Kigera Kwetu
JF-Expert Member
- Jul 29, 2015
- 1,115
- 939
Ni mbunge wa Bariadi Mashariki, Mhe Andrew Chenge ameapa kuwashughulikia mafisadi wanaoshindwa kufuata taratibu katika kutekeleza majukumu yao wilayani humo atawashughulikia kwani yeye ni ndie kiboko ya wabadhirifu wa mali za umma na wazembe.
Chanzo: Raia Tanzania
Duh!
Hii ipo Tanzania pekee. Yaani hata Chenge huyu tunayemjua( Mzee wa vijisenti)