusa mchepuko sasa, vita yake kama Prezda kaona jipu!
Ungetumia kiswahili kidogo??Usikute mbooga iliingizwa kule kwenye maseke bila ya kujijua,ukajikuta upo kwenye ulimwengu mpya maana nyie mnaojifanya waamifu kwenye mahusiano mna shida sana
Basi siku sita nikachukua Hotel siku ile ile tukaanza kufanya lile tendo jamaaaaani ilibidi wahudumu wa hoteli na mlinzi waje wagonge hodi kwa kelele nilizokua napiga maana nilipewa uwezo wa kwenda round nane 8 siku hio na mitindo isiyoelezeka huku nikimbeba vile nataka jamanii
Uwiiih...
ahahahahaha,hii paragraph nimeilewa mnoo
Ndo nn hiyo??vp katerero ulipiga