CHEMSHA BONGO

HUO Mlango komeo lipo wazi au umefungwa kwa funguo???hapo dawa nikwea juu ya Dari tu.juu kwa juu natokea chumba cha pili
 
Kwanza hao nyoka wametokea mkoaa gani?

Mwanza au Pwani.. .nikijua hili nitajua cha kufanYaa
 
Doh.... hizi njaa hizi *****....
Braza legeza kidogo... nchi ishatakata hii....

Fanya km umekosea utupie fungu na huku...
Watu washaanza fanya vitu tofaut na umri wao.. ni balaaa kwa kweli.

Hadi kufikia 2020 tutakua tumegundua vp saaana...
 
Ukutane na mchina hapo atakwambia tu hizo 15m dola sitaki mi nataka izo kitu apo ni balaa kwa supu hhhh
 
Back
Top Bottom