sasa ccm imekwisha kama ni kweli,hivi amebaki mwanasheria gani? Huko kwa mtazamo wa wananchi nisahihi kabisa ila kwa ccm ni kifo kikubwa,wasifanya mambo kufuata mkubwa maana kubwa lao halitoki linaendelea kutafuna kama vp? Naye actp dwn bac
Tunataka na JK naye ajivue gamba pamoja na orodha ya mafisadi wakuu 11 (list of shame ya Mwembe Yanga).
Huo ni usanii kutaka kutudanganya...mbona tangu Rostam aachie ngazi hali haibadiliki? Mafuta waisema yatashuku bei yanazidi kupaa, sukari bei usitaje, na mwezi wa Ramadhani unaanza dk yoyote kuanzia sasa mambo yanazidi... wasitudanganye hao
sasa ccm imekwisha kama ni kweli,hivi amebaki mwanasheria gani? Huko kwa mtazamo wa wananchi nisahihi kabisa ila kwa ccm ni kifo kikubwa,wasifanya mambo kufuata mkubwa maana kubwa lao halitoki linaendelea kutafuna kama vp? Naye actp dwn bac
Will, his abdication, ameliorate the current power crisis anyways? At this point of time, people need to be assured about the country's future economic health rather than constantly hearing about political stories.
mi nadhani kama amejivua gamba kinachofuatia ni kushitakiwa na kurudisha mali za taifa hili maana naona kama kuachia ngazi ndo imekuwa fashion ya kusamehewa mabaya ambayo yamekufanya uachie ngazi,wasiposhitakiwa basi wananchi wataaamua
mi nadhani kama amejivua gamba kinachofuatia ni kushitakiwa na kurudisha mali za taifa hili maana naona kama kuachia ngazi ndo imekuwa fashion ya kusamehewa mabaya ambayo yamekufanya uachie ngazi,wasiposhitakiwa basi wananchi wataaamua
Kujiondoa CC, NEC au hata kuachia Ubunge bila kurudisha hela waliyoiba, haisaidii chochote. Hii nchi hiko ICU. We need a very strong person who can make noticable changes.