sea emperor
JF-Expert Member
- Jan 21, 2016
- 250
- 116
Hii ni ngoma ya kikubwa papa anataka kumumeza papa mwenzie ngoja tusubili
hatumiagi mambo ya kule arusha ,isije kuwa zimemzidiii nguvuNi mbunge wa Bariadi Mashariki, Mhe Andrew Chenge ameapa kuwashughulikia mafisadi wanaoshindwa kufuata taratibu katika kutekeleza majukumu yao wilayani humo atawashughulikia kwani yeye ni ndie kiboko ya wabadhirifu wa mali za umma na wazembe.
Chanzo: Raia Tanzania
Huyu Chenge ataakuwa anatumia nguvu za Giza kupata uongozi .au ni Freemason sio bure .Mhhh!! Hata shetani akizeeka anakuwa malaika.!
Alituambia kuwa yeye ni nyoka wa makengeza,Huyu Chenge ataakuwa anatumia nguvu za Giza kupata uongozi .au ni Freemason sio bure .
Kama lowassa vile, mi nimeshakuwa na mashaka na watu wooooote ambao walibatizwa kuwa ni mafisadi na chadema, chadema siwaamini kabisa! Kama wamesema lowasa sio fisadi na wamewasaliti kabisa wale wapiganaji wao kisa kuwa na msimamo, hivyo yawezekana kabisa kiwa huyu jamaa sio fisadi kama wanavyosema chadema.Mhhh!! Hata shetani akizeeka anakuwa malaika.!