Cheo na Amani kipi bora?

Cheo na Amani kipi bora?

maandamano

JF-Expert Member
Joined
Nov 12, 2025
Posts
652
Reaction score
1,388
Nimeuliza hili swali sababu dalili zilishaonekana kama mama alikuwa hapendwi na baadhi ya watu ingawa idadi imeongezeka mara dufu
Hivi angeamua kujikalia pembeni kama Majariwa angepungukiwa na nini tofauti anavyoishi kwa kukosa amani ya moyo na kusakamwa na kila mtu?
 
Je Una uhakika yeye alikuwa willing kuhombea 2025.

Ubaya wa CCM ukiwa unafanya nao Kazi wao hata ukiwaambia inatosha ikiwa mission yao haijakamilika hawawezi kukubalia.

CCM hii ya sasa sio Kama ile ya Nyerere hii unawekwa katika nafasi na WATU na hao WATU ndo wataamua either ubaki au usibaki.
 
Ushauri wako sahihi haukuhitaji akili kubwa kuufanya, hata mtu mwenye akili ya kati tu angefanya hivyo na kuepuka MAJUTO YA KUITWA MWUAJI MBINGUNI NA DUNIANI. Kikwete aliwahi kusema "zakuambiwa changanya na zako" asijue kuwa mwenzake ANAYEMWAMBIA agombee uraisi 2025 kwa sababu ni maarufu kuliko wote HANA ZAKE ZA KUCHANGANYA.
 
Remember: Kete zinasukumwa kwa akili sana....
 
Nimeuliza hili swali sababu dalili zilishaonekana kama mama alikuwa hapendwi na baadhi ya watu ingawa idadi imeongezeka mara dufu
Hivi angeamua kujikalia pembeni kama Majariwa angepungukiwa na nini tofauti anavyoishi kwa kukosa amani ya moyo na kusakamwa na kila mtu?
Pia usisahau....... CCM yote.... wote waliopitishwa kinguvu kwenye uchafuzi wa 2025, wanatamani aendelee ili wasipoteze nafasi zao. Kwa kifupi wote wanajua kuwa hana uwezo kabisa na wanajua juu ya mauaji yaliyofanyika, lakini wanaona akijiuzulu na uchaguzi kurudiwa, wengi hawatatoboa.
 
Back
Top Bottom