tunalazimika
JF-Expert Member
- Nov 5, 2010
- 1,098
- 259
huna uzalendo chizi wewe
chagadema
huna uzalendo chizi wewe
Ndio huyu Chenge, sio huyu mzee vijisenti huyu jangili mkubwa wa pesa za walipa kodi? Kweli kuishi kwingi kuona mengi, anapeta tu ... ... nchi hii bwana inatia huruma.
Ona linavyochapia ovyo sasa.
Embu funguka punguza hasira za ujauzito wapi katika Rasimu iliyosomwa Leo patakawiza na kudumaza maendeleo ya nchi au umekaririshwa na Bwana zako kuamini katiba mpya itakapiputa Tanzania inakua Sweeden
Ndugu zangu ukweli tuuseme Change ametaja maeneo ambayo yamewagusa Watanzania hasa ushirika....Kilimo....Elimu.....na Malengo ya kitaifa ya kiuchumi.
Hakika kwa dhati ya moyo wangu kumbe binge hili lilikua serious.Hongera sana Change kwa umahiri.hongera wajumbe Hongera Sitta.
Natamani Rasimu hii iletwe tuipitishe kwa Kishindo
No Mimi mzalendo
Kingukitano
Tandaimba
mada co wiz, mada ni katiba-au mpaka aisome slaa? chagadema bana mmeagizwa urais eh?