love you
JF-Expert Member
- Jun 14, 2016
- 727
- 728
ha ha ha!no stress 24/7 365
ha ha ha!no stress 24/7 365
Rudia uzi mzeeUmesema huyu ni mwanamke wako wa ngapi vilee!
Ukimchungza bata humli ndugu yanguMichepuko mitamu lakini inaletaga umasikini jihadhari na hilo.....na ujue pia yupo mwingine pia anaepiga kisela kama wewe unavyopiga kisela....so jihadhari na magonjwa pia,kupima peke yake haitoshi.....kila la kheri
NamshangaaSasa kama mkewe anamnyima haki yake afanyaje?

Unajua kuguswaa wewe ??? Acha wewe kunawatu wanautamuKumbe kweli bora Uzinzi uanze kabla ya kuoa au kuolewa kuliko ukianza baada namake una wehuka vibaya,haya makelele ya nini kama unachinjwa? raha yako weye inakua karaha kwa wenzio walokodi hapo hotel,unaisikilizia kiasi hicho? ebu fanya Kaka urudi nyumbani fanya pole pole haiondoki hiyoooooooooooooo....ipo..lol

Nalo neno ila npo makiniDuh angalia usije ukaisahau familia yako
Ndo muelimishane ndugu zetuumeona eeh hivi mwanamke unakubali kuolewa ila kusex hutaki umefata nini
Huja oa wewe ukioa utaelewahahahahahaha hakyanani wanaume mmelaanika sasa si ungetafuta jinsi ya kumpunguzia majukumu mkeo ili arudi kama zamani
Acha matusi ndugu yang sa shida iko wap hapo?Kama kweli bas jamaa hazimtoshi kabisaaa
Basi ngoma drooOngera sana ila what goes around turn around. Inawezekana n.a. mkeo nae kampata wakumkuna vizur ndo mana k wako huduma imepungua.
Ndio mnaotafutwa na makonda nyieNaomba namba za MKEO na mm nimsifie maana nadhani kuna kitu HAPO

Sa pole ya nn badala ya hongera nimeijua dunia??Pole yako kwa kuamua kuisaliti ndoa yako kisa utamuu,,ahaaaaa,,ahaaaa wacha nicheke mie
Ndivyo tunataka wanaumewewe unataka kila siku??
sanaaKumbe nilikua napitwaa enghhh??![]()
![]()