Master jay
Senior Member
- May 28, 2012
- 194
- 29
wadai hii game inapigwa muda gan kwa huku kwetu tz. Manake magazeti mengi yameandikwa muda tofauti tofauti sana, aliyotoka jana jana na leo.
game imeshaanza na sasa ni dk 25 bado ni 0-0wadai hii game inapigwa muda gan kwa huku kwetu tz. Manake magazeti mengi yameandikwa muda tofauti tofauti sana, aliyotoka jana jana na leo.
Alimchezea rafu mbaya sana Kolarov akalambwa straight red card.....Balantanda...shukran mkubwa. Yan nipo kwenye basi lakini bado nimeshangilia...
Vp ivanovic alifanya nn tena??!
Alimchezea rafu mbaya sana Kolarov akalambwa straight red card.....
Community shield(zamani Charity shield) hushindanisha bingwa wa EPL(Man City) na bingwa wa FA(Chelsea)......Hiyo ya mshindi wa kwanza na wa pili ni kwenye ligi kuu ya Tanzania Bara(mwaka huu watacheza Simba na Azam)...Hii wanasema ni mechi ya kutafuta mshindi wa Community Shield. Kwa nini ni kati ya Manchester City and Chelsea na wala sio Man City na Man U? Nilifikiri hii shield uwa inagombewa na mshindi wa kwanza na wa pili wa msimu wa ligi uliopita? anayejua anifafanulie hapa!!!!
Tiba
Marahba bana......Habari yako?Balantanda shkamoo bana