Chenge Afunika Rasimu ya katiba pendekezwa

Chenge Afunika Rasimu ya katiba pendekezwa

Msumeno umenichekesha nilikua nakunywa juice hapa huku naogesha mbuzi wangu mpaka nimepaliwa.hahahaahahah.Wateja wa mikate ya azamu duuuuuu chadema wana vituko sana
 
Akili yako inafanana na Remote haifanyi maamuzi mpaka ibonyezwe umeathirika na kubonyezwa

Habari za Shelui Kingu? Acha upunguwani, Kuna mambo ya kushabikia SI hili la uchakachuaji WA akina sita na na huyo mzee WA vijisenti
 
Mwanzoni siku mwelewa mr dhaifu aliposema hajui kwa nini Tanganyika ni masikini kumbe wengi pamoja na kwenda shule waliishia kukalili na hii ndo shiida ya MTanganyika
 
Habari za Shelui Kingu? Acha upunguwani, Kuna mambo ya kushabikia SI hili la uchakachuaji WA akina sita na na huyo mzee WA vijisenti

Nkanaga hahahahahahaah.shelui ni kwangu na kwa make wangu mdogo nilipata uhamisho sasa Niko Tandahimba kaka msikilize kwa makini
 
hakika mkuu,mijitu mingine ni mbulula sana,ndio maana safari ya Tanzania tuipendayo ni ndefu bado.
Kwa hiyo kukubali Serikali 3 (= kuvunja Muungano) ndio kuwa na akili?
 
Tanzania imegubikwa na wananchi wengi wenye fikra fupi fupi kama wewe...

wewe unasifu upuuzi.Rasimu ya katiba ni ya ccm na sio ya wananchi.sasa tunakushangaa unasifia katiba mfu.hakuna katiba moya hapo bali ni uongo mtupu.
 
Nkanaga hahahahahahaah.shelui ni kwangu na kwa make wangu mdogo nilipata uhamisho sasa Niko Tandahimba kaka msikilize kwa makini

Kakaako madelu kakimbia BMK na kukiri hakuna kinachofanyika hapo zaidi ya kupoteza mamilioni Tu yananchi, nashangaa WW unakuja hapa na Uzi WA namna hii.
 
Ndugu zangu ukweli tuuseme Change ametaja maeneo ambayo yamewagusa Watanzania hasa ushirika....Kilimo....Elimu.....na Malengo ya kitaifa ya kiuchumi.

Hakika kwa dhati ya moyo wangu kumbe binge hili lilikua serious.Hongera sana Change kwa umahiri.hongera wajumbe Hongera Sitta.

Natamani Rasimu hii iletwe tuipitishe kwa Kishindo

No Mimi mzalendo

Kingukitano

Tandaimba

Kingutano, una uhakika unachokinena?
 
Ndugu zangu ukweli tuuseme Change ametaja maeneo ambayo yamewagusa Watanzania hasa ushirika....Kilimo....Elimu.....na Malengo ya kitaifa ya kiuchumi.

Hakika kwa dhati ya moyo wangu kumbe binge hili lilikua serious.Hongera sana Change kwa umahiri.hongera wajumbe Hongera Sitta.

Natamani Rasimu hii iletwe tuipitishe kwa Kishindo

No Mimi mzalendo

Kingukitano

Tandaimba

Tandaimba ahaaaa
Nilifikiri Tandahimba
 
NY3 kunajamaa kainama pale kwenye kona. Sijui anatafuta nini Lumumba kukalia kasa tu, mwambie a comment humu maanaake we upo karibu pale
 
Ndugu zangu ukweli tuuseme Change ametaja maeneo ambayo yamewagusa Watanzania hasa ushirika....Kilimo....Elimu.....na Malengo ya kitaifa ya kiuchumi.

Hakika kwa dhati ya moyo wangu kumbe binge hili lilikua serious.Hongera sana Change kwa umahiri.hongera wajumbe Hongera Sitta.

Natamani Rasimu hii iletwe tuipitishe kwa Kishindo

No Mimi mzalendo

Kingukitano

Tandaimba

Bila kujali una umaarufu gani niseme tu kwamba hujitambui. Yaani Chenge mwizi ndie wa kuandaa katiba ya Taifa la Tanzania?? Nakuonea huruma sana kwa mawazo yako mgando.
 
We binti safari ya Tanzania tuipendayo haitaletwa na wanasiasa kama unavyodhani Bali no kwa kufanya kazi kwa juhudi na Maarifa

wewe ndio binti hakuna taifa lilikosa dira sahihi likasonga mbele!katiba bora utusaidie kutengeneza dira sahihi,tumia kichwa kufikiri.
 
ndugu zangu ukweli tuuseme change ametaja maeneo ambayo yamewagusa watanzania hasa ushirika....kilimo....elimu.....na malengo ya kitaifa ya kiuchumi.

Hakika kwa dhati ya moyo wangu kumbe binge hili lilikua serious.hongera sana change kwa umahiri.hongera wajumbe hongera sitta.

Natamani rasimu hii iletwe tuipitishe kwa kishindo

no mimi mzalendo

kingukitano

tandaimba

sasa hayo maoni kayatoa wapi wakati tume ilisha weka maoni ya wananchi hakukuwa na haja ya kuunda tume ya kukusanya maoni kama watu wanaweza kujifungia na kutoa maoni yao
 
Katiba isiyo na maridhiano unaisifia wakati inaenda kuivuruga nchi!We kweli hujitambui.Hapo ni hewa tu,hakuna kitu.Pesa za walipa kodi zimeliwa na hakuna katiba hapo
 
Back
Top Bottom